Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna namna mbili za kuendesha sensa: 'de facto', na 'de jure'. Kwa mtindo wa 'de facto' swali linaloulizwa ni kwamba watu wangapi walilala hapa nyumbani siku ya sensa? Kama ulilala nyumba ndogo, huhesabiwi nyumbani kwako bali huko kwenye nyumba ndogo. Kwa mtindo wa 'de jure' swali ni kwamba wangapi wanaoishi hapa nyumbani? Hivyo hata wewe uliyelala nyumba ndogo utahesabiwa nyumbani kwako na si kwenye nyumba ndogo. Kumbuka kwamba udadisi unafanywa nchi nzima wakati huo huo. Hivyo usijidanganye kuondoka nyumbani ili usihesabiwe. Utahesabiwa tu uwepo au usiwepo.Cha kufanya hiyo wiki ya sensa hama kwako kabisa ili wasikuhesabu, mpaka wakishafunga mahesabu yao utarudi, sidhani kama kuna sheria inayokubana
Kuna sheria ya Sensa katika kila nchi. Ukikataa kuhesabiwa ni miaka minne jela au faini au vyote kwa pamoja. Ujue sensa haina hiari ni lazima.Sidhani kama nahitaji kuhama au kuwakwepa kama sivunji sheria yoyote. Wakija nawaambia tu sitaki kutoa ushirikiano, waendelee tu na shughuli zao.
Shukrani mkuu tumepata elimu.Kuna namna mbili za kuendesha sensa: 'de facto', na 'de jure'. Kwa mtindo wa 'de facto' swali linaloulizwa ni kwamba watu wangapi walilala hapa nyumbani siku ya sensa? Kama ulilala nyumba ndogo, huhesabiwi nyumbani kwako bali huko kwenye nyumba ndogo. Kwa mtindo wa 'de jure' swali ni kwamba wangapi wanaoishi hapa nyumbani? Hivyo hata wewe uliyelala nyumba ndogo utahesabiwa nyumbani kwako na si kwenye nyumba ndogo. Kumbuka kwamba udadisi unafanywa nchi nzima wakati huo huo. Hivyo usijidanganye kuondoka nyumbani ili usihesabiwe. Utahesabiwa tu uwepo au usiwepo.
Siku ya sensa kunafanyika utaratibu hata stesheni au airport watu wanahesabiwa. Kwa hiyo takwimu zitapatikana watu wangapi walikuwa safarini siku ya sensa; wangapi kwenye nyumba za kawaida za kuishi; wangapi walikuwa kwenye nyumba za jumuia: kwa mfano jela, hospitali au hosteli ya wanafunzi; n.k.
Mkuu,Naomba nitoe dukuduku langu na naamini katiba ya nchi hii inanipa uhuru huu kwa maana sivunji sheria yoyote.
Miaka ya hivi karibuni, serikali imeingilia sana uhuru wetu. Kuna wakati watu walikuwa wananyakuliwa kwa sababu tu wametoa maoni yao mitandaoni na wengi wao wakaenda kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi. Ni wazi kuwa serikali haiheshimu si tu uhuru wetu wa kutoa mawazo bali pia sheria za usiri tulizonazo. Uchaguzi Mkuu uliopita ulikumbwa na kiwango kikubwa sana cha uvunjifu wa haki za binadamu na sheria za uchaguzi, hilo lilipita na leo tuna viongozi bungeni na serikalini ambao hawana baraka za wananchi.
Hivi sasa kuna kampeni ya zoezi la kuhesabiwa linalokuja. Baadhi ya mambo uyakayoulizwa ni matumizi yako ya simu janga na laptop kama unavyo. Sijali hili zoezi linaenda kufanywa kwa malengo gani ila abuse ya power ambayo imeonyeshwa tena na tena haivumiliki.
Wametusumbua sana kupata vitambulisho vya NIDA wengine mpaka leo hawajapata, mitandao ya simu inapandisha gharama kila siku na kutuibia bando zetu, serikali haijali na hata kuyatetea haya makampuni. Zikaja tozo za miamala, yaani wizi kila sehemu na hakuna wa kututetea.
Huu ni mgomo wangu binafsi. Simshawishi mtu yoyote ajiunge nami katika hili ila binafsi sipo tayari kutoa taarifa zangu zozote zile.
Zoezi la Sensa ni kwa mujibu wa sheria za kimataifa na kwa Tanzania tunaongozwa na sheria ya takwimu Sura 351 inayoeleza kuwa kila mtu "anawajibika" kutoa taarifa sahihi katika zoezi hili na huyu atakayepewa /kusanya taarifa hizo "anawajibika" kutunza Siri za kila mtu.Naomba nitoe dukuduku langu na naamini katiba ya nchi hii inanipa uhuru huu kwa maana sivunji sheria yoyote.
