Binadamu tunaishi ili iweje? Au tupo duniani kufanya nini? Why Do We Live?

Binadamu tunaishi ili iweje? Au tupo duniani kufanya nini? Why Do We Live?

Mwanzoni mwa kizazi cha binadamu tulikuwa tukifanana jinsia zote 2 ila kadri muda ulivyoenda ndivyo mabadiliko yalizidi kutokea kwa kasi!

Wakati huo swala la uzazi ilikuwa ni kuzidiana tu yaani kama wewe ni Mariamu alfu ukamzidi nguvu Joseph, basi papo hapo unambebesha mimba.

Vivyo hivyo upande wa pili,,,, kwahiyo kadri muda ulivyozidi kusonga ndipo tukaweza kutofautiana na kuwa na jinsia tofauti na hapo kabla.

Manyonyo haya /chuchu unazoziongelea leo ni matokeo ya uhalisia uliokuwepo hapo kabla/evolution
 
kwa waliowahi kufatilia seris za harry potter aliwahi kuulizwa swali 'why do yu live' akajibu 'bacause i have something worth living for' so kuna vitu vingi vinavyompa mtu sababu ya kutaka kuendelea kuishi. MONEY, FAME, POWER, FAMILY, VALUES, HONOUR
 
Ni Mungu pekee anayejua madhumuni ya kutuumba sisi binadamu na kutuleta duniani na kutufanya tuishi kwa kipindi fulani.

Hata hivyo ninachojua Mungu ametuwekea 'speed governer' katika ubongo wetu, ambapo ametuwekea 'limit' ya upeo wa kujua mambo ya Mungu.

Mfano utacrack kichwa chako kutaka kujua inakuwaje Mungu awe Alpha na Omega hutapata majibu.

Vile vile ukitafakari wakati wa uumbaji wake wa dunia na vyote vilivyomo duniani pamoja na sayari zote zinazozunguuka dunia, 'material' ya kuumbia sayari hizi, hutapata majibu, na badala yake utaumiza kichwa tu.

Ukitaka kuthibitisha ukuu wa Mungu ni kuwa hata maScientists, ambao wamekuwa 'wagumu' wa kukiri uwepo wa Mungu, lakini hata wao wanakiri kuwa dunia na vyote vilivyomo duniani na sayari zinazoizunguka, havikuja 'vyenyewe' tu, bali lazima kuna aliyeviumba, yaani CREATOR!!

Kwa hiyo sisi bibadamu tunapowaza maajabu ya Mungu ya uumbaji, tunaishia kutojua zaidi kutokana na Mungu kutuwekea 'speed governer' kwenye bongo zetu na hatimaye tunaishia tu kujisemea kimoyo moyo kuwa, mwacheni Mungu aitwe Mungu!!!!!!!!!!!

"Kama Muungu Pekee ndo anajua" lengo a kumuumba binaadamu. siutakuwa umeshapeta jibu?
jibu lake nenda katika vitabu vya Muungu (Biblia, Quran, nk) haina haja kuumizwa kichwa bila ya kupata faida yeyote.
 
Nawasiki watu wa imani mbalimbali wakijadili kuwa binadamu hapa duniani ni wapitaji tu na wengine wakitufundisha tujiandae kwa maisha ya milele baada kufa. Je kama kuna maisha baada ya kufa kwanini watu wanamsifia na kumshukuru mungu sana kila wanapoamka asubuhi wakiwa wazima? Kama kuna maisha mengine hapa dunia tumekuja kufanya nini?. Nini hasa sababu ya sisi kuishi hapa duniani?.
Waumini jibuni hili swali
 
Ni Mungu pekee anayejua madhumuni ya kutuumba sisi binadamu na kutuleta duniani na kutufanya tuishi kwa kipindi fulani.

Hata hivyo ninachojua Mungu ametuwekea 'speed governer' katika ubongo wetu, ambapo ametuwekea 'limit' ya upeo wa kujua mambo ya Mungu.

Mfano utacrack kichwa chako kutaka kujua inakuwaje Mungu awe Alpha na Omega hutapata majibu.

Vile vile ukitafakari wakati wa uumbaji wake wa dunia na vyote vilivyomo duniani pamoja na sayari zote zinazozunguuka dunia, 'material' ya kuumbia sayari hizi, hutapata majibu, na badala yake utaumiza kichwa tu.

