Binadamu tunaishi ili iweje? Au tupo duniani kufanya nini? Why Do We Live?

Tafuta kusudi lako ndo utajua unaishi kufanya nn humu dunian
 
Na vipi mtu mwenye matatizo ya akili kama mtindio wa ubongo anajuaje lengo lake hapa duniani ikiwa hawezi hata kujua jina lake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii deep sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukijitahidi kufikiria nje ya vitabu ,Kuna jibu halisi lipo kichwan kwako mwenyewe Bila vitabu,na kama hupati jibu nje ya vitabu(yaani Kwa kufikiria) basi upo kwenye kifungo ambacho huwezi toka, na hayo ndo maisha yako halisi yaliyokuleta hapa duniani
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† nimecheka sana
 
Tunaishi ili kuchunguza uumbaji. Na hili ndilo lengo halisi la uwepo wetu hapa duniani na ndiyo ibada ya kweli, maana unapochunguza uumbaji Ni lazima utasifu tu eidha kimoyomoyo au kwa sauti. Hivyo basi utaendelea kusifu Hadi ukomo wa umri wako na ukifa watazaliwa wengine kwa fikra mpya za kusifu uumbaji.
 
Dunia Ni Banda binadamu nimifugo na mfugaji hajulikani Ni Nani ila yupo

Yupo kwasababu Banda haliji jengi linajengwa

So tunafugwa tunaliwa na tuna chaguliwa yupi wa kuliwa leo yupi aachwe Kama tunavyo chagua kuku bandani

Duniani hatupo peke yetu Kuna viumbe vinatu chunga vinatulinda na kututafuna japo hatuvioni na kibaya zaidi tuna amini katika vyenyewe kuwa ndivyo walinzi wetu

Kama vile kuku aaminivyo kwamba sehemu sarama ya kuishi Ni nyumbani kwa mfugaji wake

lakini huku asijue huyo huyo mfugaji wake ndiye adui namba moja wa vizazi na vizazi vyake

Mwisho nikukumbushe kwamba dunia Haina 7 continents Kuna dunia nyingine nyuma ya zile ice walls na Kuna viumbe wanaishi

Sasa hatujui viumbe hao chakula vyao pendwa Ni vipi
 
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…