Bima ya Afya Tanzania: Kampuni bora na zenye changamoto katika kuhudumia wateja wake

Bima ya Afya Tanzania: Kampuni bora na zenye changamoto katika kuhudumia wateja wake

Bima ya afya ya mtoto kwa Nhif ipo inaitwa Toto gharama Yake Ni tsh 50,300 kwa mwaka ...

Utaenda na Cheti Cha kuzaliwa cha mtoto na passport size Kama mtoto ni zaidi ya miezi 6...

Ila Kama mtoto ana umri chini ya miezi 6 utaenda na Tangazo la kuzaliwa na passport size tu....

Utakapo mkatia hii Bima mtoto ataacha kuitumia mpaka atakapo fikisha miaka 18.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toto Afya inahusu wote walio chini ya Miaka 18 na Wanafunzi wote.

Wote hulipa 50400 na hutumika kwa Mwaka 1.

Bima hii inaanza tumika siku 90 baada ya kulipia na kurudisha Fomu.

Kwa watoto lazima upeleke Cheti cha kuzaliwa maana chapatikana hata kama mtoto ana siku 3

Kwa wanafunzi lazima upitie shuleni au chuoni kuweza pata hiyo bima
Bima ya afya ya mtoto kwa Nhif ipo inaitwa Toto gharama Yake Ni tsh 50,300 kwa mwaka ...


Utaenda na Cheti Cha kuzaliwa cha mtoto na passport size Kama mtoto ni zaidi ya miezi 6...

Ila Kama mtoto ana umri chini ya miezi 6 utaenda na Tangazo la kuzaliwa na passport size tu....


Utakapo mkatia hii Bima mtoto ataacha kuitumia mpaka atakapo fikisha miaka 18.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toto Afya inahusu wote walio chini ya Miaka 18 na Wanafunzi wote.

Wote hulipa 50400 na hutumika kwa Mwaka 1.

Bima hii inaanza tumika siku 90 baada ya kulipia na kurudisha Fomu.

Kwa watoto lazima upeleke Cheti cha kuzaliwa maana chapatikana hata kama mtoto ana siku 3

Kwa wanafunzi lazima upitie shuleni au chuoni kuweza pata hiyo bima

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaah ndio hivyo ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashkuru sana kwa maelekezo mazuri, Cheti cha kuzaliwa nnacho, ngoja nianze mchakato
Bima ya afya ya mtoto kwa Nhif ipo inaitwa Toto gharama Yake Ni tsh 50,300 kwa mwaka ...


Utaenda na Cheti Cha kuzaliwa cha mtoto na passport size Kama mtoto ni zaidi ya miezi 6...

Ila Kama mtoto ana umri chini ya miezi 6 utaenda na Tangazo la kuzaliwa na passport size tu....


Utakapo mkatia hii Bima mtoto ataacha kuitumia mpaka atakapo fikisha miaka 18.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu si kweli Nina rafiki yangu baba yake ana kidney failure na anapata huduma zooote kwa Nhif ... Huwa anafanyiwa mabadiriko ya damu mwaka mzima kwa hiyo hiyo kadi mpaka Sasa Hali Yake imetengemaa .... Mara ya mwisho kafanyiwa hayo matibabu mwaka Jana mwezi wa 11....

Sent using Jamii Forums mobile app
Wamebadilisha miongozo yao. Bibi yangu ana kisukari. Glucosticks wanampa mara moja ndani ya miezi 2. Hizo zina last mwezi mmoja tu. Lazma na yeye achangie. Huo ni mfano mmoja tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bima hizi hazitaki kulipia vipimo, hawataki kulipia dawa, nini maana ya bima?

Wanakuchagulia ugonjwa wa kuugua.
Unaambiwa mwaka wa kwanza huduma ziko limited lakini hata baada ya kumaliza mwaka ukienda hospitali, utasikia x-ray, MRI au CT-San hawalipi, utaambiwa parasol watalipa lakini ciprofloxacin hawalipi, sasa unajiuliza kwanini una bima ya afya.

