Bima ya Afya Tanzania: Kampuni bora na zenye changamoto katika kuhudumia wateja wake

Bima ya Afya Tanzania: Kampuni bora na zenye changamoto katika kuhudumia wateja wake

Jamani naomba kuuliza,ulikuwa na mke umemkatia bima baadae mkaachana ,je ile bima unaweza kumuondoa ukamuweka mke mwingne ulie muoa ?
Swali la pili,nilimkatia mdogo wangu bima mda kidogo naadae ikapotea,wakati nataka kuirudisha wakasema tayari sheria imebadilika ndugu zako hawamo tena kama zamani.Sasa je hiyo nafasi yake nawaeza muweka mtu mwingne anaetambulika kisheria ?

Kuhusu kumuweka mke mwingine nahisi ukienda na vielelezo vyote watamtoa, mfano mtu akifariki unapeleka death certificate copy wanamtoa unamuwekea mtu mwingine

Wamebadilisha Sheria maana hata bima yenyewe wameiweka kwenye packages Tatu kulingana na umri na kiasi cha pesa utakachoweza kuchangia kama unalipia kutoka kazini kabisa pia wanapackage zao kulingana na unavyochangia
 
Huduma ya kung'arisha meno haipo kwenye bima, tafadhali rekebisha hapo juu. Tena bima yenyewe NAJALI tafadhali Sana punguza fix bro.

Hizo bima za bundles zinachangamoto nyingi ya dawa!

Sasa unabishana na niliyesafishwa[emoji28][emoji28] nimesafishwa na ultrasounds Pia nimefanya hadi sasa Tatu!

Bima wameweka huduma kwenye ngazi tofauti kama ukienda zahanati hamna huduma za ultrasound ni unalipia, kuna baadhi za hosp sio huduma zote bima wanalipia...
 
Hii Bima mapungufu makubwa ni kuwatenga kina mama kwenye kujifungua.
Hakuna Dunia inayotenga wale waliopo kwenye kihatarishi cha kifo isipokuwa NHIF.
Nashangaa kina mama wanaenda kwenye uchaguzi wanasahau hili
Kama umebeba mimba ndio ukakata Bima hutahudumiwa.
 
Mm nimekata nikiwa na mimba ya miezi miwili

Kumuona daktari tu hata hosp za serikali ni 5,000 na kufunguliwa file (Kama Amana hosp nililipia 5,000) hosp za private zingine 7,000 kwa 10,000 daktari bingwa labda wa wanawake 30,000 sasa fikiria ukienda hosp tano utakua umelipia sh ngapi? Hapo nje ya huduma, madawa bado

Na sio kila siku mtu unakua na hela, Kuna siku unashikwa na ugonjwa hauna hata mia Ila ukiwa na bima inakusaidia, sana sana wajawazito Kwa kweli kama hauna bima TAFUTA TU!! Mm nilikua kama simsikii mtt akicheza Fasta hosp nikijisikia kuumwa chochote hosp fastaaa bado baada ya kujifungua nikapata complications (baada ya mtt kufariki, stress nn etc) nimeonana na daktari bingwa nimetibiwa hadi nimepona kupitia hiyo bima

Ni kweli inachangamoto sana tu ila INASAIDIA kama huoni msaada wake basi usikate!! Maana hata makampuni ya simu kuna shida, tanesco sijui dawasco/dawasa kote kuna matatizo...
 
Sasa unabishana na niliyesafishwa[emoji28][emoji28] nimesafishwa na ultrasounds Pia nimefanya hadi sasa Tatu!

Bima wameweka huduma kwenye ngazi tofauti kama ukienda zahanati hamna huduma za ultrasound ni unalipia, kuna baadhi za hosp sio huduma zote bima wanalipia...
Hyo bima nijuaavyo hawagharishi meno, Wala kuwekea veneer, huyo alikufanyia tu Ila akaandika jambo lingine sio bima ya nhif tu hata bima nyingine za afya ka jubilee treatment na meno mazuri huwa hayajumuishi bima, from my experience ya kutumia nhif na jubilee insurance na ka kusafisha kwa kawaida jino kuuma sawa Ila yakufanya meupe, sijui crowning and veneers bima hai cover hzo cost
 
Huna Akili. Toa Huu Uchafu wako na Waambie waliokutuma kuwa tayari Muheshimiwa Rais ameshafikiria kuweka Mshindani wenu kama ilivyokuwa kwa Bohari Kuu ya Dawa, Uliza watu wa Halmashauri maana ya Prime Vendor, hao watu wanafanya kazi na kupiga hela , Bohari ikalale.

