Eti pisikali ipite tusiitokee kwa kuwa tumeshaoa au imeolewaTunalazimisha..ni kitu kisichowezekana. Tumejitengenezea jela wenyewe
Tunatafutiana dhambi bure. Hata kutamani eti ni dhambiEti pisikali ipite tusiitokee kwa kuwa tumeshaoa au imeolewa
Binadamu ni mnyamaKuwa na mwenza ni muhimu, sisi sio wanyama kupanda kila jike.
Endelea kujidanganya, ishi kama mnyama uone kama utatoboa. Sisi tupo tofauti sana na wanyama, hata DNA zetu hazimatchBinadamu ni mnyama
Afadhali hata wazungu wanakuwa na mwenza mmoja wakichokana wanapigana chini kwa amani maisha yanaendelea.Hayo ni mambo ya wazungu. Walianza na mke mmoja sasa wanasema ni sahihi kuoa mwanaume mwenzio.
Hii itapigiwa kelele na mwishowe itakuja kuonekana ya kawaida kama ya mke mmoja.
Mimi binafsi I don't buy that stupidity. Nakua na mwanamke mmoja amekua mama yangu?
So wale wenye wake wa 4 ni binadamu wa aina gani?Endelea kujidanganya, ishi kama mnyama uone kama utatoboa. Sisi tupo tofauti sana na wanyama, hata DNA zetu hazimatch
Hao wanatafta kujikweza na kuonesha ufahari kwenye ujinga tu. Je huwa anawaridhisha wote kwa wakati?So wale wenye wake wa 4 ni binadamu wa aina gani?
Magonjwa? Familia? Utawezaje kuwa na wanaume 10 na wote uwazalie, iyo familia si itakuwa ya hovyo hovyo hata mnyama ambae hana utashi haishi hivi.Tunalazimisha..ni kitu kisichowezekana. Tumejitengenezea jela wenyewe
Na kwako ninazo nyingiTunatafutiana dhambi bure. Hata kutamani eti ni dhambi
Iweje dhambi zangu uwe nazo weweNa kwako ninazo nyingi
Si za kumezea mateIweje dhambi zangu uwe nazo wewe
Sio lazima.kuwa na wanaume 10 na sio lazima kila mwanaume umzalie. But once in a while mtu ukiteleza isiwe dhambi.Magonjwa? Familia? Utawezaje kuwa na wanaume 10 na wote uwazalie, iyo familia si itakuwa ya hovyo hovyo hata mnyama ambae hana utashi haishi hivi.