Bima ya Afya Tanzania: Kampuni bora na zenye changamoto katika kuhudumia wateja wake

Bima ya Afya Tanzania: Kampuni bora na zenye changamoto katika kuhudumia wateja wake

NHIF kwa sasa ni dhuruma tupu. Nachangia 120,000 monthly toka mshahara. Kwenye nafasi tano za Dependants nilijaza mbili tu za watoto wangu . wamenitimia meseji ati December wanamuondoa mtoto wangu mmoja kwa vile atakua 18 years. That is daylight robbery. Something has to be done

Inatakiwa ufike ofisini kwao

Kama shule anayosoma mwanao wamejiunga na mfuko wa bima basi anachukua fomu unajaza anaenda nayo ni 50,400 kwa mwaka au uende na nyaraka za mtoto za shule offcn kwao uwaelezee japo kwenye vipeperushi vyao wameandika kuanzia 18-35yrs bima za kujitegemea unless awe anatumia kupitia shule/chuo Au vikundi binafsi


Fika offcn kwao na nyaraka za mtoto kama birth certificate, kitambulisho cha shule naimani tatizo lako litatuliwa japo inaweza isiwe kwa uharaka sana maana mm kupata kadi niliambiwa within 30days
 
Huna Akili. Toa Huu Uchafu wako na Waambie waliokutuma kuwa tayari Muheshimiwa Rais ameshafikiria kuweka Mshindani wenu kama ilivyokuwa kwa Bohari Kuu ya Dawa, Uliza watu wa Halmashauri maana ya Prime Vendor, hao watu wanafanya kazi na kupiga hela , Bohari ikalale.

Na Rais akasema pesa zote ziende vituoni wao ndio wachague pa kununua Madawa, Bohari haipati Kitu.

Wote nyie ni Zero Brain na hamuheshimu Afya za ndugu zetu. PUMBAVU, Na huyo DG wenu atatumbuliwa . Bima ya NHIF kwa mwaka ni 1,550,000 , hayo mengine uliyoandika hapo ni wizi kwa wasiojua.

NHIF ni UJAMBAZA WENYE KIBALI

Unajielewa kweli wewe????
 
IMG_2566.jpg

IMG_2567.jpg
 
Hii Bima mapungufu makubwa ni kuwatenga kina mama kwenye kujifungua.
Hakuna Dunia inayotenga wale waliopo kwenye kihatarishi cha kifo isipokuwa NHIF.
Nashangaa kina mama wanaenda kwenye uchaguzi wanasahau hili
 
Unajielewa kweli wewe????

Ninaijua NHIF ZAIDI yako in and out, na hayo mapicha yako ni wizi kwa maana nikikupigia mahesabu yake na stahiki anazopata MNUFAIKA ni kwamba unawaibia UMMA.

NHIF haijaweza kutatua kero ya wananchi; ni sawa na wale mawaziri walioshauri ili kupunguza FOLENI, wakati wa Asubuhi, magari yanayotoka Mjini kwenda sehemu mbali mbali yazuiwe na badala yake barabara itumike na magari yanayoenda mjini kutoka sehemu mbali mbali. Kwa akili kama zako za kisoda, hiyo ndiyo solution ? Na ndiyo kilichofanywa na NHIF .

Stupid
 
Inatakiwa ufike offcn kwao

Kama shule anayosoma mwanao wamejiunga na mfuko wa bima basi anachukua fomu unajaza anaenda nayo ni 50,400 kwa mwaka au uende na nyaraka za mtoto za shule offcn kwao uwaelezee japo kwenye vipeperushi vyao wameandika kuanzia 18-35yrs bima za kujitegemea unless awe anatumia kupitia shule/chuo Au vikundi binafsi


Fika offcn kwao na nyaraka za mtoto kama birth certificate, kitambulisho cha shule naimani tatizo lako litatuliwa japo inaweza isiwe kwa uharaka sana maana mm kupata kadi niliambiwa within 30days
Nilijua tuu wewe umetumwa na NHIF sio bure...yaan ukatwe 120,000 kwenye mshahara bado ulipie tena 50k kwa ajili ya mtoto huo ni wendawazimu
 
Tunako elekea huu mfuko utakua kitengo cha kukusanyia hela na si kuboresha afya za wananchi
 
Mfuko wa kijinga sana umekaa kuibia watumishi hasa wale ambao ni lazima kujijnga.....manufa ni machache kuliko kero
 
Inatakiwa ufike offcn kwao

Kama shule anayosoma mwanao wamejiunga na mfuko wa bima basi anachukua fomu unajaza anaenda nayo ni 50,400 kwa mwaka au uende na nyaraka za mtoto za shule offcn kwao uwaelezee japo kwenye vipeperushi vyao wameandika kuanzia 18-35yrs bima za kujitegemea unless awe anatumia kupitia shule/chuo Au vikundi binafsi


