Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mtu unaweza kuanzisha uzi kabisa kwa ajili ya kuisifia NHIF?? Huwezi kuwa serious kabisa
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Na hiyo ya 50400 Ina a lot of restrictions...kuna huduma mteja hapatiwi.Nilijua tuu wewe umetumwa na NHIF sio bure...yaan ukatwe 120,000 kwenye mshahara bado ulipie tena 50k kwa ajili ya mtoto huo ni wendawazimu
Kabisasawa afisa wa NHIF.
za kuambiwa changanya na zako
Mtu mzima anaanzia 18 yrs, wako sahihiNHIF kwa sasa ni dhuruma tupu. Nachangia 120,000 monthly toka mshahara. Kwenye nafasi tano za Dependants nilijaza mbili tu za watoto wangu . wamenitimia meseji ati December wanamuondoa mtoto wangu mmoja kwa vile atakua 18 years. That is daylight robbery. Something has to be done
Hamna lolote. Dawa kibao zimeondolewa mfano mgonjwa wa kisukari ambaye dawa zingine zimeshindwa kumsaidia analazimishwa kutumia insulin wakati Kuna dawa Kama Galvas met ambayo mmeindoa kwa madai ni gharama. Glucose test pia mmeindoa inabidi mtu anunue mwenyewe. Dawa nyingi mmeziondoa. Usitudanganye hatudanganyiki
Najua utakua ni mfanyakaz tu wa NHIF Sasa nina kero nyingi kuwahusu kwanza wafanyakaz wenu hawajui hta kuongea na wateja Kuna mmoja nilitaka nimzabe makofi kwa mdomo wake mchafu wakat mi nateketeza hela zangu huku nakosa huduma za muhimu
Hongera Mtumishi wa NHIFNilichokudanganya nini? Mimi nimesemea kwa upande wangu nimelipia 192,000 ila kuanzia February hadi sasa matibabu niliyotumia ni zaidi ya hiyo hela, tena imenisaidia sana...
Kusafisha menoEmbu tuelezee kuhusu kung'arisha meno kidogo
Hiyo list ya Dawa na maelekezo yake ni kweli kabisa na YASIPUUZWE kama walivyoandika hapo kukanusha. Barua hiyo ni usanii mtupu. Dawa namba 62 (DUPHASTON) dozi ni shilingi 84,000/= NHIF wanawalipa Pharmacy Tsh. 42,000/= Je pharmacy waingie hasara? Pharmacy zote hapa nilipo hazipokei Bima ya NHIF wamebakia na mabango ya NHIF lakini huduma hawatoi baadhi ya Pharmacy wamejitoa kabisa. Hayo yote nimeyajua baada ya kwenda Private Hospital na kuandikiwa dawa hiyo kisha kwenda Pharmacy niliambiwa dawa hiyo nitapewa kama nitaandikiwa na Hospital ya Rufaa ya Mkoa nikaenda huku.Haya endelea kujua hivyo
Pole kwa yaliyokukuta