Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tukinunua haya magari enzi za Neema za mkwere. Mambo yamebadilika Sanaukweli lazima usemwe.
kumiliki gari sio tu kwamba umeyapatia maisha noo,ila shida ndogo ndogo unamudu kuziua.
ndio maana kwenye hayo magari TRA haijawahi kuwa na simile.na bado yananunuliwa.
Wanyonge wenzetu hao. Tupo pamojaHaya maisha banaa we unatafta bima ya gari!kunaa anaetafta bima ya afya kwa 54000 na Hadi leo hana
Wewe kwenu ndio kwetuKule nilikokulia mimi huwa kuna utani watu huwa wanafanya, pale inapotokea mtu anamiliki Baiskeli halafu haina kengele. Huwa wanamtania wanamwambia "uza baiskeli ununue kengele". Kwa huyu basi wangeweza kumwambia auze gari halafu anunue bima ya gari
Kagera hiyoKule nilikokulia mimi huwa kuna utani watu huwa wanafanya, pale inapotokea mtu anamiliki Baiskeli halafu haina kengele. Huwa wanamtania wanamwambia "uza baiskeli ununue kengele". Kwa huyu basi wangeweza kumwambia auze gari halafu anunue bima ya gari
Siyo kweli,nimeikata 7/1/2021.Kwa bima ndogo Hawatoi siku hizi
Yaani bima ndogo kwa miezi sita hawatoi.Inaanzia mwaka mmoja.Labda kwa mawakala sina uhakikaSiyo kweli,nimeikata 7/1/2021.
Ohoo! Umeishawashtua jamaa!!Download Tira utakua unacheki mwenyewe kwenye system,usimuamini sana Wakala!! Mi kuna gari kibao na zichekigi kimyakimya unakuta kwenye kioo ziko poa lakini kwa system ina sema gari haina Bima!!
Kwani wewe mpaka umri huyo haukujua kuwa nyumbandogo ni balaa, unaweza ukaikimbia familia yako.Kwa Mambo yanavyokwenda imefikia hatua hata bima ikiisha, kukata nyingine msala (hapa nazungumzia 'Third party').
Maisha haya aisee itafika wakati hata haya magari tutauza tu.
Jamaa wanajua lakini siyo wote!!Ohoo! Umeishawashtua jamaa!!
Aaaa!!! Tochi zishaenda kuchagiwa kitaaaambo.Jamaa wanajua lakini siyo wote!!
Hii ikoje chief? Nielezee kwa kina pleaseNenda jubelee kata ya miezi sita elfu 39000
Yaani unalipa 59000 kwa ajili ya bima itakayokuwa valid kwa miez sita nilikosea kidogo happy kwenye kiasi cha pesa.Utakaa nayo nusu mwaka .Hii ikoje chief? Nielezee kwa kina please
Hizo message sasa za ARIS mweeh [emoji848]Uzuri wa hii bima huwa ukikata unasahau ila inatia stress kama itaisha wakati huna hela.[emoji16][emoji16][emoji16]
Shukuru tu wewe[emoji16][emoji16]...wale jamaa hawafaiUnakuta bima imeisha kipindi una ukataa. Mwaka jana nilataka nimalize mwaka mzima bila kulipia bima kabisa coz nnilikutana na viajari vingi ila bima haikuwa msaada hata kidogo.
Nilikomaa miezi 6 ninapenyeza mjini bila bima mpaka ndugu yangu mmoja alikuwa na vipesa akaamua kunilipia. Yani na angenipa cash nisingelipa.
Duuh Basi mkuu nilidhani ni 39000[emoji16]Yaani unalipa 59000 kwa ajili ya bima itakayokuwa valid kwa miez sita nilikosea kidogo happy kwenye kiasi cha pesa.Utakaa nayo nusu mwaka .
Wape wengine wanakata miezi mitatu ndo itakuwa 30000Duuh Basi mkuu nilidhani ni 39000[emoji16]