Dooh kweli mkuu mimi watumiaji wa Bimmer naonaga hawana tofauti na baadhi ya watumiaji wa iPhone yaani wote wale wale tu waliokunywa uji wa mgonjwa. Hawataki kukubali kwamba kuna sehemu wamezidiwa.
Watumiaji wengi wa iPhone huwa wanadhani hakuna simu duniani kama iPhone na wanadharau sana watumiaji wa android. Wakati android hazifanani kuna Samsung kibao tu zinakalisha hizo iPhone tena za range moja.
Nimeshangaa watu wanang'ang'ania kufananisha hadi VX.R V8 na Bimmer duuh. Kuna watu ni Bimmer maniacs na huwa wanazipondea sana gari za mjep ila wanakuambia VX.R V8 ni moto wa kuotea mbali aiseee.