Gari yenye 320hp na uzito wa 1800kg haiwezi lingana na gari ya 380hp ina uzito wa 3000kg. Hp/kg ndo uchawi ulipo.Nilichogundua ushabiki ndio umetawala humu,bmw 340i inazizidi land cruiser zote vxl v8 yaani petrol&diesel katika suala la speed kuanzia kwenye acceleration hadi top speed mfano 340i 0-60 ni 4.8 secs top speed ni 249km/h while vxl v8 0-60 ni 8.2 secs with 210km/h top speed,sasa huu ulinganifu unahusisha barabara ya chunya kwenda tabora au kwenye lami?!
Dereva wa serikali hajali hata akiitupa mtaroni anajua kesho Nduvini atalipwa na kodi zetu gari inarudi road.Aisee hizo Landcruiser zinaharibika pia.. Ishu ni gari za serikalini.. Kuna taasisi kadhaa zimeshindwa kuzimaintain gari.. Zimepaki nyingi tuu.. Fanya kutafuta Landcruiser za serikali zilizokuja brand new 2014 mpaka leo ngapi bado zipo barabarani..
Kama kuna mtu hajakuelewa hapa ndio basi tena.Gari yenye 320hp na uzito wa 1800kg haiwezi lingana na gari ya 380hp ina uzito wa 3000kg. Hp/kg ndo uchawi ulipo.
Ndo maana acceleration zinatofautiana.
Hapo ukiwaambia wanakwamba hiyo 340i haifui dafu kwa vxr.
Sure.. Wafanyakazi wa Uma wanaharibu sana funds za wananchi..!Dereva wa serikali hajali hata akiitupa mtaroni anajua kesho Nduvini atalipwa na kodi zetu gari inarudi road.
Ndo maana huku mtu anakwambia VXR inafukia matuta hata ikiwa 180kph. Nenda kapige yako uletewe mkeka wake ndo utajua kwanini hujui.
Hizo gari ni delicate tu kama hizi za wajerumani, simply zinamilikiwa na serikali na wanavyoziendesha hovyo mnadhani ikiwa yako utaibamiza kama ilivyo.
Zile mkonga ndo unaweza zipiga utakavyo ila sio haya mayai.
Hata wakandarasi nawaelewa kutumia hizo Lc 200.Sure.. Wafanyakazi wa Uma wanaharibu sana funds za wananchi..!
Landcruiser iliyokuja 2014 brand new leo hii haitazamiki..!
Yes kabisa.. Landcruiser zipo Off road oriented na Comfort Oriented..
LC200 sio off-road..front axle haina na ni kitu muhimu kwa off roader.. Sema sababu vitu vya serikali nani atauliza..
Ukikutana na LC200 private barabarani utaona tofauti ya uendeshaji.. Labda iwe ya mwarabu au mhindi..!
Sure aisee.. Pia ni fursa hiyo kuleta spares za Wazungu .. Ufundi pia ni fursa nyingine.. Kutengeneza gari nje ya Mjapani..!Hata wakandarasi nawaelewa kutumia hizo Lc 200.
Hata akiwa Mpanda au Nkasi, anajua kitu kikizingua atatumwa mtu mwanza au mbeya akalete spare, inafungwa kitu kinaamka tena.
Sasa wewe na benzi yako ipasue kitu, mpaka ije cfao kazi imeshalala.
Convenience ya garage na spare availability ndo toyota alipowapiga bao hao wajerumani huku tanzania. Ila ule udelicate wa gari upo palepale.
Duu hiyo range rover ya kushindwa na hz itakuwa ni ile yenye engine ya tdi labda lakini sio ile v8 ya zamani iliyotumiwa sana na wahindi kama racing car,70 series niliyowahi iona ktk racing ni 1GR V6 pekee!Usijisahaulishe kuwa kulikuwa na 1HDT ambayo yenyewe ilikuwa na 164HP which made more speed than a range rover[emoji28]!
1Hz top speed inafika 165KM/H
1HD-T inafika 177KM/H
Rover classic alikuwa 153KM/H akijitahidi 157KM/H
Ndio maana ulikuwa ukisikia story za landcruiser mkonge by that time ni noma. Alipokuja 80 series 1HD-FTE 24 Valves ndo ikawa mwisho wa maneno with 204HP
Hio ni naturally aspirated mkuu! Its not a Joke.Just imagine?
Wakati kuna 2L inatoa 420hp au 3L inatoa 510hp.
Hahaha aisee usisahau Range Rover zilikuwa hairuhusiwi kupaki benki (stori za kale).. Walikuwa na hii engine 4.2EFI.. Landcruiser haiwezi.. Na wakati huo mafuta tsh 400..haikuwa ishu kuipush..Usijisahaulishe kuwa kulikuwa na 1HDT ambayo yenyewe ilikuwa na 164HP which made more speed than a range rover😅!
1Hz top speed inafika 165KM/H
1HD-T inafika 177KM/H
Rover classic alikuwa 153KM/H akijitahidi 157KM/H
Ndio maana ulikuwa ukisikia story za landcruiser mkonge by that time ni noma. Alipokuja 80 series 1HD-FTE 24 Valves ndo ikawa mwisho wa maneno with 204HP
Siyo ishu. Tutakuja kumbeba kwa recovery truck!Usiombe uko kwenye machaka ya Kibondo huko mara timming yake imecheza 😅 utaita maji mma!
Mzee kuna haya mabalaa!Diesel haiwezi kuwa moto hata siku moja.
Engine ya diesel imetengenezwa kuwa na torque kubwa na siyo horsepower kubwa.
Tsh. 400 kipindi hicho unaona ilikua ndogo?.miaka 20 kutoka Sasa madogo wakija kusikia petrol enzi Lita 1 ilikua kwny buku 2 watashangaa kichizi nakuona baba zao walikua wazembe kuto ku-push ndinga zenye 6.2l huko,maana hio pesa itakua Ni ndogo sana.Hahaha aisee usisahau Range Rover zilikuwa hairuhusiwi kupaki benki (stori za kale).. Walikuwa na hii engine 4.2EFI.. Landcruiser haiwezi.. Na wakati huo mafuta tsh 400..haikuwa ishu kuipush..
Plus P38 zimekuja Era hiyo hiyo ya 90's..Landcruiser hajawahi kuwa mkali wa spidi.. Ni vile enzi hizo gari nyingi za Toyota engine 3L.. Kwahiyo 1HZ ilionekana ndio kila kitu..
Haya ni mawazo ya kimaskini sanaToyota amesambaa sana Tz, uwepo wa mafundi na spares unawafanya hata hao contractors waone haina haja ya kununua Benz au Amarok ambapo service anaifuata Dar wakati mkoa wa pembeni unapata mafundi kwa urahisi.
Ila haimaanishi hayo madude ni cheap to own and operate. Convenience ndo inawafanya watumie hayo madude.
Mkeka wa ist mpya😂Dereva wa serikali hajali hata akiitupa mtaroni anajua kesho Nduvini atalipwa na kodi zetu gari inarudi road.
Ndo maana huku mtu anakwambia VXR inafukia matuta hata ikiwa 180kph. Nenda kapige yako uletewe mkeka wake ndo utajua kwanini hujui.
Hizo gari ni delicate tu kama hizi za wajerumani, simply zinamilikiwa na serikali na wanavyoziendesha hovyo mnadhani ikiwa yako utaibamiza kama ilivyo.
Zile mkonga ndo unaweza zipiga utakavyo ila sio haya mayai.