Binadamu wapya wagundulika sayari ya Jupiter

Huu ni uwongo wa wazi.Jupiter haiwezi ku-support life kwa kuwa hakuna
ardhi and therefore no water.Sayari hii ni gaseous,sasa hao watu watakuwa wanaelea.Acha kudanganya watu wewe.
 
umo kwenye yai kuna saloon,mbona wote wameset nywere,halafu wanavyura hatareee,cheki hako ka hapo karibu kalivyokaaa kimahaba.
 
Mbna wazungu tuuu,inaashiria binadamu ni wazungu
 
Huko watakua wanazaliwa wanawake tuu, kidume ukitinga huko ni kurarua bk tuu mwanzo mwisho
 
Hizi ni ndoto za watu wa hali ya chini, yaani "SIMPLE MIND"
 
Ingekuwa hivi duniani hii kuna watu wasingeiona dunia hii, maana mayai yao yangepikiwa Zege la ukweli
 
Naona umekubali kudanganywa na hao wamarekani, mtu yoyote ukikubali huu uongo utajionesha ni namna gali kichwani ulivyomweupe.
 
Uongo uliopitiliza.
Mars ambayo ndiyo sayari iliyo karibu na dunia kupita zote wanasayansi hawajaweza kutia mguu iweje walete utabiri wa sayari iliyo mbali ya karibia zote.
To hell with this report.
hebu google uone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…