Kila Mwezi wanakusanya Mabillioni ya pesa lakini Matokeo Yake Hospital zinalemewa uendeshaji Kwa Madeni ya mda mrefu, Hospital zinategemea wagonjwa wa cash ndio waendeshe Huduma za ununuzi wa dawa, na vifaa Tiba , Harafu Tunategemea afya za watu zitakuwa imaraHuu mfuko una tatizo gani ? Na kila mwezi wanatukata hela tu.
Ukisema madhara ya mfuko huu unakosea kwa sababu NHIF huko nyuma ilijitahidi kuhudumia vizuri.Wewe ni mfanyabiashara itawezekanaje kufanya biashara Kwa Mkopo Zaid ya Miez 5 harafu ukizingatia wetaja wengi wa BIMA
Matokeo Yake ni kupunguza na kutohuduma hao wateja
Madhara ya Mfuko Huu ni kufanya Huduma za afya kuwa mbovu zaidi
GENERAL REFORM NEEDED HAKUNA JINSI INGINE,Hospital kubwa kama Muhimbili, Bugando, KCMC, MBEYA, DODOMA Ziko katika Hali mbaya Kwa kutoa Huduma na kushindwa kuwalipa wazabuni Kwa mda wanaoleta vifaa Tiba mahospitalini...
Punguza jazba upangilie content vzrMama mnamuonea Bure haya yooote jiwe wenu huyo sasa athali zake ziko wazi na badoooo!...
Yako mengi mkuu hata NSSF, PSSSF, na taasisi zote za umma. Yaani kuna taasisi Moja inapokea pesa ya kujiendesha asililia 💯 kutoka serikalini lakini eti nazo zilichangia.Nahisi taasis na mashirika yaliyojifia baada ya utaratibu wa gawio ni pamoja na NHIF, CWT, TTCL, TRC,........
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Siyo jazba Mkuu!! Mlimtosa Jiwe! Alivo penda sifa si aka lewa kweli hakujua sifa za kinafiki! eti mkamwita jiwe mwee!! akapata bichwa hilooo! halafu mnajifanya eti ajengewe Munara! iwe kumbukumbu ya !! mlimuua ili awe kumbukumbu yenu !!...watanzania watu wabaya sana! jiwe wa watu kafa!!Punguza jazba upangilie content vzr
Hospital kubwa kama Muhimbili, Bugando, KCMC, MBEYA, DODOMA Ziko katika Hali mbaya Kwa kutoa Huduma na kushindwa kuwalipa wazabuni Kwa mda wanaoleta vifaa Tiba mahospitalini...
Unateseka ukiwa wapi..ilibaki kidogo tu ubebe mimba ya jiwe.Mama mnamuonea Bure haya yooote jiwe wenu huyo sasa athali zake ziko wazi na badoooo!!
Si mlikuwa mnamshangilia nyie mbwa sasa wacha muonje jotolake!! Mama wala usisumbuke na misukule ya kibongo usije ukafa Mapema bureeee....
Ila ukitaka kutajirika pia fanya biashara na serikali kupitia wanasiasa.ukitaka kufilisika, fanya Biashara na Serikali au taasisi zake
Sisi ''ke'' bana.... mbona kubeba Mimba ni sifa kubwa sana! tena tunapenda ! nakuona live unanionea wivu?? njoo na wewe nikupigie pande basi!! uwe mke mwenza! naona unapenda kugeuzwa!...... hamjifichagi mnaonekana Mwaaaaa!Unateseka ukiwa wapi..ilibaki kidogo tu ubebe mimba ya jiwe.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo li Bima sasa litakufa kifo cha Mende tu!! waswahili siyo waelewa! watafoji mpaka Mfuko wa Bima ukataliwe Duniani kote!! ila watumiaji asee! wana foji sana ili wapate hela ! wengine wanachukua dawa za bei mbaya Hosp.Juzi kati nilikuwa naumwa nikaenda mawenzi hospital nikawaambia Bima ninayo nahitaji x.
Ray yule doctor akasema hapana hatuwezi kukupiga x ray ili kusave pesa maana NHIF Kuna mda wanatukata hawatulipi pesa yote wanasema mnawapa huduma kubwa wagonjwa kwa pesa nyingi ili tuwalipe, yule doctor akasema kama una pesa cash Sema tukakupime x ray.
Wewe ushavurugwa..unahitaji mental care.Sisi ''ke'' bana.... mbona kubeba Mimba ni sifa kubwa sana! tena tunapenda ! nakuona live unanionea wivu?? njoo na wewe nikupigie pande basi!! uwe mke mwenza! naona unapenda kugeuzwa!...... hamjifichagi mnaonekana Mwaaaaa!
Hii ni akili ya kijinga sana ,hakuna unaoloijua na kwa kuwa ni jobless umebaki una upambe wa kishambaa sanaMama mnamuonea Bure haya yooote jiwe wenu huyo sasa athali zake ziko wazi na badoooo!!
Si mlikuwa mnamshangilia nyie mbwa sasa wacha muonje jotolake!! Mama wala usisumbuke na misukule ya kibongo usije ukafa Mapema bureeee!
weye Mama yapeleke peleke tu!! yamezoe shida hayo majitu! hayana hata shukrani!! yanashangilia ujinga ujinga sasa wacha wale jeuri yao!! hasa chato kaza uzi!! tuliyaambia yakaona sie walevi!
Jiwe alijua huu ugumu ulio mbele yake alivo kuwa muoga Akapandisha perssure akafa!! sijawahi ona Rais muoga km Jiwe!! Uoga ulimfanya aweke Risasi mbele!