Unalipia premium kila mwezi no question lakini ukifika muda wa wewe kupata service zinakuwa limited.

Nadhani kuna haja insurance kueleza huduma wayakazolipia kabla hawaja mlazimisha mtumishi kuwa na insurance, maana wengi wasio na choices mnazozitafuata hapa wanaumizwa sana.

Insurance inalipia Malaria tu, ukiumwa beyond malaria wanaanza, ohoo hivyo vipiko hatulipii, sasa huyo daktari atajuaje naunwa nini kama hamtaki nifanyiwe vipimo?!
Insurance kama waneona 1.5 inatosha wasiweke masharti, na kama haitoshi basi waseme ni kiasi gani kinatosha ili ukijibana ukalipia au ukakatwa kazini wakubali nawewe upate huduma unlimited kuliko ilivyo sasa.

Sasa watumishi ukatwe NIHF, isikusaidie halafu uingie gharama kulipia Jubilee, au AAR kwa pesa nyingine, rushwa itaishaje huku makazini.

Wote tungepata huduma sawa ingekuwa rahisi kuliko kuwekwa kwenye mafungu, sisi NIHF wao Jubilee au AAR na wote tuko ofisi moja.

Kama wabunge na mawaziri nao wangekuwa na hizi NIHF bila shaka huduma zingeboreshwa, tofauti na hapo tunaumia sisi.
Bima ya NHIF ni bora sana maana vipimo vingi unapata, yakupasa kujua vipimo vyote vinavyotolewa na bima yako kabla ya kukata, vile vile yakupasa kujua ni kwa wakati gani. Hawezekan ukate bima mwezi jana then mwezi huu utumie bima kujingua. Na mkae mkijua biashara ya bima za afya hazina faida mara nyingi zinatumika tu kupata business katika bima nyinginezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bima ya NHIF ni bora sana maana vipimo vingi unapata, yakupasa kujua vipimo vyote vinavyotolewa na bima yako kabla ya kukata, vile vile yakupasa kujua ni kwa wakati gani. Hawezekan ukate bima mwezi jana then mwezi huu utumie bima kujingua. Na mkae mkijua biashara ya bima za afya hazina faida mara nyingi zinatumika tu kupata business katika bima nyinginezo

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili yako itakuwa na matatizo, biashara gani ina faida ikazidi bima?! Tena hii ya kulazimishwa, bora ingekuwa utashi wa mtu, unakatwa kwa lazima kazini lakini huduma unazisotea hospitalini, unadhani nani ana muda kuanza kujua vipimo wakati hujaumwa ?! Hilo jukumu la madaktari nikiumwa sio kazi yangu.
 
  • Thanks
Reactions: SIM
Akili yako itakuwa na matatizo, biashara gani ina faida ikazidi bima?! Tena hii ya kulazimishwa, bora ingekuwa utashi wa mtu, unakatwa kwa lazima kazini lakini huduma unazisotea hospitalini, unadhani nani ana muda kuanza kujua vipimo wakati hujaumwa ?! Hilo jukumu la madaktari nikiumwa sio kazi yangu.
Boss ninachokwambia najua, mara nyingi biashara ya bima ya afya inatolewa kwa kutoa support kwenye general insurance business (bima tofauti na za afya) kwa kampuni za kibinafsi.

Mashirika ya serikali yanatoa bima ya afya kama huduma na sio kujipatia fedha na mengi yanapata hasara, wanachofanya ni social protection. Kulazimisha watu kuwa na bima ni jambo jema kwa sababu huwezi kujua lini utapata ugonjwa.

Sababu ya kupata hasara au faida ndogo ni kwamba kuna nyingi ila main ni mbili, moja ni kutokana na mteja kukata bima pindi anahisi ana ugonjwa, hapa itapelekwa yeye mteja kuanza kutumia bima punde tu anakata bima, bima yapaswa kukatwa pale huna majanga hii itatoa nafasi kwa kampuni ya bima kukusanya michango mingi ma kuzalisha investments.