Fika offcn kwao na nyaraka za mtoto kama birth certificate, kitambulisho cha shule naimani tatizo lako litatuliwa japo inaweza isiwe kwa uharaka sana maana mm kupata kadi niliambiwa within 30days
Huo utakua uchizi. Nachangia kila mwezi sh 120,000/= afu unaniambia nichukue form sijui yakulipia kiasi kingine tena. Tunakoelekea lengo la huo mfuko limepotea. Si kuboresha afya za raia tena bali kutuibia
 
Ninaomba usituwekee huu uchafu kabisa. Hauna details za kutosha. Mengi yamefichwa huko ukienda hospital ndiyo utaelewa. Kwanza umri wako ni mdogo na ndiyo maana uko bima ya tzs 192,000. Sasa Bima za miaka inavyosogea ndiyo hatari. Mpaka MRI utalipia 25% na 75% ndiyo utalipiwa. Vipimo vingi vya maana na dawa za maana hakuna. Ninaomba watanzania tuungane tupaaze sauti kuhusu bima hii. Rais Magufuli ninaomba ukiapishwa uanze na Bima ya Afya. Hata kama wamechangia uchaguzi lakini si kwa kuweka rehani afya za watanzania.
 
Inatakiwa ufike offcn kwao

Kama shule anayosoma mwanao wamejiunga na mfuko wa bima basi anachukua fomu unajaza anaenda nayo ni 50,400 kwa mwaka au uende na nyaraka za mtoto za shule offcn kwao uwaelezee japo kwenye vipeperushi vyao wameandika kuanzia 18-35yrs bima za kujitegemea unless awe anatumia kupitia shule/chuo Au vikundi binafsi


Fika offcn kwao na nyaraka za mtoto kama birth certificate, kitambulisho cha shule naimani tatizo lako litatuliwa japo inaweza isiwe kwa uharaka sana maana mm kupata kadi niliambiwa within 30days
Hueleweki we afisa wa NHIF, mtu analalamika, then unamshauri akaongeze Tena sijui elfu 50 azidi kuliwa.. this is stupid...
 
NHIF kwa sasa ni dhuruma tupu. Nachangia 120,000 monthly toka mshahara. Kwenye nafasi tano za Dependants nilijaza mbili tu za watoto wangu . wamenitimia meseji ati December wanamuondoa mtoto wangu mmoja kwa vile atakua 18 years. That is daylight robbery. Something has to be done
yes 18+ wanaondolewa na still wapo ktk dependent
 
Huduma ya kung'arisha meno haipo kwenye bima, tafadhali rekebisha hapo juu. Tena bima yenyewe NAJALI tafadhali Sana punguza fix bro.

Hizo bima za bundles zinachangamoto nyingi ya dawa!
 
Ninaijua NHIF ZAIDI yako in and out, na hayo mapicha yako ni wizi kwa maana nikikupigia mahesabu yake na stahiki anazopata MNUFAIKA ni kwamba unawaibia UMMA.

NHIF haijaweza kutatua kero ya wananchi; ni sawa na wale mawaziri walioshauri ili kupunguza FOLENI, wakati wa Asubuhi, magari yanayotoka Mjini kwenda sehemu mbali mbali yazuiwe na badala yake barabara itumike na magari yanayoenda mjini kutoka sehemu mbali mbali. Kwa akili kama zako za kisoda, hiyo ndiyo solution ? Na ndiyo kilichofanywa na NHIF .

Stupid

Endelea kuijua.... Ndio nishasema na SIFUTI[emoji112] kafungue thread yako uandike unavyoijua wewe!!
 
Kwangu mimi imenisaidia sana tu, changamoto kila sehem zipo! Mnaofikiria nimetumwa sijui mimi ni afisa endeleeni kufikiria hivyo
 
Bima ya Afya ilipoanzishwa ilikuwa vizuri na ikaendelea kuboreka zaidi awamu ya nne ila mwishoni mwa awamu hiyo kuja hii awamu mambo yakaanza kuharibika sababu ya kukopwa fedha zake halafu hakuna marejesho lkn pia walikuwa wakifanya uwekezaji hasa kwenye mabenki ya kibiashara haya sasa mh alipokataza ili hela zote ziende BOT nadhani walitetereka sasa kubalance hayo na sijui wanachama nao wakajanjaruka mtu akiugua kidogo chap hospital wenye hospital ukifika alazwe sasa hizo volumes za madai kutoka hospital ili hali pesa ya kulipa hawana wafanyeje sasa ndiyo haya tuyaonayo
 
Jamani naomba kuuliza, ulikuwa na mke umemkatia bima baadae mkaachana, je ile bima unaweza kumuondoa ukamuweka mke mwingne uliemuoa?

Swali la pili, nilimkatia mdogo wangu bima muda kidogo baadae ikapotea, wakati nataka kuirudisha wakasema tayari sheria imebadilika ndugu zako hawamo tena kama zamani. Sasa je hiyo nafasi yake nawaeza muweka mtu mwingne anaetambulika kisheria ?
 
Back
Top Bottom