Binafsi nakataa kuhesabiwa, kuna sheria yoyote ninavunja?

Binafsi nakataa kuhesabiwa, kuna sheria yoyote ninavunja?

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
2,428
Reaction score
3,937
Naomba nitoe dukuduku langu na naamini katiba ya nchi hii inanipa uhuru huu kwa maana sivunji sheria yoyote.

Miaka ya hivi karibuni, serikali imeingilia sana uhuru wetu. Kuna wakati watu walikuwa wananyakuliwa kwa sababu tu wametoa maoni yao mitandaoni na wengi wao wakaenda kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi. Ni wazi kuwa serikali haiheshimu si tu uhuru wetu wa kutoa mawazo bali pia sheria za usiri tulizonazo. Uchaguzi Mkuu uliopita ulikumbwa na kiwango kikubwa sana cha uvunjifu wa haki za binadamu na sheria za uchaguzi, hilo lilipita na leo tuna viongozi bungeni na serikalini ambao hawana baraka za wananchi.

Hivi sasa kuna kampeni ya zoezi la kuhesabiwa linalokuja. Baadhi ya mambo uyakayoulizwa ni matumizi yako ya simu janga na laptop kama unavyo. Sijali hili zoezi linaenda kufanywa kwa malengo gani ila abuse ya power ambayo imeonyeshwa tena na tena haivumiliki.

Wametusumbua sana kupata vitambulisho vya NIDA wengine mpaka leo hawajapata, mitandao ya simu inapandisha gharama kila siku na kutuibia bando zetu, serikali haijali na hata kuyatetea haya makampuni. Zikaja tozo za miamala, yaani wizi kila sehemu na hakuna wa kututetea.

Huu ni mgomo wangu binafsi. Simshawishi mtu yoyote ajiunge nami katika hili ila binafsi sipo tayari kutoa taarifa zangu zozote zile.
 
Rejea Sheria ya Takwimu ya mwaka 2009
Takwimu ni muhimu kwa serikali na Washirika wake wa Maendeleo
Rais Kesha toa tamko yakhe
Kuhesabiwa ni lazima
#Jiandae_kuhesabiwa@sensa2022
 
Naomba nitoe dukuduku langu na naamini katiba ya nchi hii inanipa uhuru huu kwa maana sivunji sheria yoyote.

Miaka ya hivi karibuni, serikali imeingilia sana uhuru wetu. Kuna wakati watu walikuwa wananyakuliwa kwa sababu tu wametoa maoni yao mitandaoni na wengi wao wakaenda kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi. Ni wazi kuwa serikali haiheshimu si tu uhuru wetu wa kutoa mawazo bali pia sheria za usiri tulizonazo. Uchaguzi Mkuu uliopita ulikumbwa na kiwango kikubwa sana cha uvunjifu wa haki za binadamu na sheria za uchaguzi, hilo lilipita na leo tuna viongozi bungeni na serikalini ambao hawana baraka za wananchi.

Hivi sasa kuna kampeni ya zoezi la kuhesabiwa linalokuja. Baadhi ya mambo uyakayoulizwa ni matumizi yako ya simu janga na laptop kama unavyo. Sijali hili zoezi linaenda kufanywa kwa malengo gani ila abuse ya power ambayo imeonyeshwa tena na tena haivumiliki.

Wametusumbua sana kupata vitambulisho vya NIDA wengine mpaka leo hawajapata, mitandao ya simu inapandisha gharama kila siku na kutuibia bando zetu, serikali haijali na hata kuyatetea haya makampuni.

Huu ni mgomo wangu binafsi. Simshawishi mtu yoyote ajiunge nami katika hili ila binafsi sipo tayari kutoa taarifa zangu zozote zile.
Utakuwa uko sahihi na hauna hatia iwapo tu Serikali huwa inafanya zoezi la sensa kwa kujifurahisha tu na si vinginevyo
vinginevyo kama Serikali huwa inafanya zoezi hili kwa sababu zake na lengo lake maalum, then kugoma kuhesabiwa kwako kutakuwa na madhumuni ya kuikwamisha Serikali kutimiza lengo hilo na hivyo moja kwa moja itakuhesabia kuwa una hatia. Na kama hali iko hivi na wewe bado unaendelea na msimamo wako wa kutohesabiwa, ningekushauri utangulie jela badala ya kuja kusumbuka baadaye na mambo ya kuwekwa mahabusu na kuhudhuria kesi mahakamni. Tangulia jela mwenyewe
balimar
 
Naomba nitoe dukuduku langu na naamini katiba ya nchi hii inanipa uhuru huu kwa maana sivunji sheria yoyote.

