Bima ya Afya

Bima ya Afya

jiunge nssf unachangia kwa hiyari minimum tsh elfu20 then unapata kutibiwa bure pia yani unapata fao la matibabu ambalo ni sawa na bima ya afya.

nhif kwa mtu sio muajiriwa niliwah kuwapigia simu wakaniambia ni tsh laki 9 kwa mwaka, au jaribu nawewe kuwapigia ingia site yao kuna namba za simu. au nenda personaly ofisini kwao uwaulze halafu utupe mrejesho. au i hope mwenye kujua gharama za nhif kwa asiye mfanyakaz atakuja kutujuza.

vipi huduma ya NSSF imesambaa hospitali nyingi"? laki tisa ni ghali sana!!
 
Mm nikisikia kuna insurance company ambazo zinatoa hiyo huduma ya bima ya afya ....
 
vipi huduma ya NSSF imesambaa hospitali nyingi"? laki tisa ni ghali sana!!

nssf ipo tz nzima au hujui hili? na huduma ya fao la matibabu ipo kwa wanachama wote nchi nzima. unachagua hospitali moja iliyo karibu na wewe unayopenda kutibiwa mfano kwa dar hindu mandal asu regency au agha khan marie stopes n.k, halafu ukiumwa unakwenda hospitali uliyochagua.

ila nssf hili la kuchagua hospitali moja nalo ni tatizo unakuwa huna uhuru wa kwenda hospitali nyingine sababu unakuwa hutambuliki, yani ukienda hospitali tofauti na uliyochagua unajilipia.

lakini uzuri wake ni unafuu wa kuchangia ambayo ni wastani wa laki na elfu20 kwa mwaka, na vilevile ni wewe na mkeo na wategemezi wanne aidha watoto au wazazi. vilevile ukichangia nssf unapata benefits nyingine za mfuko wa hifadhi ya jamii, kuliko ukichangia nhif au aar ni huduma tu ya bima ya afya.
 
Mm nikisikia kuna insurance company ambazo zinatoa hiyo huduma ya bima ya afya ....
insuranse company zipo ila ndio hivyo bei zao zimechangamka, AAR ni insuranse company mojawapo niliwahi kuwapigia wakaniambia karibia milioni 2 kwa mwaka....

mwenye kufahamu zaid kuhus AAR please atujuze
 
nssf ipo tz nzima au hujui hili? na huduma ya fao la matibabu ipo kwa wanachama wote nchi nzima. unachagua hospitali moja iliyo karibu na wewe unayopenda kutibiwa mfano kwa dar hindu mandal asu regency au agha khan marie stopes n.k, halafu ukiumwa unakwenda hospitali uliyochagua.

ila nssf hili la kuchagua hospitali moja nalo ni tatizo unakuwa huna uhuru wa kwenda hospitali nyingine sababu unakuwa hutambuliki, yani ukienda hospitali tofauti na uliyochagua unajilipia.

lakini uzuri wake ni unafuu wa kuchangia ambayo ni wastani wa laki na elfu20 kwa mwaka, na vilevile ni wewe na mkeo na wategemezi wanne aidha watoto au wazazi. vilevile ukichangia nssf unapata benefits nyingine za mfuko wa hifadhi ya jamii, kuliko ukichangia nhif au aar ni huduma tu ya bima ya afya.

Vipi ukishachaguq hospitali moja unaruhusiwa kuhama?
 
Ndugu zangu gharama za matibabu zinazidi kuwa aghali kwahiyo napenda kufahamu taratibu za kujiunga na mfuko wa bima ya afya wa taifa (NHIF) kwa tusio waajiriwa maana nasikia taratibu zimebadilishwa ili tulio katika sekta zisizo rasmi nasi tujiunge.
Achana na mfuko wa afya ya jamii (CHF).
 
