JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Watu wamepaki maprado kama TRJ150 sababu ya kuburuza watakavyo.Toyota we buruza rasta utakavyo mzee ukifika utarudi salama mjini bila tatizo ila usijaribu hio kwa mjerumani au mjapani mweupe Nissanπ
Kama huna hela ya kulimudu hata passo utaipakiπ !Watu wamepaki maprado kama TRJ150 sababu ya kuburuza watakavyo.
Hilo LC200 ndio sitaki hata kulitaja.
Gari ya kuburuza utakavyo LC mkonge 70 series.
Hahahahaha! Sio Land Cruiser, labda hizo gari zenu za kizungu mnazoshabikia
Sasa cost ya kuhudumia Passo na cost ya kuhudumia v8 hazifanani.Kama huna hela ya kulimudu hata passo utaipakiπ
Impliedly hio gari jamaa amenunua wakati hana income streams za uhakika! Gari inapotaka prompt service ukawa huna hela lazma ulipark otherwise utalikaanga!Sasa cost ya kuhudumia Passo na cost ya kuhudumia v8 hazifanani.
Angejua wasingemuonaMbona kama landcruiser hajui kama mnapima mwendo?...
hili limekuwa ni tatizo mtambuka kwa developer wa application ya jamiiforum.Natumia app ya JF nikitaka kuona hiyo attachment iliyotumwa nafanyaje?
πππ Chapa kazi mzee.Mzee namalizia kupuliza na haka ka mvuaaa ππππ taratibuu basi
Engine Tani tatu!!yaani engine inauzito zaidi ya Carina!!!Aisee 2 seconds sio mchezo..yaani kufumba na kufumbua upo 100..Kuna kitu kwenye magari kinaitwa 2 seconds barrier.. Jaribu kufuatilia uone kwanini it's nearly impossible kuvunja hiyo barrier ya 2 seconds..!
Tesla uliyoitaja ina hp zaidi ya Buku 1,000+hp.. Engine kubwa.. Hakuna sedan inaweza pull 0-100 under 2 seconds..! Hata mbele iwe imechongoka kama sindano na nyepesi kama karatasi haiwezi..! Hata hiyo Tesla kuna special conditions..!
Uzito.. Aerodynamics.. Yes hizo ni sababu za gari kuchanganyana mapema.. Ila Engine ndio kila kitu..LC200 nzito karibu tani 3.. Ila moto wake unajulikana.. Ndio maana hata jina maarufu ni V8.. Sifa ya engine..!
Uje nayo hili hili kama una uwezi naloVipi tuwape hii au tunawaonea na hiyo VX-R L300View attachment 2028825
Jina nzuri itakuwa mufirisi πππHiyo 3UR kwa jinsi wabongo walivyokuwa wabahili aiseee usiiweke kwenye mjadala.
Kupower 5.7L petrol kwa mbongo ataiita hiyo gari majina yote. Jini, zimwi, n.k.
Pia 3UR ni kubwa jinga... 5.7L inazalisha 381Hp.
340i hiyo gari engine kubwa.. Plus hapa tunaongelea vitu practical sio vya kusadikika.. Landcruiser ya mwaka 2020 kukutana nayo barabarani ni jambo la kawaida.. Ila hiyo 340i umeshawahi kuiona barabarani..!!Nilichogundua ushabiki ndio umetawala humu,bmw 340i inazizidi land cruiser zote vxl v8 yaani petrol&diesel katika suala la speed kuanzia kwenye acceleration hadi top speed mfano 340i 0-60 ni 4.8 secs top speed ni 249km/h while vxl v8 0-60 ni 8.2 secs with 210km/h top speed,sasa huu ulinganifu unahusisha barabara ya chunya kwenda tabora au kwenye lami?!
Tulisoma hiyo comment yake, nilicheka sanaaa πππ nakijisema moyo moyo anatumia logic gani kusema hivyoStory za vijiweni hizi....
Aisee hizo Landcruiser zinaharibika pia.. Ishu ni gari za serikalini.. Kuna taasisi kadhaa zimeshindwa kuzimaintain gari.. Zimepaki nyingi tuu.. Fanya kutafuta Landcruiser za serikali zilizokuja brand new 2014 mpaka leo ngapi bado zipo barabarani..Hahahahaha! Sio Land Cruiser, labda hizo gari zenu za kizungu mnazoshabikia
inafinyiwa tu kwa ndani πππππ Chapa kazi mzee.
HahahaHii ID ya Holy Man naona modes wameifanyia mchakato ikawa Kijana wa hovyo hovyo.
Modes sio wa mchezo aisee.
Huwa namshangaa sana mtu anaelinganisha 3 series na VXR.Gari gani inayocheua 600HP? Mmbongo anaweza kununua gari top spec toka bmw labda mtoto wa GSM ama bhakresa! Hizo M competition nyingi naona watu wanajibandikia vile virangi[emoji28] na badge
Wengi na vi bmw vyao wanajikunyata kwenye 1.5-3L engines zenye 160-250HP na wenye SUV wengi ni Diesel. Wabongo wenye bmw za 300HP plus ni wa kuhesabika. Halafu mtu anadiss Toyota yenye horsepower za humo humo [emoji28][emoji28][emoji28]!
1VD tu kwa kichaa cha 235HP lazma itawasumbua hao 3 series wenu wengi wa 1.5-2.0 excluding wenye ile 328i walau wanaweza kunyanyua shingo kidogo sababu engine yake inawahi kuchanganya twinturbo petrol ya 240HP at maximum rpm. Ila akiwekwa 200 series 3UR-FE petrol hamna choko yeyote wa BMW 3 series atakaesogeza pua including the M3! Watakaotamba ni kuanzia 400HP plus
Cruiser ya 1GR FE yenyewe tu mziki wake ni mnene sema sio nyingi ila hii engine iko kwenye prado za petrol baadhi na 70 series UTE! This masterpiece fucks all 3 series excluding the M3!
Just imagine?Hiyo 3UR kwa jinsi wabongo walivyokuwa wabahili aiseee usiiweke kwenye mjadala.
Kupower 5.7L petrol kwa mbongo ataiita hiyo gari majina yote. Jini, zimwi, n.k.
Pia 3UR ni kubwa jinga... 5.7L inazalisha 381Hp.