kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,760
- 11,343
Mkuu hapo kwenye material,nikushangaze zaidi,scientific researchers wamegundua kuwa ni material moja tu iliyoumba vitu tofauti vilivyojaa kwenye universe,nayo ni energy.wamegundua ndani ya kila kitu kuna energy,iliyo katika mfumo wa mtetemo(vibrations) na vibration hizo zinajipanga kihisabati ili kuipa mada aina yake,ukichunguza jiwe,maji,mbao,mchanga,etc kila kitu kinakuwa na mtetemo wake tofauti na vya aina nyingine.na hata ukichukua mawe ya aina tofauti,utakuta yana pattern tofauti katika vibration zake,meaning kwamba kinachosababisha mtetemo huo ndio kinaamua hatma ya mada inayotokana na mtetemo husika.Hisabati inayotumika kuzalisha vibration hizo remains a mystery!what it means ni kwamba something so big and complex is causing these vibrations.there is one energy which disintergrated to cause all of what we have today and it is still playing it's mathematical music to hold all creation together and according to the command which give them their type.wakagundua pia kwamba wakati wa big bang jinsi mlipuko ulivyotokea,kiwango cha kutanuka ulimwengu kilikuwa na mpangilio maalum ulioleta initial conditions ambazo ni favourable kwa existence ya ulimwengu na yaliyomo.kama kiwango cha kutanuka ulimwengu sekunde moja tu baada ya mlipuko ule kingechelewa just for one part among milions in a millions,ulimwengu ungecollapse into a fireball.Gravity force ingepungua just for one part in ten thousands,ulimwengu usingeweza kuwa na mazingira yanayoruhusu uhai.kihisabati,kuna karibu 50 quantities and constants zilizojitokeza wakati wa big bang ambazo ilikuwa lazima ziwe balanced kama zilivyokuwa ili ulimwengu uruhusu uhai.na sio tu kwamba ilikuwa lazima kubalance kila quantity tu,bali pia uhusiano wa quantity moja na nyingine ilikuwa lazima uwe balanced.So improbability is multiplied by improbability by improbability untill our minds are reeling in incomprehensible numbers.Hakuna ajuae ni kwa nini constants na quantities hizo zimebeba value zile zilizo nazo.Mwanasayansi Fred Hoyle anasema,"a common sense interpretation of the facts suggests that a superintellect has monkeyed with physics."Robert Jastrow,mkuu wa NASA's Gordad institute for space studies,anasema "this is the most powerful evidence for the existence of God ever to come out of science".Hizi facts wanazogundua wanasayansi sasa zinaprove kwamba ulimwengu haukuja by chance,bali by design.big bang inaprove kwamba ulimwengu ulikuwa na mwanzo,sasa kama kuna kitu kimeanzisha space and time,then kitu hicho lazima kiwe timeless,changeless,uncaused,immaterial being of unimaginable power.Na pia lazima kiwe personal.Lazima kiwe personal na akili za maamuzi,inawezekana vipi source ambayo ni timeless ikasababisha jambo bila kuwa na akili ya maamuzi?kama mwanzo wa ulimwengu ni jambo ambalo limejitokea tu kimazingira,how come mazingira hayo yabadilike ghafla tu at a point na kuumbika kwa mpangilio wa hali ya juu hivi wakati yapo enzi na enzi?kama cause ipo enzi na enzi basi na effect ingekuwepo enzi na enzi, kitu ambacho si sahihi kwa facts zilizopo.njia pekee ya cause kuwepo timelessly na effect kuanza kwa wakati na design ya kiwango hiki ni hiyo cause kuwa personal agent mwenye akili yenye maamuzi yenye kuleta effect at any point in time without any prior dertemining conditions.kwa hiyo ulimwengu si tu kwamba una mwanzo bali pia mwanzo huo ni personal Creator.Kuna mtu mmoja anaitwa kahtaan humu aliwahi kusema,upungufu wa elimu ndio unawafanya watu waamini hakuna Mungu.Kahtaan una maudhi mengi lakini kwa hili,nitakuheshimu sana.
Teh teh teh!
Mkuu mi utanichukia bure tu!
Mi najaribu kuwatoa hawa watu kwenye giza la UKAFIRI na kuwaleta kwenye mwanga wa KUMTAMBUA MUNGU MKUU!
NA kazi hii aliifanya YESU pia.
Last edited by a moderator: