IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,578
- 7,774
...hiyo biblia unafikiri kila MTU anaiamini ?Nimekupata ndugu,lakini kumbuka mwanadamu anamwisho wake Kwa kila afanyacho,pia ili iwepo tofauti kati yake na Mungu,ni lazima kuwe na vitu vinavyowatofautisha.