Binadamu tunaishi ili iweje? Au tupo duniani kufanya nini? Why Do We Live?

Binadamu tunaishi ili iweje? Au tupo duniani kufanya nini? Why Do We Live?

Tukishaenda mbinguni..dunia itabaki na nani? bila shaka itakosa kazi je je dunia itatupwa pahala..kwa kukosa kazi?
 
Lakini tukumbuke wengine hawaamini yesu wala mohamad je hao hawana haki ya kuishi?
 
Hearing,seeing and comprehending with your heart will affect how you act,However if you dont know your purpose you will walk like a dog who lowers his head to the ground,not knowing which direction to go in,so he walks without purpose,smelling the ground and following the direction his desire take him.He doesn't see the full picture and where he is heading to.Just swallow your ego and look at sky more and more,i believe you will see the clear signs of your Lord if you use your intellect.
Nawasiki watu wa imani mbalimbali wakijadili kuwa binadamu hapa duniani ni wapitaji tu na wengine wakitufundisha tujiandae kwa maisha ya milele baada kufa. Je kama kuna maisha baada ya kufa kwanini watu wanamsifia na kumshukuru mungu sana kila wanapoamka asubuhi wakiwa wazima? Kama kuna maisha mengine hapa dunia tumekuja kufanya nini?. Nini hasa sababu ya sisi kuishi hapa duniani?.
 
Ukisema upeo mdogo basi hata wako mdogo maana umeshindwa kuwafanya watu wakuelewe unachomaanisha.

tatizo ni moja itanigharimu muda na mifano mingi na itategemea na kichwa chako afu jf si home of great thinkers ninyi ndo mnamatatizo be a reader ,think,think....just think utapata majibu
 
Wewe mwenye upeo mkubwa wa kufikiri si utupe elimu sisi wapu.uzi!!!

Na jee ni nani alienaupeo mdogo wa kufikiri kati ya yule anaesema kitu na kushindwa kukielezea, na yule anaeuliza maswali?
...
Jibu ulichoulizwa acha bla blaa!

great thinker ajiongeze i hate spoon feeding kama hujaelewa basi ukitaka jua namaanisha nini read the BIBLE
 
Leonardo da Vinci ana fit kwenye fikra zako introvert. Kwa maana ya kwamba ni mtu aliyeona anakipaji cha
kufanya chochote atakacho katika ustadi wa hali ya juu. Lakini si kila mtu ni multi talented. Natumia neno
kipaji/talent kwa maana ya uasili wa neno hilo. Umepewa uwezo fulani ambao ni distinct na unique. Sasa labda
wewe huamini kwenye swala la kipaji lakini kama unaamini basi itapaswa pia uamini kuwa hicho kipaji haujapewa
bure.Kuna sababu maalum za wewe kupewa au kuwa hicho kipaji. Sasa kwa jinsi ambavyo Introvert
unaongea ni kana kwamba kila mtu anaweza akafanya chochote kile kwa ustadi wa hali ya juu! na hii si
kweli. Kuna watu wana uwezo mkubwa katika eneo / maeneo fulani na hawajui kama wana uwezo huo.
Wanahangaika kujishughulisha na sehemu ambazo wanaowezo mdogo mno. Mimi nahimiza watu wa-unleash their potential. Otherwise LET US AGREE TO DISAGREE🙂🙂🙂.

kama mtu hauju kipaji chake na anaendelea kufanya mambo mengine nje ya aneo analoweza kufanya vizuri zaidi hadi anakufa..je, lengo la mungu kumleta hapa duniani kama ulivyosema litakuwa limekamika kwa njia ipi ???
 
Ujifunze tabia yakuelewesha watu.

Ni ngumu kumwelewesha mtu ambaye hajielewi mwenyewe afu isitoshe sipendi tabia ya mtu ya kutoshirikisha ubongo wake namwona kama daraja ,nitamrudisha kundini endapo atanielewa
 
Ni ngumu kumwelewesha mtu ambaye hajielewi mwenyewe afu isitoshe sipendi tabia ya mtu ya kutoshirikisha ubongo wake namwona kama daraja ,nitamrudisha kundini endapo atanielewa

Ujifunze kukubali kukosolewa corz hakuna mkamilifu best, afu usipende kuona watu vilaza wakati ur worst of all, ungekua unajielewa ungeshirikisha ubongo kujibu unayoulizwa kutokana na uliyoyasema.
 
kama mtu hauju kipaji chake na anaendelea kufanya mambo mengine nje ya aneo analoweza kufanya vizuri zaidi hadi anakufa..je, lengo la mungu kumleta hapa duniani kama ulivyosema litakuwa limekamika kwa njia ipi ???
Je unaamini kila kinachotokea ni mipango ya Mungu?
 
Teh teh teh. Hekima hujenga siku zote haijalishi unakipawa kiasi gani cha kufikiri lakini unaweza kupata wazo zuri na la kuibadili dunia kupitia fikra za unawadharau na kuwaona hawajui kitu. Kumbuka unaweza ukawa upo sahihi kuliko wote lakini ukiwa unakataa mapendekezo ya marekebisho ili uboreshe fikra zako endapo utapuza kisha fikra zako zikaleta madhara utaonekana mbumbavu kuliko wote.
 
Ujifunze kukubali kukosolewa corz hakuna mkamilifu best, afu usipende kuona watu vilaza wakati ur worst of all, ungekua unajielewa ungeshirikisha ubongo kujibu unayoulizwa kutokana na uliyoyasema.

only fools understand fools only the bright will the light ,king and queens of judging and predicting are worst ignorant and arrogant creatures,ni bora nikae kimya than conversing with a fool am nt your TEACHER,PREACHER nor SEARCHER
 
only fools understand fools only the bright will the light ,king and queens of judging and predicting are worst ignorant and arrogant creatures,ni bora nikae kimya than conversing with a fool am nt your TEACHER,PREACHER nor SEARCHER

And Vice versa.
 
And Vice versa.

badala ya kuchangia mada una muattack mtu individually bila fact eti unamrekebisha huku huelewi kamaanisha nini,at the otherside ulichochangia hakuna only fools will deal with personalities not issues very depressing and afteral i think ni allogernic beh. Ndo tatizo I CONCUR.
 
badala ya kuchangia mada una muattack mtu individually bila fact eti unamrekebisha huku huelewi kamaanisha nini,at the otherside ulichochangia hakuna only fools will deal with personalities not issues very depressing and afteral i think ni allogernic beh. Ndo tatizo I CONCUR.

I thought umesema unakaa kimya hutaki kubishana na fools watsup?
 
"Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake. "

Wakolosai 1:16

 
Back
Top Bottom