Binadamu tunaishi ili iweje? Au tupo duniani kufanya nini? Why Do We Live?

Binadamu tunaishi ili iweje? Au tupo duniani kufanya nini? Why Do We Live?

Mkuu hapo kwenye material,nikushangaze zaidi,scientific researchers wamegundua kuwa ni material moja tu iliyoumba vitu tofauti vilivyojaa kwenye universe,nayo ni energy.wamegundua ndani ya kila kitu kuna energy,iliyo katika mfumo wa mtetemo(vibrations) na vibration hizo zinajipanga kihisabati ili kuipa mada aina yake,ukichunguza jiwe,maji,mbao,mchanga,etc kila kitu kinakuwa na mtetemo wake tofauti na vya aina nyingine.na hata ukichukua mawe ya aina tofauti,utakuta yana pattern tofauti katika vibration zake,meaning kwamba kinachosababisha mtetemo huo ndio kinaamua hatma ya mada inayotokana na mtetemo husika.Hisabati inayotumika kuzalisha vibration hizo remains a mystery!what it means ni kwamba something so big and complex is causing these vibrations.there is one energy which disintergrated to cause all of what we have today and it is still playing it's mathematical music to hold all creation together and according to the command which give them their type.wakagundua pia kwamba wakati wa big bang jinsi mlipuko ulivyotokea,kiwango cha kutanuka ulimwengu kilikuwa na mpangilio maalum ulioleta initial conditions ambazo ni favourable kwa existence ya ulimwengu na yaliyomo.kama kiwango cha kutanuka ulimwengu sekunde moja tu baada ya mlipuko ule kingechelewa just for one part among milions in a millions,ulimwengu ungecollapse into a fireball.Gravity force ingepungua just for one part in ten thousands,ulimwengu usingeweza kuwa na mazingira yanayoruhusu uhai.kihisabati,kuna karibu 50 quantities and constants zilizojitokeza wakati wa big bang ambazo ilikuwa lazima ziwe balanced kama zilivyokuwa ili ulimwengu uruhusu uhai.na sio tu kwamba ilikuwa lazima kubalance kila quantity tu,bali pia uhusiano wa quantity moja na nyingine ilikuwa lazima uwe balanced.So improbability is multiplied by improbability by improbability untill our minds are reeling in incomprehensible numbers.Hakuna ajuae ni kwa nini constants na quantities hizo zimebeba value zile zilizo nazo.Mwanasayansi Fred Hoyle anasema,"a common sense interpretation of the facts suggests that a superintellect has monkeyed with physics."Robert Jastrow,mkuu wa NASA's Gordad institute for space studies,anasema "this is the most powerful evidence for the existence of God ever to come out of science".Hizi facts wanazogundua wanasayansi sasa zinaprove kwamba ulimwengu haukuja by chance,bali by design.big bang inaprove kwamba ulimwengu ulikuwa na mwanzo,sasa kama kuna kitu kimeanzisha space and time,then kitu hicho lazima kiwe timeless,changeless,uncaused,immaterial being of unimaginable power.Na pia lazima kiwe personal.Lazima kiwe personal na akili za maamuzi,inawezekana vipi source ambayo ni timeless ikasababisha jambo bila kuwa na akili ya maamuzi?kama mwanzo wa ulimwengu ni jambo ambalo limejitokea tu kimazingira,how come mazingira hayo yabadilike ghafla tu at a point na kuumbika kwa mpangilio wa hali ya juu hivi wakati yapo enzi na enzi?kama cause ipo enzi na enzi basi na effect ingekuwepo enzi na enzi, kitu ambacho si sahihi kwa facts zilizopo.njia pekee ya cause kuwepo timelessly na effect kuanza kwa wakati na design ya kiwango hiki ni hiyo cause kuwa personal agent mwenye akili yenye maamuzi yenye kuleta effect at any point in time without any prior dertemining conditions.kwa hiyo ulimwengu si tu kwamba una mwanzo bali pia mwanzo huo ni personal Creator.Kuna mtu mmoja anaitwa kahtaan humu aliwahi kusema,upungufu wa elimu ndio unawafanya watu waamini hakuna Mungu.Kahtaan una maudhi mengi lakini kwa hili,nitakuheshimu sana.

