Binadamu tunaishi ili iweje? Au tupo duniani kufanya nini? Why Do We Live?

Binadamu tunaishi ili iweje? Au tupo duniani kufanya nini? Why Do We Live?

Hujajibu swali.

Pia, unapoongelea "sababu" inabidi unyambulishe unamaanisha nini?

Sababu inaweza kutafsiriwa kama "cause" au "purpose".

Unamaanisha ipi?

Unajua tofauti yake?

Namaanisha kusudi. Niende kwa mfano, nnapopanda mti wa aina fulani, kuna kitu nategemea kupata hapo, iwe ni matunda au mazao mengine ya huo mti, hilo ndio kusudi au sababu ya mimi kuupanda huo mti. Watu wengine kutokujua hiyo sababu haimaanishi hakuna kusudi la huo mti kuwepo.
 
Ndio maana nilianza kukuuliza kwanza kabla ya kufika huku kwasababu nilijiua kutakuwa na haya maswali ambayo kama ungekuwa unatafakari hata kidogo tu ungeona kuwa yameshajibiwa na huo mstari niliouweka

Nilikuuliza ni kwa maana ipi unataka tarakilishi itamkwe kwenye biblia na hukuelewa sasa unauliza swali ambalo tungesaidiana kuliondoa ili tusipoteze muda lakini hukutaka ....

Sina namna ya kukusaidia hapa!


Too low!!

Yaani mstari huo ndio unautumia Ku justify hoja yako?

Nimekwambia onesha mahali bible imejadili kompyuta unaleta porojo za maarifa kuongezeka....

Acha porojo onyesha kwa dhahiri wapi bible imeongelea kompyuta...

Usikimbilie kuona wenzio hawana uwezo kifikra wakati wewe ndio una tatizo kubwa....
 
Kwa nini umesema hivyo mkuu?

Msingi wa hoja ya "sababu" inakuwa na mapungufu kama maelezo hayajatolewa kama ulivyohoji kwasababu kama ni "cause" jibu litakuwa lingine tofauti na kama ingekuwa "purpose"

Mtoa mada anapouliza kijumla jumla tu majibu yoyote yatakuwa sahihi na kama kuna atakaekosea basi kosa litakuwa limeanzia kwa mtoa mada na kwa maana hiyo mtoa jibu kimsingi atakuwa hajakosea

Lakini hili litaeleweka hadi pale mtu ajue kuwa kuna tofauti za kimsingi kati ya "cause" na "purpose"!
 
Too low!!

Yaani mstari huo ndio unautumia Ku justify hoja yako?

Nimekwambia onesha mahali bible imejadili kompyuta unaleta porojo za maarifa kuongezeka....

Acha porojo onyesha kwa dhahiri wapi bible imeongelea kompyuta...

Usikimbilie kuona wenzio hawana uwezo kifikra wakati wewe ndio una tatizo kubwa....

Sawa ....

Tufanye mimi ndio tatizo kubwa na wewe huna na tuishie hapa ndugu!
 
Sawa ....

Tufanye mimi ndio tatizo kubwa na wewe huna na tuishie hapa ndugu!

Hoja haiwezi kuisha kwa kukubaliana hoja huisha kwa hoja....

Umeuliza kitu gani hakipo kwenye bible ukimaanisha hakuna ambacho bible haijajadili...

Ukaniambia niseme ambacho hakipo kwenye biblia (kompyuta) ukadai context nakuuliza IPI unaleta habari za Daniel

Hivi ningeuliza dhahabu imeandikwa wapi ungeniletea vifungu vilivyotaja dhahabu au ungekuja na maarifa kuongezeka?
 
Hoja haiwezi kuisha kwa kukubaliana hoja huisha kwa hoja....

Umeuliza kitu gani hakipo kwenye bible ukimaanisha hakuna ambacho bible haijajadili...

Ukaniambia niseme ambacho hakipo kwenye biblia (kompyuta) ukadai context nakuuliza IPI unaleta habari za Daniel

Hivi ningeuliza dhahabu imeandikwa wapi ungeniletea vifungu vilivyotaja dhahabu au ungekuja na maarifa kuongezeka?

Sikua najua kama na wewe una uwezo wa namna hii

Mkuu tuishie hapa tu,haina haja ya kuendelea kupoteza muda ambao hauhitajiki kupotezwa kijinga hivi ......!!
 
Msingi wa hoja ya "sababu" inakuwa na mapungufu kama maelezo hayajatolewa kama ulivyohoji kwasababu kama ni "cause" jibu litakuwa lingine tofauti na kama ingekuwa "purpose"

Mtoa mada anapouliza kijumla jumla tu majibu yoyote yatakuwa sahihi na kama kuna atakaekosea basi kosa litakuwa limeanzia kwa mtoa mada na kwa maana hiyo mtoa jibu kimsingi atakuwa hajakosea

Lakini hili litaeleweka hadi pale mtu ajue kuwa kuna tofauti za kimsingi kati ya "cause" na "purpose"!

