Binadamu tunalazimisha kuwa na mwenzi mmoja?

Binadamu tunalazimisha kuwa na mwenzi mmoja?

Sio lazima.kuwa na wanaume 10 na sio lazima kila mwanaume umzalie. But once in a while mtu ukiteleza isiwe dhambi.
Kuwa na wanaume/wanawake wengi kiasi hicho ni nadra sana kutokea kwa binamu wa kawaida ingawa pia inawezekana. Ila wawili watatu sio mbaya[emoji28]
Imagine uko seminar na co. Worker na baridi hii ety ulale peke yako kisa umeoa [emoji16] wakati ilitakiwa mpeane company.
 
Back
Top Bottom