Binadamu kuishi milele - Kama zoezi la kuunganisha ubongo na mfumo wa komputa litakamilika

Binadamu kuishi milele - Kama zoezi la kuunganisha ubongo na mfumo wa komputa litakamilika

Jambo hili haliwezekani.

Wafanye mengine tu.


Anyway, wakifanikiwa mtanitag wakuu
Hizi ndizo akili ambazo sisi waafrika tulipewa na Mungu...Akili zinazochoka mapema sana kufikiri!

Hakuna jambo lisiliwezekana chini ya jua. Ni suala tu la kuruhusu akili kufikiri na kulipa muda.
Unaposema,"Haliwezekani na wafanye mengine" hii hoja yako unaitoa kama vile umeshafanya utafiti na una majibu yake!

Hizi ndio aina za hoja tunazopeana sisi kwa sisi na matokeo yake tunezidi kudidimia kila kukicha. Waafrika bhana!
 
Hizi ndizo akili ambazo sisi waafrika tulipewa na Mungu...Akili zinazochoka mapema sana kufikiri!

Hakuna jambo lisiliwezekana chini ya jua. Ni suala tu la kuruhusu akili kufikiri na kulipa muda.
Unaposema,"Haliwezekani na wafanye mengine" hii hoja yako unaitoa kama vile umeshafanya utafiti na una majibu yake!

Hizi ndio aina za hoja tunazopeana sisi kwa sisi na matokeo yake tunezidi kudidimia kila kukicha. Waafrika bhana!
Binadamu atafanya mengi,mazuri ya kustaajibisha.

Ila kuzuia kifo hawezi.

Kama wewe una akili haswa umefanya nini?

Usijtoe ufahamu mkuu, hakuna na hatatokea wa kuzuia kifo.

Punguzeni kuwaamini sana wazungu,narudia tena... Wakifanikiwa mtanitag...
 
Binadamu atafanya mengi,mazuri ya kustaajibisha.

Ila kuzuia kifo hawezi.

Kama wewe una akili haswa umefanya nini?

Usijtoe ufahamu mkuu, hakuna na hatatokea wa kuzuia kifo.

Punguzeni kuwaamini sana wazungu,narudia tena... Wakifanikiwa mtanitag...
Umeilewa mada??
 
Ilo linawezekana vizuri kabisa,tunawajua wanaoshi toka kale wanachange muonekano.
 
Katika dunia hii kwa sasa hakuna genius anaemfikia Elon Musk.

Jamaa ana ideas nyingi sana za ajabu na cha ajabu anazifanyia kazi zinaonekana zinaweza kuwa viable.

Kumbuka ana project ya "Mars Colonization" itakayowawezesha wanadamu kuenda kuishi sayari ya Mars na kuiacha dunia inayoathiriwa kwa kasi na Global Warming.


SpaceX (expedition base)

Main article: SpaceX Mars base

As of 2019, SpaceX owner Elon Musk is funding and developing a series of Mars-bound cargo flights with the BFR rocket and spaceship system as early as 2022, followed by the first crewed flight to Mars on the next launch window in 2024.[5][6][7] During the first phase, the goal will be to launch several BFRs to transport and assemble a methane/oxygen propellant plant and to build up a base in preparation for an expanded surface presence.[8] A successful colonization would ultimately involve many more economic actors—whether individuals, companies, or governments—to facilitate the growth of the human presence on Mars over many decades.[9][10][11]
jamaa ana project ya tesla cars gari zinazotumia umeme project imefanikiwa
project ya kwenda mars kuweka colony imefanikiwa kiasi chake kwani ameweza kutengengeneza rockets zinazoweza kuwa reusable yaani inaweza kuwa launched ikaenda halafu ikarudi tena kwa matumizi ya baadae........ hii imeibua fursa ya kuanzisha fursa ya usafirishaji ambapo binadamu ataweza kusafiri dunia nzima kwa muda usiozidi nusu saa tu
ana project ya solar wall na solar roof hii nayo imefanikiwa
ana project ya hyperloop yaani ni prpject ya usafiri wa haraka sana kuwahi kutokea
ana project ya neuralink hii ni ya kuunganisha mfumo wa ubongo na akili kwenye mfumo wa kompyuta ....... nina imani itafanikiwa kwani ubongo unatumia principle za umeme kufanya computational mechanics
project ya paypal imefanikiwa kwani watu wameweza kutuma na kupokea hela kwa njia ya email
kabla ya hapo alikuwa na project ya kutengeneza internet currency ambayo haitakuwa controlled na goverment.hakuendelea nayo but ni bitcoin ya sasa hivi so idea yake imekuwa implememnted na kufanikiwa
huyu eleon musk ni msouth africa original yake hapo kati amefanya mengi akiwa na ukri mdogo alll in all yanafanikiwa


but habari za chini ya kapet ni kwamba anavuta bangi ndo maana anapta craziest ideas ever to be implemented

mi mwenyew nina craziest idea ambayo ninataka kuimplement ambayo ni kuvuna umeme wa radi au cosmic rays kwa lugha ya kitaalamu ambapo kutakuwa hakuna haja ya kutumia nyanya kusafirisha umeme kutoka sehemu A Kwenda sehemu B kwani kila nyumba inafugwa device ndogo tu ukubwa wa mita ya umeme ambayo itakuwa na uwezo wa kusuply umeme wa kutosha tu. nitakuwa na kazi ya kwashawishi watu waachane na umeme wa tanesco wahamie kwenye umeme wa radi kwani gharama itakuwa ndogo sana just you buy a device and little mainatainance fee
 
Linawezekana in theory lakin practical bado hajawa implemented. Anacho jaribu kukisema elon musk ni kutransfer human conciousness kwenda kwenye computer.

Kuhusu suala la kuzeeka hapo ndio itakuwa ngumu zaidi. Maana ni dna na protein maalum ndio huzeesha mwili. Labda acheleweshe aging process.
Lakin pina kuna possibility kukawa na artificial body ambayo inaweza kuwa ni robot na ikawekewa ubongo wa binadam.

Angalia movie moja inaitwa "ghost in the shell"
Utaelewa hii concept
hizo dna na proteins zinaweza kuwa re engineered na kuondoa aging process. kumbuka tayari kuna techologia ya dna editing ambapo inaweza kuwa implement katika lowest level of human form. yaani pale ambapo yai la kike na la kiume yanapoungana kutengeneza binadamu hasa katika level ile pale binadamu anakuwa na dna chache ambazo zinaweza kuwa edited faster then akikuwa anakuwa na edited traits na generation yake yote inakuwa ni reengineered generation
 
Hivi kuna watu kama wataishi milele itakuwaje ?
Mungu alikuwa na maana kupanga miaka ya maisha kama aliyopanga.
Kuna watu kama wataishi milele watatesa watu milele.
 
NADHANI inawezekana hapo baadae maana kuna siku nimeona taarifa ya habari watotowamepandikizwa vifaa vichwani kusaidia kusika nadhan vitakwa compturised vile
 
Back
Top Bottom