Na Rais akasema pesa zote ziende vituoni wao ndio wachague pa kununua Madawa, Bohari haipati Kitu.

Wote nyie ni Zero Brain na hamuheshimu Afya za ndugu zetu. PUMBAVU, Na huyo DG wenu atatumbuliwa . Bima ya NHIF kwa mwaka ni 1,550,000 , hayo mengine uliyoandika hapo ni wizi kwa wasiojua.

NHIF ni UJAMBAZA WENYE KIBALI

Mhh sasa huu hi uongoo mkuu mimi nimemkatia mtoto wangu tangu mwaka juzi nalipia 50,400 tu kwa mwaka dogo akiugua anatibiwa vzr tu sijawah toa hata mia tofauti na hiyo Ada niliuliza kua na mm naweza pata nikaambiwa ka mpango huo wa najali Afya wa laki na kitu so huyu dada anasema kweli niliuliza ofisini Mwenge hapo wakaniambia na form nikapewa
 
Mhh sasa huu hi uongoo mkuu mimi nimemkatia mtoto wangu tangu mwaka juzi nalipia 50,400 tu kwa mwaka dogo akiugua anatibiwa vzr tu sijawah toa hata mia tofauti na hiyo Ada niliuliza kua na mm naweza pata nikaambiwa ka mpango huo wa najali Afya wa laki na kitu so huyu dada anasema kweli niliuliza ofisini Mwenge hapo wakaniambia na form nikapewa

Yani watu wanabisha tu watanzania sijui tukoje
Mm nimesema kiupande wangu imenisaidia sasa mtu anakubishia[emoji1][emoji1] nimeitumia kuanzia February hadi sasa kwa 192,000 tu sasa nisingekua na bima hadi sasa ningetumia zaidi ya hiyo

Na chuo nilikua natumia ya 50,400 years imeexpire nikakata ya kujitegemea
 
Kwa wanafunzi/makundi maalumu hiyo 50,400 ukilipa unakuwa umeingia kwenye category gani Kati ya hivyo vifurushi vyao?

Haipo hapo ipo kwenye hiyo karatasi kwa nyuma

Umri 0-17 Ndio hiyo 50,400 zaidi ya hapo kama ni mwanafunzi 18+ basi kuna fomu kwenye shule zilizojiunga na mfuko wa bima ama vyuoni unajaza unalipia hiyo 50,400
 
Haipo hapo ipo kwenye hiyo karatasi kwa nyuma

Umri 0-17 Ndio hiyo 50,400 zaidi ya hapo kama ni mwanafunzi 18+ basi kuna fomu kwenye shule zilizojiunga na mfuko wa bima ama vyuoni unajaza unalipia hiyo 50,400
Sawa lakini nimekuuliza ukilipa hiyo 50,400 kama mwanachuo ambaye chuo kimejiunga na mfumo huo wa NHIF unaingizwa kwenye package ipo kati ya hizo?
 
Hyo bima nijuaavyo hawagharishi meno, Wala kuwekea veneer, huyo alikufanyia tu Ila akaandika jambo lingine sio bima ya nhif tu hata bima nyingine za afya ka jubilee treatment na meno mazuri huwa hayajumuishi bima, from my experience ya kutumia nhif na jubilee insurance na ka kusafisha kwa kawaida jino kuuma sawa Ila yakufanya meupe, sijui crowning and veneers bima hai cover hzo cost

Kwa baadhi za hosp, hata mm kuna hosp zingine nilikua nikienda kwaajili ya ultrasounds wanasema haipo kwenye bima, ila nikienda hosp zingine zipo! Sasa mm nimesafishwa meno nilionana na daktari wa meno akanipa appointment kupitia hiyo bima... sijalipia! Sasa kama haipo sielewi
 
Sawa lakini nimekuuliza ukilipa hiyo 50,400 kama mwanachuo ambaye chuo kimejiunga na mfumo huo wa NHIF unaingizwa kwenye package ipo kati ya hizo?

