Bima ya Afya kwa Wote (Universal Health Care)Rais Samia atoa TZS 149BL

Ametoa toka mfukoni mwake au serikali anayoingoza imetoa. Tuache kupersonalize mabo
 
Hahaha CHADEMA mnateseka sana
tatizo la CCM mnafikiri kila mmoja anayewahoji namna mnavyotawala nchi mnafikiri ni CDM. Watanzania washawashitukia fix zenu, miaka 60 ya uhuru maji tu yamewashinda kupeleka vijijini - kila siku na statistics zenu za urongo.
 
tatizo la CCM mnafikiri kila mmoja anayewahoji namna mnavyotawala nchi mnafikiri ni CDM. Watanzania washawashitukia fix zenu, miaka 60 ya uhuru maji tu yamewashinda kupeleka vijijini - kila siku na statistics zenu za urongo.
Wapi hakuna maji?
 
huku ndiko kunaitwa kuishi wa matumaini.
 
Ni nini kinakwamisha muswada kufikishwa bungeni kila kukicha?
 
Kati ya ujinga mwingi uliopo miongoni mwa praise and worship team ni kutuaminisha kuwa hela ni za RAIS!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…