Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 112
BIMA ipi mkuu? Nyoosha maelezo
Ahsante... nilimaanisha bima zote mkazo ukiwa sio kwenye Afya.BIMA ipi mkuu? Nyoosha maelezo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BIMA ipi mkuu? Nyoosha maelezo
Ahsante... nilimaanisha bima zote mkazo ukiwa sio kwenye Afya.BIMA ipi mkuu? Nyoosha maelezo
AAR ni ya kimataifa kwa kweli popote utakapoenda utawakuta na unapewa first priority ila michango yao kwa mwaka kwa mtu mzima ni zaidi ya $5000 sawa sawa na 11m Tanzania shilling, kama huo uwezo unao nakushauri kawafuate hao watu their good
Nimewapigia strategies wamesema ni 60 mwisho.AAR niya kimataifa kwa kweli popote utakapo enda utawakuta na unapewa first priority...ila michango yao kwa mwaka kwa mtu mzima ni zaidi ya $5000 sawa sawa na 11m Tz shilling, kama huo uwezo unao nakushauri ka wa fuate hao watu their good
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa maisha ya mBongo wa kawaida hii ni gharama sana.AAR niya kimataifa kwa kweli popote utakapo enda utawakuta na unapewa first priority...ila michango yao kwa mwaka kwa mtu mzima ni zaidi ya $5000 sawa sawa na 11m Tz shilling, kama huo uwezo unao nakushauri ka wa fuate hao watu their good
Sent using Jamii Forums mobile app
Jubilee ndio hii ambayo juzi ilileta shida??Kwa maisha ya mBongo wa kawaida hii ni gharama sana.
Atafute Jubilee
Sent using Jamii Forums mobile app
Uenda analipiwa na shirika ambalo haliangalie gharamaKwa maisha ya mBongo wa kawaida hii ni gharama sana.
Atafute Jubilee
Sent using Jamii Forums mobile app
TrueKwa maisha ya mBongo wa kawaida hii ni gharama sana.
Atafute Jubilee
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwekee package zao naona porojo tu kwenye website zao gharama za mtu kujiunga hazipoNi kitu kizuri kama iwapo wataruhusu mfanyakazi wa serikali afanye uchaguzi wa Bima ya Afya itakayompatia matibabu. Hapo kwanza tutaona ushindani wa kutoa vifurushi vyenye kushawishi wateja. Lakini huu ukiritimba wa NHIF unasababisha wenyewe wajione alpha na omega. Kila kukicha wanapunguza huduma na vifurushi wanavyovitoa. Natumai imefika wakati muafaka kwa vyombo husika waanze kuifatilia kwa karibu. Wafanyakazi wa umma watashindwa kumudu gharama za matibabu na huku wakiendelea kukatwa kwenye mishahara yao. Hebu tizama hii taarifa ya hili gazeti:
Ninao uzoefu wa AAR wanatoa huduma nzuri lakini tatizo lao huduma zao ziko baadhi ya miji na mara nyingi International Agencies wanawatumia![]()
New NHIF insurance packages spark debate
The National Health Insurance Fund (NHIF) is collecting stakeholders’ views on new health insurance packages which are expected to be introduced in future to cater for private and informal sectorwww.thecitizen.co.tz