Bima ya NHIF inasababisha Hospitali kushindwa kujiendesha kwa kutolipa madeni. Rais Samia angazia macho huko

Bima ya NHIF inasababisha Hospitali kushindwa kujiendesha kwa kutolipa madeni. Rais Samia angazia macho huko

Huu mfuko una tatizo gani ? Na kila mwezi wanatukata hela tu.
Kila Mwezi wanakusanya Mabillioni ya pesa lakini Matokeo Yake Hospital zinalemewa uendeshaji Kwa Madeni ya mda mrefu, Hospital zinategemea wagonjwa wa cash ndio waendeshe Huduma za ununuzi wa dawa, na vifaa Tiba , Harafu Tunategemea afya za watu zitakuwa imara
 
Wewe ni mfanyabiashara itawezekanaje kufanya biashara Kwa Mkopo Zaid ya Miez 5 harafu ukizingatia wetaja wengi wa BIMA
Matokeo Yake ni kupunguza na kutohuduma hao wateja

Madhara ya Mfuko Huu ni kufanya Huduma za afya kuwa mbovu zaidi
Ukisema madhara ya mfuko huu unakosea kwa sababu NHIF huko nyuma ilijitahidi kuhudumia vizuri.

Matatizo yalianza baada ya ule utaratibu wa gawio.

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo mifuko imekopwa hadi inatepeta.

Hii nchi kama imerongwa
 
Juzi kati nilikuwa naumwa nikaenda mawenzi hospital nikawaambia Bima ninayo nahitaji x.

Ray yule doctor akasema hapana hatuwezi kukupiga x ray ili kusave pesa maana NHIF Kuna mda wanatukata hawatulipi pesa yote wanasema mnawapa huduma kubwa wagonjwa kwa pesa nyingi ili tuwalipe, yule doctor akasema kama una pesa cash Sema tukakupime x ray.
 
Nahisi taasis na mashirika yaliyojifia baada ya utaratibu wa gawio ni pamoja na NHIF, CWT, TTCL, TRC,........

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Yako mengi mkuu hata NSSF, PSSSF, na taasisi zote za umma. Yaani kuna taasisi Moja inapokea pesa ya kujiendesha asililia 💯 kutoka serikalini lakini eti nazo zilichangia.

Wakati huo huo hawana hata pesa ya kujaza Mafuta magari yalipaki. Yaani uchaguzi ule wa 2020 na miradi ya Chattel hizi taasisi pamoja na wafanyabiashara wakubwa walichoka mno.

Na ili kurejesha mabillion waluliochanga ilibidi wapandishe bei za bidhaa na utashangaa ilipelekwa kiujanja ujanja Kisiasa. Mzee Yule alitutesa na ametuachia mateso.

Wafanyabiashara bado wanafidia pesa Yao Kwa kupandisha bei bidhaa na sasa wako huru mno kujifanyia Yao. Yaani kweli nchi aliyoniachia Baba wa Taifa ndiyo imefika hapa. Yaani kiongozi unadiriki kuchukua Bima za watu ambazo ni security Yao. Lilikuwa liuaji lile na Mungu akalinyoosha.

Sasa Tunamuomba Mh. Rais wetu Samia Suluhu Hassan aziache hizi taasisi hasa ambazo zimeshikilia uhai kama Bima ya Afya na hizo za Pensheni maana nako pension kupata kwa wakati ni mtihani. Tumechoka Sana Watanzania tulio wengi.
 
Punguza jazba upangilie content vzr
Siyo jazba Mkuu!! Mlimtosa Jiwe! Alivo penda sifa si aka lewa kweli hakujua sifa za kinafiki! eti mkamwita jiwe mwee!! akapata bichwa hilooo! halafu mnajifanya eti ajengewe Munara! iwe kumbukumbu ya !! mlimuua ili awe kumbukumbu yenu !!...watanzania watu wabaya sana! jiwe wa watu kafa!!

Sasa mnataka kumtesa mkewe na watoto wake milele!! kwa kujenga rimunara ya sanamu ra Majonzi renu hiro! eti kwa kisingizio cha kumbumbu sijui kumbukumbu!!! yaani mnamjengea kumbukumbu ya mabaya yake alo fanya??

Umesha wahi ona wapi kumbukumbu ya shetani humu Duniani??? lkn Yesu?? ipo!
 