Miaka ya hivi karibuni, serikali imeingilia sana uhuru wetu. Kuna wakati watu walikuwa wananyakuliwa kwa sababu tu wametoa maoni yao mitandaoni na wengi wao wakaenda kufunguliwa kesi za uhujumu uchumi. Ni wazi kuwa serikali haiheshimu si tu uhuru wetu wa kutoa mawazo bali pia sheria za usiri tulizonazo. Uchaguzi Mkuu uliopita ulikumbwa na kiwango kikubwa sana cha uvunjifu wa haki za binadamu na sheria za uchaguzi, hilo lilipita na leo tuna viongozi bungeni na serikalini ambao hawana baraka za wananchi.
Hivi sasa kuna kampeni ya zoezi la kuhesabiwa linalokuja. Baadhi ya mambo uyakayoulizwa ni matumizi yako ya simu janga na laptop kama unavyo. Sijali hili zoezi linaenda kufanywa kwa malengo gani ila abuse ya power ambayo imeonyeshwa tena na tena haivumiliki.
Wametusumbua sana kupata vitambulisho vya NIDA wengine mpaka leo hawajapata, mitandao ya simu inapandisha gharama kila siku na kutuibia bando zetu, serikali haijali na hata kuyatetea haya makampuni. Zikaja tozo za miamala, yaani wizi kila sehemu na hakuna wa kututetea.
Huu ni mgomo wangu binafsi. Simshawishi mtu yoyote ajiunge nami katika hili ila binafsi sipo tayari kutoa taarifa zangu zozote zile.
Eti unaweza kuishtaki NBS, hahaah, ni Tanzania hii hii? Nyie kama mmekubali kuwa wanyonge kwenye nchi yenu hilo nawaachia wenyewe, ila mimi msimamo wangu ni huo huo. Sidhani kama kutoshiriki mimi kutaathiri hizo takwimu kutokusanywa.Zoezi la Sensa ni kwa mujibu wa sheria za kimataifa na kwa Tanzania tunaongozwa na sheria ya takwimu Sura 351 inayoeleza kuwa kila mtu "anawajibika" kutoa taarifa sahihi katika zoezi hili na huyu atakayepewa /kusanya taarifa hizo "anawajibika" kutunza Siri za kila mtu.
Taarifa zote zitakusanywa kwa ajili ya matumizi ya kitakwimu na kimaendeleo na si vinginevyo
Hivyo kwa sheria hiyo ya takwimu, kila raia anawajibika kuhesabiwa/kutoa taarifa zake na endapo taarifa hizo itabainika zimetumika kinyume na malengo tarajiwa mwananchi anayo mamlaka ya kuishitaka NBS kwa kusababisha taarifa zake kuvuja.
Asante kwa ElimuKuna namna mbili za kuendesha sensa: 'de facto', na 'de jure'. Kwa mtindo wa 'de facto' swali linaloulizwa ni kwamba watu wangapi walilala hapa nyumbani siku ya sensa? Kama ulilala nyumba ndogo, huhesabiwi nyumbani kwako bali huko kwenye nyumba ndogo. Kwa mtindo wa 'de jure' swali ni kwamba wangapi wanaoishi hapa nyumbani? Hivyo hata wewe uliyelala nyumba ndogo utahesabiwa nyumbani kwako na si kwenye nyumba ndogo. Kumbuka kwamba udadisi unafanywa nchi nzima wakati huo huo. Hivyo usijidanganye kuondoka nyumbani ili usihesabiwe. Utahesabiwa tu uwepo au usiwepo.
Siku ya sensa kunafanyika utaratibu hata stesheni au airport watu wanahesabiwa. Kwa hiyo takwimu zitapatikana watu wangapi walikuwa safarini siku ya sensa; wangapi kwenye nyumba za kawaida za kuishi; wangapi walikuwa kwenye nyumba za jumuia: kwa mfano jela, hospitali au hosteli ya wanafunzi; n.k.
Sina uhakika mtindo utakaotumika lakini nadhani ni 'de facto'.Shukrani mkuu tumepata elimu.
Nataka kuuliza, watatumia mtindo wa de facto ama de jure?
Ratiba inaniruhusu kurudi kwenye kaya kuwahesabu wale wote wasiokuwepoMm pia sitashiriki nitatoka asubuh wakishapita kwangu nitarudi nyumbani
Huko nako lazima tukuhesabu labda uwe kaburini ndo hutahesabiwaWatanikuta gest na kamchepuko kangu
Jifiche tu sio lazima kihesabiwaRejea Sheria ya Takwimu ya mwaka 2009
Takwimu ni muhimu kwa serikali na Washirika wake wa Maendeleo
Rais Kesha toa tamko yakhe
Kuhesabiwa ni lazima
#Jiandae_kuhesabiwa@sensa2022