Sasa ukiangalia bima ya afya mara nyingi watu huzitafuta pindi ana ugonjwa kaenda hospital kaona vipimo ni gharama basi anaamua kutafuta bima ya afya. Mara nyingine mteja kwa sababu ana bima basi anaweza kwenda hospitali zaidi ya moja kwa week kisa tu ana bima, au kuchagua hospitali zenye Gharama kubwa. Kwa experience tu watu wengi wana tabia hizo sana pindi wakihitaji bima ya afya.

Sababu ya pili ni kwa watoa huduma za afya, kufanya vipimo vingi kwa mgonjwa baada ya kujua ana bima ya afya, au kumpa dawa zenye gharama au kutumia expensive procedures katika kutoa huduma. Hii yote inapelekea utilisation kubwa ya bima pasipo na umuhimu. Sema hii mara nyingi baadhi ya kampuni ya bima wameweza ipunguza kwa kuanzisha hospital.

Unatakiwa kujua huduma zinazotolewa na bima yako ili ujue bima yako inaendana na mahitaji yako sasa kama huna muda basi utaendelea kulalamika hadi mwisho.

Nikiwa chuoni nimetumia bima ya NHIF Tsh 50,400 kwa mwaka na nimepata vipimo vikubwa tu, vile vile nimeweza kuitumia katika hospitali kubwa tu na huduma ni nzuri.
 
Kuna kampuni nyingi za bima za afya Tanzania.Anayejua gharama za bima zao za afya na packages zao atuwekee hapa ili anayetaka ajue aende wapi
Ipo NHIF na gharama zake nimekuwekea hapo.

Pia kwa watoto chini ya miaka 18 ni 50,400 kwa mwaka.

Kama utakuwa na swal karibu
IMG-20200509-WA0026.jpg
IMG-20200509-WA0031.jpg
 
Eti wadau naomba kuuliza, ni kampuni gani ya bima ambayo haina usumbufu inapokuja kwenye suala ya kulipa ikiwa umepata majanga ukiwa umelipia
 
Kaa na pesa yako mfukoni, ukiwa na pesa hata Mwananyamala Hospitali ni zaidi ya Agha Khan.
Insurance zetu hizi ni wezi tu, hawamiliki hospitali, wao wanachukua premiums kila mwezi ukiugua eti wanaanza kumsumbua mtoa huduma, imefikia hatua ukienda hospitali unawaambia nina bima!.
Wanakuuliza kwa hiyo?!
Kwani hizo pesa unatulipa sisi?!
Kama unayo bima hapa umefuata nini kwanini usiende huko unakowalipa?!

Ukiwa na cash nchi hii hata uhitaji bima.

Alternatively, kata bima kisha tafuta pesa ya kulipia matibabu yako, kwasababu watoa huduma kwasababu ya kusumbuliwa na hizo bima nao hutoa huduma hafifu kwa wenye bima ili wasiingie hasara, pending bima isipolipia.

Kwangu, solution ya hili kata bima yoyote lakini kaa na cash standby, ndivyo nchi hii ilivyo, hakuna insurance company isiyosumbua kulipa watoa huduma.

Wanatoza pesa nyingi lakini hawataki kuzilipa kwa anayekuhudumia.
 
Asanteni wale wote mnaoendelea kunipa pole msgs ni nyingi mno kipindi hichi nimezidi kuwa karibu sana Mungu[emoji1431]

Twende kwenye mada

Nimeona post nyingi zinalalamikia kuhusu bima ya afya ya NHIF na zingine, binafsi niongelee kuhusu NHIF. Kwa upande wangu ilinichukua siku30 kupata kadi ya bima baada ya kufanya taratibu zote za kujiunga. Nilifanya maombi January mwishoni nikapata February mwaka huu kwa malipo ya 192,000 (kwa mwaka).

Huduma wameweka kwenye categories tatu kulingana na miaka na pesa unayolipia, mimi nilikata inaitwa NAJALI AFYA. Kuanzia ujauzito wangu hadi kujifungua nimetumia bima kasoro kujifungua tu ndio nililipia ila malazi (leba) na siku zingine sijalipia hata mia, nimeonana na daktari bingwa si chini ya mara 10 kupitia hiyo bima sijalipia bado ultrasounds mara3, madawa, sindano.

