Binafsi nakataa kuhesabiwa, kuna sheria yoyote ninavunja?

Tafuta pesa nunua mazaga ya kutosha jaza kwenye friji/Friza.
Tafuta pisi ya kueleweka unajifungia ndani huku ukiichakata Mbususu kimya kimya.
Wakija watu wa sensa wakigonga mlango unakauka kimya huku ukiendelea kupiga ndani nje ndani nje..)))
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisa

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Jiandae kwa kosa la uhujumu uchumi kuvunja sheria za takwimu waziwazi harafu sabubu zako za kugomea sensa haziendani na uhalisia unataka tu kulipa kisasi ambacho utaumia ww at the end
 
Kwani wakihesabuana huko kwenye mikutano na vikao vyao vya kijani haitoshi.?kusema kweli mimi sitotoa taarifa yoyote.

#MaendeleoHayanaChama
 
SENSA NI [emoji117][emoji90][emoji90]
 
Kubwa hapa wala usihangaike nao,unachofanya unajiendea zako na taarifa unamwachia mtu ambaye hawez kujieleza vizuri.au unadanyanya kila kitu kwani wanazorejea ili kujua kama wanadanganywa?
Ila kwakuwa tumo ktk himaya zao acha tucheze ngoma wapigayo!
 
Namm pia sipo tayal kuhesabiwa hata kwa bunduki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…