Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Dinyaneni bn maisha ni haya haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawasawaUpo tayari kwa mkeo kua na wanaume wengi ili uvunje hiyo dhana ya kua na mwenzi mmoja?
Tuanzie hapo kwanza.
Au sio, practice makes perfectDinyaneni bn maisha ni haya haya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunalazimisha..ni kitu kisichowezekana. Tumejitengenezea jela wenyewe
Unajibana afu hamna cha maana unafanyaAu sio, practice makes perfect
🏃Unajibana afu hamna cha maana unafanya
Mkuu unauliza swali gumu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Upo tayari kwa mkeo kua na wanaume wengi ili uvunje hiyo dhana ya kua na mwenzi mmoja?
Tuanzie hapo kwanza.
Wewe ndio unasema wawili watatu ila sisi binadam haijaruhusiwa tayari kuna watu wanao zaidi ya 10.Sio lazima.kuwa na wanaume 10 na sio lazima kila mwanaume umzalie. But once in a while mtu ukiteleza isiwe dhambi.
Kuwa na wanaume/wanawake wengi kiasi hicho ni nadra sana kutokea kwa binamu wa kawaida ingawa pia inawezekana. Ila wawili watatu sio mbaya😅
Sasa kuoa mwanaume mwenzio hapa imekujajee?Hayo ni mambo ya wazungu. Walianza na mke mmoja sasa wanasema ni sahihi kuoa mwanaume mwenzio.
Hii itapigiwa kelele na mwishowe itakuja kuonekana ya kawaida kama ya mke mmoja.
Mimi binafsi I don't buy that stupidity. Nakua na mwanamke mmoja amekua mama yangu?
Upande wa wanaume kwa tamaduni zetu za kiafrika ni sawa kuwa na wake wengi lakini mtoa mada kazigusa jinsia zote mbili, sasa upo tayari kuchangia mke na wanaume wengine?Hayo ni mambo ya wazungu. Walianza na mke mmoja sasa wanasema ni sahihi kuoa mwanaume mwenzio.
Hii itapigiwa kelele na mwishowe itakuja kuonekana ya kawaida kama ya mke mmoja.
Mimi binafsi I don't buy that stupidity. Nakua na mwanamke mmoja amekua mama yangu?
Wazungu wana-practice 50/50 kwa vitendo, mwanaume wa kizungu habebeshwi jukumu la kumhudumia mke au girlfriend, habebeshwi jukumu la kutoa mahari. Kinachowakutanisha ni mapenzi tu suala la pesa ni either kila mtu atumie za kwake au matumizi yagawanywe nusu kwa nusu kwaiyo hata mkiachana baada ya kuchokana ni rahisi mwanaume kuelewa tofauti na afrika kuanzia mwanaume unapomtongoza tu mwanamke unabebeshwa majukumu ya mzazi wa uyo mwanamke kwaiyo ukifika wakati wa kuachana akifikiria gharama alizoingia kwa mwanamke inakua ni ngumu sana kukubali kirahisi rahisi. Kabla ya kusema umemchoka mume/boyfriend wako piga hesabu ya gharama zote alizoingia kwa ajiri yako tafuta hela mpe, mwambie "mwenzangu mapenzi yamfika tamati milioni kadhaa zako ulizotumia kwa ajiri yangu kipindi cha mahusiano yetu hizi hapa" uone kama mtaachana kwa hard feelingsAfadhali hata wazungu wanakuwa na mwenza mmoja wakichokana wanapigana chini kwa amani maisha yanaendelea.
Sisi tunalazimishana kubaki kwenye ndoa na kama mkifanikiwa kuachana basi jamii nzima inawatolea macho as if mmeua.
Tunalazimisha..ni kitu kisichowezekana. Tumejitengenezea jela wenyewe
Haijaruhusiwa na nani? Unataka nani aruhusu?Wewe ndio unasema wawili watatu ila sisi binadam haijaruhusiwa tayari kuna watu wanao zaidi ya 10.
Abeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Demi bhana
Sasa wewe ni binadamu unae shangaza kuliko wote.Si za kumezea mate