Hizo package ni kwa watu binafsi ambao sio wanachuo Au kulipiwa na mashirika (kampuni) hizo ni za BINAFSI kama wafanyabiashara/wajasiliamali nk

50,400 ni kwa watoto 0-17 (wanafunzi hat ukiwa na miaka60)
50,400 inajitegemea haipo kwenye hizo package mpya na hapo kwenye package haipo ya mtoto ya kujitegemea ipo ambayo imejumushwa baba mama mtt Au watoto

Packages zinaanzia 18-35yrs nakuendelea
 
Hizo package ni kwa watu binafsi ambao sio wanachuo Au kulipiwa na mashirika (kampuni) hizo ni za BINAFSI kama wafanyabiashara/wajasiliamali nk

50,400 ni kwa watoto 0-17 (wanafunzi hat ukiwa na miaka60)
50,400 inajitegemea haipo kwenye hizo package mpya na hapo kwenye package haipo ya mtoto ya kujitegemea ipo ambayo imejumushwa baba mama mtt Au watoto

Packages zinaanzia 18-35yrs nakuendelea
Kwahiyo kwa wale wanaolipa 50,400 kwa kundi let say la wanachuo wanapata huduma zote au kuna zingine unapaswa kulipia?
Hoja yangu ndo ipo hapa tu.
 
Kwahiyo kwa wale wanaolipa 50,400 kwa kundi let say la wanachuo wanapata huduma zote au kuna zingine unapaswa kulipia?
Hoja yangu ndo ipo hapa tu.

Huduma zote na kama ni mwanachama wa zaidi ya mwaka basi hadi kujifungua wanalipia, rafiki yangu anasoma UDSM kajifungua mariastopes kwa operation kupitia hiyo bima ya 50,400 na kakaa siku4 hosp
 
Hii Bima mapungufu makubwa ni kuwatenga kina mama kwenye kujifungua.
Hakuna Dunia inayotenga wale waliopo kwenye kihatarishi cha kifo isipokuwa NHIF.
Nashangaa kina mama wanaenda kwenye uchaguzi wanasahau hili
Kwa mkakati uliosukwa na tume ya uchaguzi, usiwalaumu kina mama. Mwaka huu NEC imejiandaa. Hata vituo vikifungwa bila alie jitokeza kupiga kura, CCM utashindwa kwa zaidi ya 60%.
 
Embu tuelezee kuhusu kung'arisha meno kidogo

Sijaelewa swali lako ni jinsi nilivyofanyiwa hosp Au?? Mm sio dentist ila kwa kifupi nilisafishwa akaweka vitu kwenye meno kama dawa na kidude Kama kijiko kidogo akabandika vidude kama meno kwa juu Kuna kitochi kinamulika, kingine kama kimashine anakiingiza kwa ndani kwenye kuta za meno Au mnataka nitume meno yangu humu video nikiongea[emoji16]
 
Sijaelewa swali lako ni jinsi nilivyofanyiwa hosp Au?? Mm sio dentist ila kwa kifupi nilisafishwa akaweka vitu kwenye meno kama dawa na kidude Kama kijiko kidogo akabandika vidude kama meno kwa juu Kuna kitochi kinamulika, kingine kama kimashine anakiingiza kwa ndani kwenye kuta za meno Au mnataka nitume meno yangu humu video nikiongea[emoji16]
[emoji3][emoji3]..Najua teeth whitening inavyofanya kazi ila hii huduma kibongo bongo nilikuwa najua bado ni magumashi..Fanya hivi Pisi Kali,tupia kapicha ka meno yako yaliyong'arishwa tafadhali
 
Kwa baadhi za hosp, hata mm kuna hosp zingine nilikua nikienda kwaajili ya ultrasounds wanasema haipo kwenye bima, ila nikienda hosp zingine zipo! Sasa mm nimesafishwa meno nilionana na daktari wa meno akanipa appointment kupitia hiyo bima... sijalipia! Sasa kama haipo sielewi
Hyo ya kusasafisha kawaida Ila ya kungarisha bima hai covi cost yake
 
Back
Top Bottom