Ukitaka kuthibitisha ukuu wa Mungu ni kuwa hata maScientists, ambao wamekuwa 'wagumu' wa kukiri uwepo wa Mungu, lakini hata wao wanakiri kuwa dunia na vyote vilivyomo duniani na sayari zinazoizunguka, havikuja 'vyenyewe' tu, bali lazima kuna aliyeviumba, yaani CREATOR!!

Kwa hiyo sisi bibadamu tunapowaza maajabu ya Mungu ya uumbaji, tunaishia kutojua zaidi kutokana na Mungu kutuwekea 'speed governer' kwenye bongo zetu na hatimaye tunaishia tu kujisemea kimoyo moyo kuwa, mwacheni Mungu aitwe Mungu!!!!!!!!!!!
Ni sayari zipi zinazoizunguka dunia?

Alafu kukosa majibu ya baadhi ya vitu isiwe kigezo cha kusema kuna Mungu muumbaji.
 
Fanya tafiti utajua tunaishi ili iweje!....na hiyo ni nafasi ya kupata uprofesa kwa sababu bado tafiti haijafanyika kwenye nyanja hizo!!
 
Waumini jibuni hili swali
Maswali mengine sio lazma mjibiwe, kwasababu ninyi mnauliza kijeuri, ila ngoja nikusaidie,


JUKUMU LA MUUMINI HALISI KATIKA MUNGU , NI KUSHUKURU KWA KILA JAMBO, NDIO MAANA HATA TUNAPOMZIKA MTU ALIEKUFA MWILI HUWA TUNAMSHUKURU SANA MUNGU KWASABABU YA KAZI YAKE,:

Songa na hii,>>>>>>>> Sitakufa Bali nitaishi, nami nitayasimulia matendo ya Bwana, (Zabr 118:17) kwa mjibu wa Daudi, nikwamba tunaposhukuru pale tunapokuwa hai Ni ili tuyasimulie matendo ya Bwana, na si tufurahie anasa za Dunia.






>>>>kama vile nilivyotazamia sana, na kutumaini,kwamba sitaaibika kamwe, Bali kwa uthabiti wote, kama siku zote na sasa vivyo hivyo Kristo ataadhimishwa katka mwili wangu; ikiwa kwa maisha yangu, au ikiwa kwa mauti yangu.

Kwa maana kwangu Mimi KUISHI NI KRISTO, NA KUFA NI FAIDA.

Ila ikiwa kuishi katka mwili , kwangu Mimi Ni matunda ya kazi; basi nitakalolichagua silitambui.

Ninasongwa katka ya mambo mawili, ninatamani kwenda zangu nikae na Kristo maana Ni vizur zaidi sana;

Bali kudumu katka mwili kwahitajiwa zaidi kwa ajili yenu.
(Waphilip 1:20-24



KWA MJIBU WA PAULO ANAFUNDISHA JINSI YOTE YALIVYO NA UMHIMU KATKA MUNGU, IVYO HAYA MASWALI NIYAKITOTO KWASABABU MAJIBU YAKE YAPO WAZI KWENYE VITABU HUSIKA, ILA KWA KUWA MNAPENDA KUSOMA VITABU VYA KUONGEZA VIBURI , HAKUNA HAJA YA KUHOJI VIJISWALI HIVI

Sent using Jamii Forums mobile app
 



Bila-shaka hakuna swali lisilo na jibu japokuwa kila jibu litolewalo si lazima liwe sahihi. Waulize swali moja wanafunzi wa chekeachea, shule ya msingi, sekondari na vyuo kwa nini unasoma shule?

Majibu mengi yaliyotolewa yalikuwa majibu ya kunakili kutoka kwa wazazi au walezi wa hao watoto. Wangi wao walisema wanasoma hili maisha yao ya baadaye yawe mazuri. Nilipowauliza nini maana ya maisha mazuri?

Nilipokuwa nasoma chekechea ak.a kindergarten mwalimu alinifundisha kuwa moja toa mbili jibu lake ni haiwezekani. Nilipoingia darasa la kwanza mwalimu huyo huyo wa chekechea akanifundisha kuwa moja toa mbili jibu lake ni (-) hasi moja. Swali moja majibu mawili tofauti lakini yote ni sahihi.

Baada ya maelezo hayo machache nikukaribisheni mtoe maoni yenu katika kujibu swali hilo hapo juu.
Tupo duniani kwa ajili ya kumuabudu alietuumba
 
Back
Top Bottom