Shing Yui
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 15,168
- 38,049
Mwanzoni mwa kizazi cha binadamu tulikuwa tukifanana jinsia zote 2 ila kadri muda ulivyoenda ndivyo mabadiliko yalizidi kutokea kwa kasi!
Wakati huo swala la uzazi ilikuwa ni kuzidiana tu yaani kama wewe ni Mariamu alfu ukamzidi nguvu Joseph, basi papo hapo unambebesha mimba.
Vivyo hivyo upande wa pili,,,, kwahiyo kadri muda ulivyozidi kusonga ndipo tukaweza kutofautiana na kuwa na jinsia tofauti na hapo kabla.
Manyonyo haya /chuchu unazoziongelea leo ni matokeo ya uhalisia uliokuwepo hapo kabla/evolution
Wakati huo swala la uzazi ilikuwa ni kuzidiana tu yaani kama wewe ni Mariamu alfu ukamzidi nguvu Joseph, basi papo hapo unambebesha mimba.
Vivyo hivyo upande wa pili,,,, kwahiyo kadri muda ulivyozidi kusonga ndipo tukaweza kutofautiana na kuwa na jinsia tofauti na hapo kabla.
Manyonyo haya /chuchu unazoziongelea leo ni matokeo ya uhalisia uliokuwepo hapo kabla/evolution