Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Pengine imepanda tenaHio 3rd Party wameifanyaje tena?
Kwa Mambo yalivyobana ghafla utoe 118,000/= unaona Bora ununue wese likufikishe kwenye mishe kwanza. #Kupanga_ni_kuchagua#Hio 3rd Party wameifanyaje tena?
Mmh ila ukipata ajali ya bumper tu na taa utaisoma numberKwa Mambo yalivyobana ghafla utoe 118,000/= unaona Bora ununue wese likufikishe kwenye mishe kwanza
Pengine imepanda trna
Hahaha hivi hizo ajali wanatengenezaga wale jamaa kweli?Mmh ila ukipata ajali ya bumper tu na taa utaisoma number
Hii ndio wanyonge tunajifichemo humo. Wewe usipolipa unajitaftia kero tu za Yange Yange wa kamanda Sirro wale. Utakua unatoa ef 10/10 mpaka ukome.Kwa Mambo yalivyobana ghafla utoe 118,000/= unaona Bora ununue wese likufikishe kwenye mishe kwanza
Hukawie kumwambia Akitaka kuachana na make wake akuambie pia😂Mkuu ukitaka kuuza gari lako nijuze asee
Tira Revenue Authority... Kudadadeki, mtakamuliwa hadi mbaki maskeletoni💀☠️Kwa Mambo yanavyokwenda imefikia hatua hata bima ikiisha kukata nyingine msala (hapa nazungumzia 'Third party'). Maisha haya aisee itafika wakati hata haya magari tutauza tu.
Samahani mkuu...ila kama hata 118,000/- kwa mwaka inakuwa tatizo achana na gari tu kwanza lina gharama nyingine kubwa kuliko hio 118,000/-.Kwa Mambo yalivyobana ghafla utoe 118,000/= unaona Bora ununue wese likufikishe kwenye mishe kwanza. #Kupanga_ni_kuchagua#
Sawa. Mnyonge mmSamahani mkuu...ila kama hata 118,000/- kwa mwaka inakuwa tatizo achana na gari tu kwanza lina gharama nyingine kubwa kuliko hio 118,000/-.
Hio 118,000/- kwa mwaka ni kama 320/- kwa siku, je mafuta unaweka bei gani kwa siku?
Zipo za kutengeneza na zipo genuineHahaha hivi hizo ajali wanatengenezaga wale jamaa kweli?
Kwa Mambo yalivyobana ghafla utoe 118,000/= unaona Bora ununue wese likufikishe kwenye mishe kwanza. #Kupanga_ni_kuchagua#
Kule nilikokulia mimi huwa kuna utani watu huwa wanafanya, pale inapotokea mtu anamiliki Baiskeli halafu haina kengele. Huwa wanamtania wanamwambia "uza baiskeli ununue kengele". Kwa huyu basi wangeweza kumwambia auze gari halafu anunue bima ya gariBima anasa au gari anasa?
Samahani mkuu...ila kama hata 118,000/- kwa mwaka inakuwa tatizo achana na gari tu kwanza lina gharama nyingine kubwa kuliko hio 118,000/-.
Hio 118,000/- kwa mwaka ni kama 320/- kwa siku, je mafuta unaweka bei gani kwa siku?