Yani nimetumia zaidi ya 1m+ while mimi nililipia 192,000 tu na hapa ni mpaka mwakani February. Bado nimeng’arisha meno sijalipia kabisa, kingine nilicholipia ni dawa za kukausha maziwa, 21,000 tu. Kila kitu hakikosi changamoto, kwa upande wangu IMENISAIDIA SANA na hapa mwakani nailipia tena!

Wa mama kija jamani kama hauna bima tafuta mapema tu ujauzito unachangamoto sana na sikuhizi kumuona daktari unalipia kufungua file unalipia fikiria ukienda hosp mara nyingi unalipia kiasi gani? Bado madawa, unaweza ukaandikiwa kulazwa.

UCHAGUZI MWEMA WANAJF
 
NHIF kwa sasa ni dhulma tupu. Nachangia 120,000 monthly toka mshahara. Kwenye nafasi tano za Dependants nilijaza mbili tu za watoto wangu . wamenitimia meseji ati December wanamuondoa mtoto wangu mmoja kwa vile atakua 18 years. That is daylight robbery. Something has to be done
 
Asanteni wale wote mnaoendelea kunipa pole msgs ni nyingi mno kipindi hichi nimezidi kua karibu sana Mungu[emoji1431]

Twende kwenye mada

Nimeona post nyingi zinalalamikia kuhusu bima ya afya ya NHIF na zingine, binafsi niongelee kuhusu NHIF

Kwa upande wangu ilinichukua siku30 kupata kadi ya bima baada ya kufanya taratibu zote za kujiunga. Nilifanya maombi January mwishoni nikapata February mwaka huu kwa malipo ya 192,000 (kwa mwaka).

Huduma wameweka kwenye categories Tatu kulingana na miaka na pesa unayolipia, mimi nilikata inaitwa NAJALI AFYA

Kuanzia ujauzito wangu hadi kujifungua nimetumia bima kasoro kujifungua tu ndio nililipia ila malazi (leba) na siku zingine sijalipia hata mia, nimeonana na daktari bingwa si chini ya mara 10 kupitia hiyo bima sijalipia bado ultrasounds mara3, madawa, sindano

Yani nimetumia zaidi ya 1m+ while mimi nililipia 192,000 tu na hapa ni mpaka mwakani February.

Bado nimeng’arisha meno sijalipia kabisa, kingine nilicholipia ni dawa za kukausha maziwa, 21,000 tu

Kila kitu hakikosi changamoto, kwa upande wangu IMENISAIDIA SANA na hapa mwakani nailipia tena!

Wa mama kija jamani kama hauna bima tafuta mapema tu ujauzito unachangamoto sana na sikuhizi kumuona daktari unalipia kufungua file unalipia fikiria ukienda hosp mara nyingi unalipia kiasi gani? Bado madawa, unaweza ukaandikiwa kulazwa

Mods msiniunganishie uzi wangu na nyuzi zingine[emoji112]

UCHAGUZI MWEMA WANAJF

Huna Akili. Toa Huu Uchafu wako na Waambie waliokutuma kuwa tayari Muheshimiwa Rais ameshafikiria kuweka Mshindani wenu kama ilivyokuwa kwa Bohari Kuu ya Dawa, Uliza watu wa Halmashauri maana ya Prime Vendor, hao watu wanafanya kazi na kupiga hela , Bohari ikalale.

Na Rais akasema pesa zote ziende vituoni wao ndio wachague pa kununua Madawa, Bohari haipati Kitu.

Wote nyie ni Zero Brain na hamuheshimu Afya za ndugu zetu. PUMBAVU, Na huyo DG wenu atatumbuliwa . Bima ya NHIF kwa mwaka ni 1,550,000 , hayo mengine uliyoandika hapo ni wizi kwa wasiojua.

NHIF ni UJAMBAZA WENYE KIBALI
 
Back
Top Bottom