mansoorsaid
JF-Expert Member
- May 31, 2014
- 1,498
- 286
maneno ya zuber blog.yanga walipeleka majina kupitia tff nao wakathibitisha kuwa sahihi kupelekwa huko.sasa mnafiki alioupeleka cecafa ameshapatikana nae ni mtu anayejikrim na si mwingine ni zuber sasa ameumbuka baadhi ya timu kupeleka sura changa Tp mazembe ilifungiwa kwa ajili ya usajiri.uongozi wa yanga ulishatoa ufafanuzi kanuni za cecafa.na blog yako huwezi kuihujumu yanga hata siku moja
yanga walikuambia usiandike habari zao sasa unachotaka hasa nini
yanga walikuambia usiandike habari zao sasa unachotaka hasa nini