Miaka ya hivi karibuni, serikali imeingilia sana uhuru wetu. Kuna wakati watu walikuwa wananyakuliwa kwa sababu tu wametoa maoni yao mitandaoni na wengi wao wakaenda kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi. Ni wazi kuwa serikali haiheshimu si tu uhuru wetu wa kutoa mawazo bali pia sheria za usiri tulizonazo. Uchaguzi Mkuu uliopita ulikumbwa na kiwango kikubwa sana cha uvunjifu wa haki za binadamu na sheria za uchaguzi, hilo lilipita na leo tuna viongozi bungeni na serikalini ambao hawana baraka za wananchi.

Hivi sasa kuna kampeni ya zoezi la kuhesabiwa linalokuja. Baadhi ya mambo uyakayoulizwa ni matumizi yako ya simu janga na laptop kama unavyo. Sijali hili zoezi linaenda kufanywa kwa malengo gani ila abuse ya power ambayo imeonyeshwa tena na tena haivumiliki.

Wametusumbua sana kupata vitambulisho vya NIDA wengine mpaka leo hawajapata, mitandao ya simu inapandisha gharama kila siku na kutuibia bando zetu, serikali haijali na hata kuyatetea haya makampuni. Zikaja tozo za miamala, yaani wizi kila sehemu na hakuna wa kututetea.

Huu ni mgomo wangu binafsi. Simshawishi mtu yoyote ajiunge nami katika hili ila binafsi sipo tayari kutoa taarifa zangu zozote zile.
Safi mkuu maana na hizi tozo tele halafu dodoso lefu kishenzi,
 
Naomba nitoe dukuduku langu na naamini katiba ya nchi hii inanipa uhuru huu kwa maana sivunji sheria yoyote.

Miaka ya hivi karibuni, serikali imeingilia sana uhuru wetu. Kuna wakati watu walikuwa wananyakuliwa kwa sababu tu wametoa maoni yao mitandaoni na wengi wao wakaenda kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi. Ni wazi kuwa serikali haiheshimu si tu uhuru wetu wa kutoa mawazo bali pia sheria za usiri tulizonazo. Uchaguzi Mkuu uliopita ulikumbwa na kiwango kikubwa sana cha uvunjifu wa haki za binadamu na sheria za uchaguzi, hilo lilipita na leo tuna viongozi bungeni na serikalini ambao hawana baraka za wananchi.

Hivi sasa kuna kampeni ya zoezi la kuhesabiwa linalokuja. Baadhi ya mambo uyakayoulizwa ni matumizi yako ya simu janga na laptop kama unavyo. Sijali hili zoezi linaenda kufanywa kwa malengo gani ila abuse ya power ambayo imeonyeshwa tena na tena haivumiliki.

Wametusumbua sana kupata vitambulisho vya NIDA wengine mpaka leo hawajapata, mitandao ya simu inapandisha gharama kila siku na kutuibia bando zetu, serikali haijali na hata kuyatetea haya makampuni. Zikaja tozo za miamala, yaani wizi kila sehemu na hakuna wa kututetea.

Huu ni mgomo wangu binafsi. Simshawishi mtu yoyote ajiunge nami katika hili ila binafsi sipo tayari kutoa taarifa zangu zozote zile.
Cha kufanya hiyo wiki ya sensa hama kwako kabisa ili wasikuhesabu, mpaka wakishafunga mahesabu yao utarudi, sidhani kama kuna sheria inayokubana
 
Cha kufanya hiyo wiki ya sensa hama kwako kabisa ili wasikuhesabu, mpaka wakishafunga mahesabu yao utarudi, sidhani kama kuna sheria inayokubana
Sidhani kama nahitaji kuhama au kuwakwepa kama sivunji sheria yoyote. Wakija nawaambia tu sitaki kutoa ushirikiano, waendelee tu na shughuli zao.
 
Una vunja sheria ya takwimu Sura 351 aya ya 6(b). Ya mwaka 2015 na marekebisho yake ya mwaka 2019.

Mwenye jukumu/Dhamana ya kuhesabu watu ni Rais wa JMT hivyo kugoma kutoa taarifa zako ni kuvunja Sheria ya takwimu na kumgomea Rais mtukufu wa JMT.

#SensaKwaMaendeleo
#JiandaeKuhesabiwa
 
[emoji1787][emoji1787] bro najua kabisa uliomba ukalan ukakosa bro toa taarifa zako kwa maendeleo yako na ya watu wengne
 
Sidhani kama nahitaji kuhama au kuwakwepa kama sivunji sheria yoyote. Wakija nawaambia tu sitaki kutoa ushirikiano, waendelee tu na shughuli zao.
Utahesabiwa tu hata kwa bakora,, kuna mzee alileta hizo mambo akawatukana me sio machungwa mpaka mnihesabu na akawafukuza.

Wazee wakaanza kumsaka yule mzee alijificha ficha ila mwisho wa siku alikamatwa akasota ndani ila alitokaga
 
Back
Top Bottom