Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,816
- 8,809
Mmh ila ukipata ajali ya bumper tu na taa utaisoma number
Hivi ukipasua taa kama una bima kubwa wanatakiwa wakulipe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh ila ukipata ajali ya bumper tu na taa utaisoma number
Umesema kweli ndugu. Watu tumepaki magari tumerud kwenye Daladala. Hali tete. Mambo yamebadilikaWeka akiba ya maneno mkuu. Watu wanapitia mengi sana.
Inategemea na aina ya gari na taa pia..kwasasa sijui sera inasemaje lakini hapo kabla ajali ambayo damage yake haizidi 250k unatengeneza mwenyeweHivi ukipasua taa kama una bima kubwa wanatakiwa wakulipe?
Nenda jubelee kata ya miezi sita elfu 39000Kwa Mambo yalivyobana ghafla utoe 118,000/= unaona Bora ununue wese likufikishe kwenye mishe kwanza. #Kupanga_ni_kuchagua#
Ni utapeli tuHivi ushawahi kujiuliza kwanini kwenye kudaiwa bima polisi wamepewa nguvu kukamata magari huko barabarani
lakini mwenye gari akipatwa na tatizo wakati wa kufuatilia malipo ya bima, polisi hawasumbuki kumshurutisha mtoa bima kulipa kwa wakati!?
..Na usipoangalia unaweza kudhulumiwa wakati bima ulikata
Nenda jubelee kata ya miezi sita elfu 39000
Na sasa hivi kuna bima feki mzee wangu. Unakuta sticker number moja ipo kwenye sticker zaidi ya tatu halafu kwenye system inasoma mtu mmoja. Utapeli huu upo hasa kwa hawa mawakala wa bima
Kwani ni lazima kila siku uwe na pesa,si analipaki kwa muda tu na siku akiwa fresh anakata zake bima anakua yuko kwa road free!! Siku hazifanani tusi force sana life muda mwingine!!Weka akiba ya maneno mkuu. Watu wanapitia mengi sana.
ukiwa mzembe kesi itakuwa yakoHivi ukidakwa na traffic kesi inakuwa kwa nani hapo? Mana unaweza kuta hujui kinachoendelea!
Wanatakiwa wakulipe,sema watakuja na vipengele vya hovyohavyo vya kisheria ili mradi wasikulipe!!Hivi ukipasua taa kama una bima kubwa wanatakiwa wakulipe?
Kwa Mambo yalivyobana ghafla utoe 118,000/= unaona Bora ununue wese likufikishe kwenye mishe kwanza. #Kupanga_ni_kuchagua#
Bora ajichange akate ya Mwaka ili asahau Mwaka mzima,Mambo siku hizi ni mengi miezi 6 hii hapa fumba fumbua!!Nenda jubelee kata ya miezi sita elfu 39000
Niuzie ndugu, unayo managapi?Kwa Mambo yanavyokwenda imefikia hatua hata bima ikiisha, kukata nyingine msala (hapa nazungumzia 'Third party').
Maisha haya aisee itafika wakati hata haya magari tutauza tu.
ila mkuu Bima Ni muhimu Sana.
Sio lazima ulipe yote hii MITANO Tena Mimi nimelipa 78,000. Bado 40.
Watalipa kiasi kinachozidi baada ya 350k. Mfano ajali imesababisha repair ya 500k ww utalipa 350k then wao watalipa 150k.Hivi ukipasua taa kama una bima kubwa wanatakiwa wakulipe?
Download Tira utakua unacheki mwenyewe kwenye system,usimuamini sana Wakala!! Mi kuna gari kibao na zichekigi kimyakimya unakuta kwenye kioo ziko poa lakini kwa system ina sema gari haina Bima!!Na sasa hivi kuna bima feki mzee wangu. Unakuta sticker number moja ipo kwenye sticker zaidi ya tatu halafu kwenye system inasoma mtu mmoja. Utapeli huu upo hasa kwa hawa mawakala wa bima
Almost wote. Jaribu ZIC na Metropolitan pia nimewahi lipia nusuWakala gani anaruhusu nusu nusu
Watz tumezidi sana kulalamika jamani!Samahani mkuu...ila kama hata 118,000/- kwa mwaka inakuwa tatizo achana na gari tu kwanza lina gharama nyingine kubwa kuliko hio 118,000/-.
Hio 118,000/- kwa mwaka ni kama 320/- kwa siku, je mafuta unaweka bei gani kwa siku?
Sawa mkuu. Ila kama unapitia magumu weka gari pembeni sio lazima. Vijana hapa ndio mnakosea mkiambiwa ukweli mnaleta mambo yenu. Gari sio lazima kuna daladala. Kama umefikia hatua 118,000/- ya bima ya gari inakuwa tatizo achana na hio gari kabla hujaishia pabaya.Weka akiba ya maneno mkuu. Watu wanapitia mengi sana.