Binadamu wapya wagundulika sayari ya Jupiter

Binadamu wapya wagundulika sayari ya Jupiter

mkuu embu tupe link ya taarifa hiyo na sisi tugoogle faster kama ni kweli.
ila hapo kwenye ukimwi duuuuuuhhh nimepapenda.
 
  • These planets have no solid surface like the earth. The surfaces consist entirely of a sea of liquid hydrogen, hundreds of miles deep.

  • The atmospheric pressure is millions of times greater than the earth's. The pressure is enough to crush the strongest metals.

  • Numerous space probes have examined these planets using advanced technology and have not detected any sign of life whatsoever. No plants. No animals. No tall people. Nothing but hydrogen, helium and other gases
 
NASA scientists believe that no organism, human or otherwise, can live on Jupiter. The planet's high atmospheric pressure would crush humans, and almost any other organisms, while the inner temperatures would melt them. The planet is composed mainly of hydrogen and helium, making its conditions similar to those
 
Katika utafiti wa kijiografia huko Marekani, imegundulika kuwa katika sayari ya jupiter pia huishi binadamu kama sayari yetu hii ya dunia [earth].

Tofauti iliyopo kati yao na siye ni kwamba, sisi huzaliwa kwa kupitia mama zetu baada ya kubeba mimba miezi 9 lakini wao hutotolewa kama vifaranga vya Mbuni baada ya kukaa katika yai mwaka 1 na miezi 7.

Wanaishi maisha mazuri sana kama ya Adamu na Eva. Hawaugui wala kufa bali wakizeeka huyeyuka na kupaa mbinguni. Wanaishi maisha ambayo hayapo duniani, hakuna magari wala majumba zaidi ya yote huko hakuna UKIMWI.

HII NDO JUPITER
View attachment 401458
Hahahahahahahahahahahahahaahahahahahahahahahahahajahahajahahahahaah[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
1474038932123.jpg
 
  • These planets have no solid surface like the earth. The surfaces consist entirely of a sea of liquid hydrogen, hundreds of miles deep.

  • The atmospheric pressure is millions of times greater than the earth's. The pressure is enough to crush the strongest metals.

  • Numerous space probes have examined these planets using advanced technology and have not detected any sign of life whatsoever. No plants. No animals. No tall people. Nothing but hydrogen, helium and other gases
umechukua google ama?
 
Katika utafiti wa kijiografia huko Marekani, imegundulika kuwa katika sayari ya jupiter pia huishi binadamu kama sayari yetu hii ya dunia [earth].

Tofauti iliyopo kati yao na siye ni kwamba, sisi huzaliwa kwa kupitia mama zetu baada ya kubeba mimba miezi 9 lakini wao hutotolewa kama vifaranga vya Mbuni baada ya kukaa katika yai mwaka 1 na miezi 7.

Wanaishi maisha mazuri sana kama ya Adamu na Eva. Hawaugui wala kufa bali wakizeeka huyeyuka na kupaa mbinguni. Wanaishi maisha ambayo hayapo duniani, hakuna magari wala majumba zaidi ya yote huko hakuna UKIMWI.

HII NDO JUPITER
View attachment 401458
Hapo mbona kama ni Igugumya
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
sasa unataka link inamaana haujaamini habari yangu
wewe sio mwandishi wa habari. na ustaarabu wa hapa JF kwa habari kama hizo toa chanzo tukuamini, sasa kama umejitungia huko vichochoroni we unataka tukuamini tu.
basi hizo ni story za once upon a time.
paukwa pakawa stories .
 
Back
Top Bottom