Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,370
Bima la hovyo kabisa hilo dammmmn!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali inajiandaa kufanya marekebisho ya sheria ya Bima ya afya nchini kwa lengo la kuhakikisha kila kaya nchini inakuwa mwanachama wa mfuko huo.
Kwa sasa serikali inapanga kupeleka marekebisho ya sheria hayo bungeni ili utekelezaji wake uanze.
CHANZO:ITV
MY TAKE:
Kama kodi ya majengo tu(property tax) imewashinda,hii ya Bima kwa kila kaya ndio wataiweza?
This is the best health insurance for poor people, God has always been there for poor people to comfort and give them courage to go on, even when their poverty lead them to death, God promise to give them eternal life. What more do poor people need.Bima ya afya kwa sala, kina kakobe, Mzee wa upako, Jo Davis, Gwajima, Dr Manyuki n' Co. Ltd mjiandae
Hii ni ndoto y alinacaha kama ile ya MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA.
Kama TAIFA kubwa KIUCHUMI duniani (Marekani) haliwezi kutoa bima ya Afya kwa wananchi wake wote. Leo Tanzania A Highly Indebted Poor Country ndiyo iweze kutoa bima ya Afya kwa watu wake wote?!
Hili nalo ni changa la macho. Labda kama itatoa bima ya Afya kwa MAOMBEZI, lakini sio kwa principle za uchumi zinazofahamika duniani kote.
Serikali inajiandaa kufanya marekebisho ya sheria ya Bima ya afya nchini kwa lengo la kuhakikisha kila kaya nchini inakuwa mwanachama wa mfuko huo.
Kwa sasa serikali inapanga kupeleka marekebisho ya sheria hayo bungeni ili utekelezaji wake uanze.
CHANZO:ITV
MY TAKE:
Kama kodi ya majengo tu(property tax) imewashinda,hii ya Bima kwa kila kaya ndio wataiweza?
Achilia mbali ukusanyaji wa kodiSerikali inajiandaa kufanya marekebisho ya sheria ya Bima ya afya nchini kwa lengo la kuhakikisha kila kaya nchini inakuwa mwanachama wa mfuko huo.
Kwa sasa serikali inapanga kupeleka marekebisho ya sheria hayo bungeni ili utekelezaji wake uanze.
CHANZO:ITV
MY TAKE:
Kama kodi ya majengo tu(property tax) imewashinda,hii ya Bima kwa kila kaya ndio wataiweza?
Serikali inajiandaa kufanya marekebisho ya sheria ya Bima ya afya nchini kwa lengo la kuhakikisha kila kaya nchini inakuwa mwanachama wa mfuko huo.
Kwa sasa serikali inapanga kupeleka marekebisho ya sheria hayo bungeni ili utekelezaji wake uanze.
CHANZO:ITV
MY TAKE:
Kama kodi ya majengo tu(property tax) imewashinda,hii ya Bima kwa kila kaya ndio wataiweza?
Mimi nakuwa mgumiu sana kuielewa hii serikali, yaani hufanya vitu vyake kama maigizo. Kama hadi sasa wameshindwa kutoa vitambulisho wa uraia sijui mwaka wa ngapi huu, je kusajili bima ya afya nchi nzima itachukau miaka mingapi?? Kwa maneno Ccm wanaweza. Utendaji ni kama kupanda miloma Kilimanjaro ukiwa peku.
mkuu urio a.k.a salary slip hebu toa mchango wako kuliko kuishia kulalamika.
Hivi hizi shule huwa mnakwensda kusomea ujinga?
Toka lini bima ikawa kodi?