Teh teh teh!
Mkuu mi utanichukia bure tu!

Mi najaribu kuwatoa hawa watu kwenye giza la UKAFIRI na kuwaleta kwenye mwanga wa KUMTAMBUA MUNGU MKUU!

NA kazi hii aliifanya YESU pia.
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh!
Mkuu mi utanichukia bure tu!

Mi najaribu kuwatoa hawa watu kwenye giza la UKAFIRI na kuwaleta kwenye mwanga wa KUMTAMBUA MUNGU MKUU!

NA kazi hii aliifanya YESU pia.
UDowcSc.jpg
 
Teh teh teh!
Mkuu mi utanichukia bure tu!

Mi najaribu kuwatoa hawa watu kwenye giza la UKAFIRI na kuwaleta kwenye mwanga wa KUMTAMBUA MUNGU MKUU!

NA kazi hii aliifanya YESU pia.

quran 40;60 inakuhusu.
 
Binadamu wa ajabu sana maswali mgumu ya kutafuta majibu yakiwashinda wanakimbilia kusema mambo ya mungu hayo lakini tukumbuke hata gono lilikuwa halina dawa watu wakatafuta majibu wakayapata.sasa wacha kusingizia mungu chekechecha bongo.

ni kweli mkuu weng humu tumedumaa mentaly
 
Tumeletwa ili kumuabudu yeye...na kuongeza binadamu kama sisi (Watoto)









Ni Mungu pekee anayejua madhumuni ya kutuumba sisi binadamu na kutuleta duniani na kutufanya tuishi kwa kipindi fulani.

Hata hivyo ninachojua Mungu ametuwekea 'speed governer' katika ubongo wetu, ambapo ametuwekea 'limit' ya upeo wa kujua mambo ya Mungu.

Mfano utacrack kichwa chako kutaka kujua inakuwaje Mungu awe Alpha na Omega hutapata majibu.

Vile vile ukitafakari wakati wa uumbaji wake wa dunia na vyote vilivyomo duniani pamoja na sayari zote zinazozunguuka dunia, 'material' ya kuumbia sayari hizi, hutapata majibu, na badala yake utaumiza kichwa tu.

Ukitaka kuthibitisha ukuu wa Mungu ni kuwa hata maScientists, ambao wamekuwa 'wagumu' wa kukiri uwepo wa Mungu, lakini hata wao wanakiri kuwa dunia na vyote vilivyomo duniani na sayari zinazoizunguka, havikuja 'vyenyewe' tu, bali lazima kuna aliyeviumba, yaani CREATOR!!

Kwa hiyo sisi bibadamu tunapowaza maajabu ya Mungu ya uumbaji, tunaishia kutojua zaidi kutokana na Mungu kutuwekea 'speed governer' kwenye bongo zetu na hatimaye tunaishia tu kujisemea kimoyo moyo kuwa, mwacheni Mungu aitwe Mungu!!!!!!!!!!!
 
I have not found one argument against existential nihilism.

Life must have a meaning, for there to be a purpose.

Kila mmoja wetu ana maana yake ya maisha na hivyo kila mmoja wetu ana "purpose" yake ya kuishi.

Tatizo ni pale kunapokuwa na mila, desturi na imani. Kwamba katika maisha lazima uamini mungu, uende shule, uwe na kazi, uoe/uolewe, uwe na watoto etc. Hivyo vitu kama hivyo vinabebwa na jamii na kufanywa "purpose" ya maisha kwa wote.

Lakini si kweli kwa sababu si kila mtu ana maana moja ya maisha. Mwingine anaweza kusema maisha haya ni a one time shot that's never coming back. Kwa mfano mtu anaweza kuamua kusema hakuna purpose yoyote ya kuishi na kuamua kujiua, mwingine anaweza sema maisha yangu nitasafiri dunia nzima, mwingine nitasoma as much as I can na kuamua kuishi bookstores, etc etc..

So bottom line, life has no objective meaning, it's what you make it.

