...hiyo biblia unafikiri kila MTU anaiamini ?Nimekupata ndugu,lakini kumbuka mwanadamu anamwisho wake Kwa kila afanyacho,pia ili iwepo tofauti kati yake na Mungu,ni lazima kuwe na vitu vinavyowatofautisha.
Hiki kitu cha kuchangishana sikipendi kinoma. Kwani ni lazima tukodoshe 'masupika' kwa hela za kiombaomba kwa jamaa na marafiki. Kama huna uwezo si uache tu.tunawaza kufunga harusi za kuchangisha mchango
Kina baadhi ya vitu ambavyo mwanadamu hatoweza kuvivumbua,mfano,siri ya kifo.Vitu hivyo ni siri ya Mungu pekee
Biblia inasema"kila mwanadamu ni lazima age,na baada ya kifo ni hukumu"
Hahahahhahaha wew jamaa umenifurahisha sana leo.Bangi safi sana
Anavuta sanaHahahahhahaha wew jamaa umenifurahisha sana leo.
Inq maana Elon Musk kala Jamaican Vegetable sio
Linawezekana in theory lakin practical bado hajawa implemented. Anacho jaribu kukisema elon musk ni kutransfer human conciousness kwenda kwenye computer.Jambo hili haliwezekani.
Wafanye mengine tu.
Anyway, wakifanikiwa mtanitag wakuu
Yaniii we acha tuHAWA WENZETU WANAWAZA MBALI SANA.
Wakati sie bado tunawaza kuhusu kula,kujenga nyumba na kununua gari.
Utakuwa umekufa tayariNimesema siku wakifanikiwa kuzuia kifo naomba mnitag..
Ana project kibao Elon kama Hyperloop, Neural linkKwani hawezi kufanya mambo mengine nje ya maswala la spaceX?
Kina baadhi ya vitu ambavyo mwanadamu hatoweza kuvivumbua,mfano,siri ya kifo.Vitu hivyo ni siri ya Mungu pekee
Biblia inasema"kila mwanadamu ni lazima age,na baada ya kifo ni hukumu"
Havikuchemsha mkuu.kutoka hapo ulipo unaweza kwenda kushoto,kulia,kasakazini au kusini.pengine pote ni sehemu ya hizo Major au Cardinal headings hizo nne.Never say never mkuu. Maandiko matakatifu yapo imara kwenye masuala fulani fulani tu ila kisayansi huwa yanachemka sana.
Mfano hai ni pale kitabu fulani kilivyochemka kuhusu umbile la dunia enzi hizo.
Hahahaha dah! Apo ndo Nnapo choka...Bila kusahau kujenga matundu ya vyoo na uzinduzi wake hufanywa na viongozi wa juu kisiasa
Tena uzinduzi wa matundu ya vyoo siku ukifanyika unachukua nafasi ya kwanza kwenye taarifa za habari za vituo vya redio na televisheni kwa siku hiyo, na hufanywa na viongozi wa kitaifaHahahaha dah! Apo ndo Nnapo choka...
Sisi uku Africa bado tunazindua vyoo.
Yani mkuu Haya mambo wenzetu walifanyaga karne ya 18 uko lakini sisi ndo tunakomaa nayo karne hii ya 21..Tena uzinduzi wa matundu ya vyoo siku ukifanyika unachukua nafasi ya kwanza kwenye taarifa za habari za vituo vya redio na televisheni kwa siku hiyo, na hufanywa na viongozi wa kitaifa