Hospital kubwa kama Muhimbili, Bugando, KCMC, MBEYA, DODOMA Ziko katika Hali mbaya Kwa kutoa Huduma na kushindwa kuwalipa wazabuni Kwa mda wanaoleta vifaa Tiba mahospitalini...

Taarifa ya kulipwa kwa hospitali zote hizo unazipatia wapi nami nizipate. Msaada plz
 
Mama mnamuonea Bure haya yooote jiwe wenu huyo sasa athali zake ziko wazi na badoooo!!

Si mlikuwa mnamshangilia nyie mbwa sasa wacha muonje jotolake!! Mama wala usisumbuke na misukule ya kibongo usije ukafa Mapema bureeee....
Unateseka ukiwa wapi..ilibaki kidogo tu ubebe mimba ya jiwe.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unateseka ukiwa wapi..ilibaki kidogo tu ubebe mimba ya jiwe.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi ''ke'' bana.... mbona kubeba Mimba ni sifa kubwa sana! tena tunapenda ! nakuona live unanionea wivu?? njoo na wewe nikupigie pande basi!! uwe mke mwenza! naona unapenda kugeuzwa!...... hamjifichagi mnaonekana Mwaaaaa!
 
Juzi kati nilikuwa naumwa nikaenda mawenzi hospital nikawaambia Bima ninayo nahitaji x.

Ray yule doctor akasema hapana hatuwezi kukupiga x ray ili kusave pesa maana NHIF Kuna mda wanatukata hawatulipi pesa yote wanasema mnawapa huduma kubwa wagonjwa kwa pesa nyingi ili tuwalipe, yule doctor akasema kama una pesa cash Sema tukakupime x ray.
Hilo li Bima sasa litakufa kifo cha Mende tu!! waswahili siyo waelewa! watafoji mpaka Mfuko wa Bima ukataliwe Duniani kote!! ila watumiaji asee! wana foji sana ili wapate hela ! wengine wanachukua dawa za bei mbaya Hosp.

wanapeleka Madukani kwao ya dawa! ili kuuza tena kwa bei mbaya!!...na wanafanikiwa kweli.

WEngine wanawapa ndugu zao!! yaani ni vurugu tu kwa kwenda mbele ili mradi tu wapate hela ya kujikimu na wao! jamani africa mna kazi hasa!! Nasema hawa weusi walifaa kuwa watumwa tu milele! watu weusi ni mzigo wa Dunia!

Km Africa mlikosa Basi mjue Babu zenu ambao ndo nyie mlimkosea Mungu sana!! Mpaka mnaliabudu msilo lijua na bado!! Mpaka Yesu wa ukweli arudi mtakuwa mmesha koma kifukuto! kenge nyie!
 
Sisi ''ke'' bana.... mbona kubeba Mimba ni sifa kubwa sana! tena tunapenda ! nakuona live unanionea wivu?? njoo na wewe nikupigie pande basi!! uwe mke mwenza! naona unapenda kugeuzwa!...... hamjifichagi mnaonekana Mwaaaaa!
Wewe ushavurugwa..unahitaji mental care.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii siyo habari nzuri kwa watumishi ambao wanakatwa kila mwezi kwa minajili ya kujiwekea uhakika wa kupata huduma bora za afya, tutarudi kipindi kile ambapo kulikuwa na manyanyaso ya kutosha kwa watu waliokuwa wakitumia NHIF.
 
Mama mnamuonea Bure haya yooote jiwe wenu huyo sasa athali zake ziko wazi na badoooo!!

Si mlikuwa mnamshangilia nyie mbwa sasa wacha muonje jotolake!! Mama wala usisumbuke na misukule ya kibongo usije ukafa Mapema bureeee!

weye Mama yapeleke peleke tu!! yamezoe shida hayo majitu! hayana hata shukrani!! yanashangilia ujinga ujinga sasa wacha wale jeuri yao!! hasa chato kaza uzi!! tuliyaambia yakaona sie walevi!

Jiwe alijua huu ugumu ulio mbele yake alivo kuwa muoga Akapandisha perssure akafa!! sijawahi ona Rais muoga km Jiwe!! Uoga ulimfanya aweke Risasi mbele!
Hii ni akili ya kijinga sana ,hakuna unaoloijua na kwa kuwa ni jobless umebaki una upambe wa kishambaa sana

sent from HUAWEI
 
Back
Top Bottom