Hakuna sehemu inayosema binadamu tupo hapa ku-achieve something. So you decide what you want out of this life.
7 Likes from me!! As complicated as it is....these tend to be my thoughts as well!
 
wakuu

mi nina swali je siku ya mwisho ni lini? wanadamu tupo makundi
mbalimbali ya dini je ni kundi gani ndio litafanikiwa kufika mbinguni?
je makundi yote yaliyobaki MUNGU atayaangamiza? je watakapokufa roho zao
zitaenda wapi? je kweli mungu ana upendo na kama anao kwanini atuachie
kwa shetani atudanganye ndipo atuadhibu? je MUNGU na shetani nani mwenye mamlaka? hivi mzazi unaweza kumtega mwanao akosee ili umuadhibu (mf.) ? kwa maelezo haya nikisema MUNGU hana upendo nitakua nimekosea ? Nisaidieni wakuu
 
Ukisikia watu wenye akili ndo kama wewe....Kuna masuali hatuna budi kujiuliza....Fanya utafiti utapata Jibu...
 
wakuu

mi nina swali je siku ya mwisho ni lini? wanadamu tupo makundi
mbalimbali ya dini je ni kundi gani ndio litafanikiwa kufika mbinguni?
je makundi yote yaliyobaki MUNGU atayaangamiza? je watakapokufa roho zao
zitaenda wapi? je kweli mungu ana upendo na kama anao kwanini atuachie
kwa shetani atudanganye ndipo atuadhibu? je MUNGU na shetani nani mwenye mamlaka? hivi mzazi unaweza kumtega mwanao akosee ili umuadhibu (mf.) ? kwa maelezo haya nikisema MUNGU hana upendo nitakua nimekosea ? Nisaidieni wakuu

soma bible inamajibu yote
 
...Siku ya Mwisho hakuna kiumbe ambae anaijua kuja kwake.
....Kundi litakalo amini kua hakuna Mungu anaepasa kuabudiwa kwa haki isipokua Mwenyezi Mungu 1...hakuzaa wala hakuzaliwa wala hakuna anaefanana nae.
....Makundi yaliobaki kama yalifikiwa na Elimu juu ya Mwenyezi Mungu wa kweli na wakaamua kukataa kwa mausudi basi hayo ni kweli yatakwenda motoni bila ya shaka yoyote....Kama hayakupata elimu juu ya Mwenyezi Mungu basi Mwenyezi Mungu atayasamehe na kuwaingiza katika pepo wakiwa wameridhia.
...Wapi zinakwenda roho baada ya Mtu kufa?...Kwa mafundisho ya uislam baadhi ya wanazuoni wanatuambia kua kunakwahali kunaitwa Barzaq..huku ndio zinakowekwa....waliowengi wanatuambia kua kaburini mtu anarejeshewa roho yake na anakua na uhai wake katika maisha ya waliowafu....ushahidi huu tunaupata katika sura ya tatu Ali-imraan...

tut'ii wasingeli uliwa. Sema: Ziondoleeni nafsi zenu mauti kama mnasema kweli.

3:169to top

3_169.png
Sahih International
And never think of those who have been killed in the cause of Allah as dead. Rather, they are alive with their Lord, receiving provision,

Swahili
Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi.


3:170to top

3_170.png
Sahih International
Rejoicing in what Allah has bestowed upon them of His bounty, and they receive good tidings about those [to be martyred] after them who have not yet joined them - that there will be no fear concerning them, nor will they grieve.

Swahili
Wanafurahia aliyo wapa Mwenyezi Mungu kwa fadhila yake, na wanawashangilia wale ambao bado hawajajiunga nao, walio nyuma yao, ya kwamba haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.


3:171to top

3_171.png
Sahih International
They receive good tidings of favor from Allah and bounty and [of the fact] that Allah does not allow the reward of believers to be lost -

Swahili
Wanashangilia neema na fadhila za Mwenyezi Mungu, na ya kwamba Mwenyezi Mungu hapotezi ujira wa Waumini,

