Nimejikuta nacheka kwa nguvu sana!Michango hii ya WADAU ni mizito sana
Nmefikiria ndo mana nkaona bora zisingekuwepoHizo siyo chuchu no alama tu za chuchu ..kuongeza reception kwenye mwili.hauja fikiria kama zisinge kuwepo ungeonekanaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inahusiana nini na chuchu mkuuTumeletwa duniani ili tumjue Mungu,tumpende, tumtumikie na mwisho tufike kwake..
Umecheka kama mimi nlivopata kucheka kwa sauti pindi napostNimejikuta nacheka kwa nguvu sana!
Ni Mungu pekee anayejua madhumuni ya kutuumba sisi binadamu na kutuleta duniani na kutufanya tuishi kwa kipindi fulani.
Hata hivyo ninachojua Mungu ametuwekea 'speed governer' katika ubongo wetu, ambapo ametuwekea 'limit' ya upeo wa kujua mambo ya Mungu.
Mfano utacrack kichwa chako kutaka kujua inakuwaje Mungu awe Alpha na Omega hutapata majibu.
Vile vile ukitafakari wakati wa uumbaji wake wa dunia na vyote vilivyomo duniani pamoja na sayari zote zinazozunguuka dunia, 'material' ya kuumbia sayari hizi, hutapata majibu, na badala yake utaumiza kichwa tu.
Ukitaka kuthibitisha ukuu wa Mungu ni kuwa hata maScientists, ambao wamekuwa 'wagumu' wa kukiri uwepo wa Mungu, lakini hata wao wanakiri kuwa dunia na vyote vilivyomo duniani na sayari zinazoizunguka, havikuja 'vyenyewe' tu, bali lazima kuna aliyeviumba, yaani CREATOR!!
Kwa hiyo sisi bibadamu tunapowaza maajabu ya Mungu ya uumbaji, tunaishia kutojua zaidi kutokana na Mungu kutuwekea 'speed governer' kwenye bongo zetu na hatimaye tunaishia tu kujisemea kimoyo moyo kuwa, mwacheni Mungu aitwe Mungu!!!!!!!!!!!
[emoji3]
Waumini jibuni hili swaliNawasiki watu wa imani mbalimbali wakijadili kuwa binadamu hapa duniani ni wapitaji tu na wengine wakitufundisha tujiandae kwa maisha ya milele baada kufa. Je kama kuna maisha baada ya kufa kwanini watu wanamsifia na kumshukuru mungu sana kila wanapoamka asubuhi wakiwa wazima? Kama kuna maisha mengine hapa dunia tumekuja kufanya nini?. Nini hasa sababu ya sisi kuishi hapa duniani?.
Ni sayari zipi zinazoizunguka dunia?Ni Mungu pekee anayejua madhumuni ya kutuumba sisi binadamu na kutuleta duniani na kutufanya tuishi kwa kipindi fulani.
Hata hivyo ninachojua Mungu ametuwekea 'speed governer' katika ubongo wetu, ambapo ametuwekea 'limit' ya upeo wa kujua mambo ya Mungu.
Mfano utacrack kichwa chako kutaka kujua inakuwaje Mungu awe Alpha na Omega hutapata majibu.
Vile vile ukitafakari wakati wa uumbaji wake wa dunia na vyote vilivyomo duniani pamoja na sayari zote zinazozunguuka dunia, 'material' ya kuumbia sayari hizi, hutapata majibu, na badala yake utaumiza kichwa tu.
Ukitaka kuthibitisha ukuu wa Mungu ni kuwa hata maScientists, ambao wamekuwa 'wagumu' wa kukiri uwepo wa Mungu, lakini hata wao wanakiri kuwa dunia na vyote vilivyomo duniani na sayari zinazoizunguka, havikuja 'vyenyewe' tu, bali lazima kuna aliyeviumba, yaani CREATOR!!
Kwa hiyo sisi bibadamu tunapowaza maajabu ya Mungu ya uumbaji, tunaishia kutojua zaidi kutokana na Mungu kutuwekea 'speed governer' kwenye bongo zetu na hatimaye tunaishia tu kujisemea kimoyo moyo kuwa, mwacheni Mungu aitwe Mungu!!!!!!!!!!!
Maswali mengine sio lazma mjibiwe, kwasababu ninyi mnauliza kijeuri, ila ngoja nikusaidie,Waumini jibuni hili swali
Tupo duniani kwa ajili ya kumuabudu alietuumba
Bila-shaka hakuna swali lisilo na jibu japokuwa kila jibu litolewalo si lazima liwe sahihi. Waulize swali moja wanafunzi wa chekeachea, shule ya msingi, sekondari na vyuo kwa nini unasoma shule?
Majibu mengi yaliyotolewa yalikuwa majibu ya kunakili kutoka kwa wazazi au walezi wa hao watoto. Wangi wao walisema wanasoma hili maisha yao ya baadaye yawe mazuri. Nilipowauliza nini maana ya maisha mazuri?
Nilipokuwa nasoma chekechea ak.a kindergarten mwalimu alinifundisha kuwa moja toa mbili jibu lake ni haiwezekani. Nilipoingia darasa la kwanza mwalimu huyo huyo wa chekechea akanifundisha kuwa moja toa mbili jibu lake ni (-) hasi moja. Swali moja majibu mawili tofauti lakini yote ni sahihi.
Baada ya maelezo hayo machache nikukaribisheni mtoe maoni yenu katika kujibu swali hilo hapo juu.
45Swali zima la "tunaishi ili iweje" lina assume kwamba kuna sababu za kila kitu kuelekea. Kitu ambacho si kweli.