Election results


SENATE
[TABLE="class: ts _gPe"]
[TR]
[TD]Republicans[/TD]
[TD="class: _Ome"]

52 (+1 lead)[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Democrats[/TD]
[TD="class: _Ome"]

43 (+2 lead)[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Independents[/TD]
[TD="class: _Ome"]
2
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

HOUSE
[TABLE="class: ts _gPe"]
[TR]
[TD]Republicans[/TD]
[TD="class: _Ome"]

244 (+4 lead)[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Democrats[/TD]
[TD="class: _Ome"]

180 (+7 lead)[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Independents[/TD]
[TD="class: _Ome"]
0[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

GOVERNOR
[TABLE="class: ts _gPe"]
[TR]
[TD]Republicans[/TD]
[TD="class: _Ome"]
31[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Democrats[/TD]
[TD="class: _Ome"]

17 (+1 lead)[/TD]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Independents[/TD]
[TD="class: _Ome"]

0 (+1 lead)[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Bima ya Afya kitanzi kwa uongozi wa Obama uchaguzi mkuu Democratic waangukia pua
Wamarekani hawako tayari kuburuzwa, na kile ambacho Obama alikiasisi kwa nia njema kuhusu bima ya afya kwa wote lilikuwa jambo jema na kupokelewa kwa furaha na wamarekani walio wengi. Lakini jambo ambalo limewakasirisha wamarekani na kuamua kufanya retaliation kwa Obama ni kuwalazimisha bila hiari yao kulipia bima hata wenye kipato cha chini, na siyekubali atozwe faini wakati wa tax return.

Mpango ungekuwa wa hiari asiyekuwa tayari basi, lakini kulazimishwa kwa masharti ya wasiolipia watozwe faini inaumiza na si demokrasia ya kweli, hapa Obama amechemsha na matokeo ndo hayo chama chake kimeangukia pua.
 
Huko wenzetu hawana utani na maisha. Bahati nzuri mifumo ya uchaguzi na uelewa wa kuchagua iko vizuri. Kwao hakuna kosa dogo
 
Ni pamoja na mambo mengine pia..kama kodi..majimbo mengi democratic waliyopoteza kodi zipo juu sana kama hapa Maryland ni ngome ya democtatic miaka mingi lakini wamepoteza kutokana na makodi kuwa juu karibia kwenye kila kitu
 
Ni pamoja na mambo mengine pia..kama kodi..majimbo mengi democratic waliyopoteza kodi zipo juu sana kama hapa Maryland ni ngome ya democtatic miaka mingi lakini wamepoteza kutokana na makodi kuwa juu karibia kwenye kila kitu

Kupoteza jimbo hata la Maryland ni sawa na CCM kupoteza jimbo la Iringa ambalo lilikuwa na ushindi wa kura kuzidi majimbo yote. Wamarekani muhimu kuwasikiliza wanachotaka, ukilazimisha fimbo yao ni vitufe vya kura pale kwenye chember ya ballot computer system.
 
Iwe iwavyo mswahili ameshakanyaga nyumba nyeupe;
na muda wake wa vipindi viwili umeshapita;

Viva OBAMA.
 
Iwe iwavyo mswahili ameshakanyaga nyumba nyeupe;
na muda wake wa vipindi viwili umeshapita;

Viva OBAMA.

Pamoja na kumalizika kwa muda wake, lakini ni mbaya senate na bunge mihimili ya kupitishia ajenda za ahadi zake kushikwa vyote na upinzani kwa sababu ya kutokuwa flex-able kurekebisha kuhusu bima kwa mazingira wayapendayo wamarekani.

Nasikia kipindi hiki cha uchaguzi gas (petrol) Marekani imeshuka bei isivyo kawaida kwa gallon moja kufikia $ 2.60 lakini pamoja na nafuu hiyo haikuweza kuwashawishi wapiga kura.
 
Serikali inajiandaa kufanya marekebisho ya sheria ya Bima ya afya nchini kwa lengo la kuhakikisha kila kaya nchini inakuwa mwanachama wa mfuko huo.

Kwa sasa serikali inapanga kupeleka marekebisho ya sheria hayo bungeni ili utekelezaji wake uanze.

CHANZO:ITV

MY TAKE:
Kama kodi ya majengo tu(property tax) imewashinda,hii ya Bima kwa kila kaya ndio wataiweza?
 
Serikali inajiandaa kufanya marekebisho ya sheria ya Bima ya afya nchini kwa lengo la kuhakikisha kuwa kila kaya nchini inakuwa mwanachama wa mfuko huo.

Kwa sasa serikali inapanga kupeleka marekebisho ya sheria hayo bungeni ili utekelezaji wake uanze.

CHANZO:ITV

MY TAKE:
Kama kodi ya majengo tu(property tax) imewashinda,hii ya Bima kwa kila kaya ndio wataiweza?
 
Hwa wanatafuta njia ya kula pesa zetu tu,hakuna cha maana hapo.
 
Back
Top Bottom