Kuhusu mapenzi ya Mungu na kumuachia shetani atupoteze...Hapa hatutakiwi kumlaumu M/Mungu kwa sababu ametuletea mitume na pia warithi wa Mitume(wanazuoni)...Sisi tunawakataa na wengine tunawauwa..na tunamfanya shetani ndio rafiki yetu...Tuangalie Uganda Museveni amepiga marufuku Ushoga...wakati nchi nyengine ndo wanashabikia...Uk wameweka sheria Umri halali wa mwanamke kuolewa iwe 18...lakini umri halali wa kijana wa kiume KUFIRWA iwe 16...kweli hapa tumlaumu M/Mungu mkuu...M/Mungu ametupa akili kuliko viumbe vyote...ata uyo shetani hatufikii.....Kimamlaka Shetani hawezi kutufikia hata sisi binadamu achilia M/Mungu...ni kwamba mamlaka shetani tunampa sisi wenyewe...Ni kama unapomwambia mkeo mimi kwako sijiwezi...na ukamaanisha kivitendo...yani mpaka ukitaka kwenda msakani upewe ruhusa...unapangiwa mpaka marafiki wa kufuatana nao

Khitimisho:
Kuna baadhi masuali mkuu elimu yake hata tukiijua haitusaidii kitu..kwa mfano wanyama wanaongea lugha zao za kinyama...lakini wewe itakusaidia nini kutaka kujua kuku wako,bata au mbwa wameongea nini?...hata ukinyeshwa wapi roho zinapelekwa ndo utakwenda kuchukua ujirejeshee mwenyewe?

 
Acha kutoa majibu mepesi kwa maswali magumu.

Swali ni gumu kwako.
Kwa wengine ni km keki ya harusi!
Lainiiiii!

The simple answer is this one.

Quraan.
Al Dhariyat. 51:56

وَمَا خَلَقْتُ الْجِنَّ وَالْإِنْسَ إِلَّا لِيَعْبُدُونِ

Nami sikuwaumba majini na watu ila waniabudu Mimi.

Lengo la sisi binaadamu kuwa hapa DUNIANI NI KUMUABUDU MUNGU TU.
Thats it.

Take it or leave it but that is the truth and the final ANSWER.
 
Swali zima la "tunaishi ili iweje" lina assume kwamba kuna sababu za kila kitu kuelekea. Kitu ambacho si kweli.

Wacha kudanganya watu wewe, hakuna kitu kisichokuwa na sababu ya kuelekea hapa ulimwenguni.

Kila kilicho mbele ya macho yako kina sababu ya kuwepo!
Ukisema binaadamu HANA SABABU MAALUM YA KUWEPO HAPA DUNIANI maana yake ni kuwa Tuko hapa kipu.mbavu tu. Au kwa lugha ya wakoloni ni "we are here for foo.lish porpoises!

WHICH IS IMPOSSIBLE!

Kama kuku yuko hapa kwa SABABU MAALUM.
MBUZI ana sababu MAALUM ya kuwepo.
Mpaka FUNZA na Nzi Wana SABABU MAALUM ZA KUWEPO HAPA.
Na KAMA VIUMBE HAO WASINGEKUWEPO basi MAISHA TULIONAYO LEO YASINGEKUWE.

WE ulikuwa unayafahamu hayo??
BILA FUNZA wewe mzaramo wa Msata USINGEKUWEPO HAPA JF.

sasa KAMA FUNZA (maggots) wana SABABU KUBWA NA MAALUM SANA YA KUWEPO HAPA DUNIANI.
Vipi iweje BINAADAMU ASIWE NA SABABU MAALUM?

Sema WEWE Kiranga wa msata HUJUI SABABU YA WEWE KUWEPO lkn USISEME KUWA HAKUNA SABABU,
kwa sababu Elimu Na Ujuzi Ulionao Umemalizikia Kwenye GOOGLE!

Kuna msemo mmoja wa hekima unakwenda hivi :-

Five percent of the people think;

ten percent of the people think they think;

and the other eighty-five percent would rather die than think.

And I think you are on the bigger percentage!
 
Last edited by a moderator:
A very interesting question though, navyojua kulingana na imani yangu, kitabu changu cha muongozo, kinaniambia Mungu aliumba mbingu na dunia, baada ya hapo akaumba binadamu ili akatawale viumbe vyote vya nchi kavu na baharini, akazae na kuongezeka na kuijaza dunia Vile vile Mungu akampa binadamu kanuni za kuishi ambazo Ni amri kumi ambazo katika hizo utapata kanuni nyingine ndogo ndogo za kuishi.hakuna zaidi ya hapo mengine Ni ubatili
 
Back
Top Bottom