Exactly my sentiments.
 
Sikua najua kama na wewe una uwezo wa namna hii

Mkuu tuishie hapa tu,haina haja ya kuendelea kupoteza muda ambao hauhitajiki kupotezwa kijinga hivi ......!!


Mkuu uwezo Wa MTU unathibitishwa kwa facts....

Kupoteza muda kijinga? Kutaka kujua mahali biblia imezungumzia kompyuta ni kupoteza mda kijinga?

Kama ni kupoteza mda kijinga kuna maana gani kusema biblia imezungumzia kila kitu?
 
Umeeleza vema sana mkuu,..wish watu wote tungejua huu ukweli kuhusu maisha yetu_dunian pangekua mahali pazuri sana pa kuishi.

BTW....Wellcome back mkuu Apollo_longtime no see you in here.

Asante kaka Igwe, Nafurahi kuona bado u mzima ndugu. Tatizo watu hutegemea dini kujifunza. Dini sio kwamba ni mbaya bali zina upotovu ambao wanadamu hawaujui mfano utofauti, uadui, ujinga wa wachache, n.k. Dini zote zina malengo makuu ambayo ni Upendo kwa mtu mwenyewe, Upendo kwa viumbe, Upendo kwa dunia na mazingira na n.k. Upendo wa kweli ndio dini ya kweli na Miili yetu ndipo Hekalu takatifu linapaswa kuwekwa.

Blessings sana Man, Jioni njema kaka.
 
Hii dunia isingekuwa hivi ilivyo kama watu wangekuwa wanajiuliza kwanini tupo duniani.
 
Kama maisha yatakua na lengo au malengo Basi kwa maana hiyo maisha yatakuwa na msululu wa malengo usio kuwa na mwisho
Lengo ni kuishi.
 
Napenda nikubaliane na points ambazo Alola ameweka kwenye mchango wake. Lakni nadhani kujarbu kujua ni kwa nini wewe upo hapa duniani ni swali ambalo hakuna mwanadamu anayeweza kulijibu. Ni sawa na kujibu kwa nini Mungu ameumba nyota nyingi kiasi hicho? (Uki-google 'galaxies' utapata maelezo kwamba 'a gallaxy is a collection of stars. It is estimated that there are 50 billion galaxies and each galaxy has about 50 billion stars). Ukijiuliza ni kwa nini Mungu ameumba nyota nyingi namna hiyo utapata jibu? Never! Au ukijiuliza kwa nini kila mtu ana alama ya kidole gumba au DNA tofauti na ya binadamu mwingine yeyote unadhani utapata jibu? Hupati !

LAKINI: Hilo halina maana kwamba Mungu hakumpa kila mtu jukumu lake. KILA MTU ana jukumu ambalo Mungu kampa. Tatizo kubwa ni kwamba wengi wetu sisi hatujui wala hatutafuti kujua mpango wa Mungu kwenye maisha yetu. Kwa wale wanaosoma Biblia, ukienda kwenye kitabu cha Wakolosai utaona namna Mtume Paulo alisema anawaombea Wakolosai ILI WAPATE MAARIFA YA KUJUA MAPENZI YA MUNGU KWAO ni yapi. Lakini bila hata kwenda kwenye kitabu chochote cha dini, sote tunajua kwamba kuna mtu ambaye Mungu anamweka awe mkuu wa nchi (hata kama watu wengine hawataki), na huyo huyo lazima apate mpishi wa kumpikia na dobi wa kumfulia n.k. Mungu anataka mwingine awe daktari, mwingine ajenge barabara, mwingine afundishe watoto wetu, mwingine alime tupate chakula n.k. Kila mtu ana kusudi ambalo Mungu amempa.

Kwa hivyo, wewe usiulize ni kwa nini upo hapa duniani. Kuna jukumu ambalo Mungu amekuwekea la kufanya. TENA UJUE: UKIWEZA KUJUA KUSUDI AMBALO MUNGU AMEKUWEKEA, UKILIFANYA UTAFANIKIWA MAISHANI.
 
Hamjambo wakuu
Hivi wanaume tumeumbwa na chuchu za kazi gani??
Wengne watasema inaongeza ashki kwenye mapenzi je wasiokuwa na msisimko kwenye chuchu hizi zinakazi gani nyingne hebu tusaidiane kwa pamoja hapa.
Nawasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So a Man is A Half Woman

Mwanaume huitwa Mwanaume Pale tu Hormone ya Kike itakaposhindwa Kujiexpress. Hizo zipo Tu Ikitokea hormone ya kike ikawa juu Zaidi Zinaweza Kuota Matiti kama ya Mwanamke tu.
 
Back
Top Bottom