Binafsi namshukuru Mungu nimeamka nikiwa salama salimini

Binafsi namshukuru Mungu nimeamka nikiwa salama salimini

Antennah

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2015
Posts
6,754
Reaction score
8,750
Goood Morning,

Habari za asubuhi wapendwa wana JF.
Kabla sijajinyanyua kutoka hapa kitandani asubuhi hii ya leo, nimepokea taarifa mbili usiku wa kuamkia leo, taarifa za vifo watu wawili ambapo mmoja ni jamaa tu jirani yangu katika mtaa huu tunao ishi. Na jana nimeonana nae maeneo ya car wash akipiga piga maji pikipiki yake majira ya saa kumi jioni.

Msiba mwingine ni wa binti mdogo tu ambae ni ndugu yangu wa damu kabisa. amefariki katika hospital flani baada ya kuulazwa kwa almost a week.

Imenipa taswira ya kwamba hata humu JF, usidhani sababu jana au juzi umeona post au comment ya mtu basi ukajihakikishia kwamba asubuhi ya leo mtu huyo yu mzima!!!! au yu salama!!!

Pengine kaamka leo akiwa anaumwa sana, au umecheka nae jana humu ndani, usiku wa leo kalazwa hoi taabani hospitali, au kakutwa na ajari au hata mauti yameshamkuta.

Binafsi namshukuru Mungu nimeamka nikiwa salama salimini.
Na wewe tumia uzi huu kutujuza hali yako asubuhi ya leo
Good Morning To every body

Antennah
 
Goood Morning,

Habari za asubuhi wapendwa wana JF.
Kabla sijajinyanyua kutoka hapa kitandani asubuhi hii ya leo, nimepokea taarifa mbili usiku wa kuamkia leo, taarifa za vifo watu wawili ambapo mmoja ni jamaa tu jirani yangu katika mtaa huu tunao ishi. Na jana nimeonana nae maeneo ya car wash akipiga piga maji pikipiki yake majira ya saa kumi jioni.

Msiba mwingine ni wa binti mdogo tu ambae ni ndugu yangu wa damu kabisa. amefariki katika hospital flani baada ya kuulazwa kwa almost a week.

Imenipa taswira ya kwamba hata humu JF, usidhani sababu jana au juzi umeona post au comment ya mtu basi ukajihakikishia kwamba asubuhi ya leo mtu huyo yu mzima!!!! au yu salama!!!

Pengine kaamka leo akiwa anaumwa sana, au umecheka nae jana humu ndani, usiku wa leo kalazwa hoi taabani hospitali, au kakutwa na ajari au hata mauti yameshamkuta.

Binafsi namshukuru Mungu nimeamka nikiwa salama salimini.
Na wewe tumia uzi huu kutujuza hali yako asubuhi ya leo
Good Morning To every body

Antennah
Tumshukuru Mungu kwa kila Jambo.

Zaidi sana hatuna budi kumshukuru sana kwa zawadi ya uhai na afya alizotukirimia mimi na wewe hata tumeamka salama asubuh hii.....

R.I.P waliotangulia mbele ya haki...

Nakuombea,
Mwenyezi Mungu aambatane na kuandamana nawe katika kazi, majukumu na mihangaiko yako yote ya leo ya kujitafutia riziki.
Aimen 🐒
 
Tumshukuru Mungu kwa kila Jambo.

Zaidi sana hatuna budi kumshukuru sana kwa zawadi ya uhai na afya alizotukirimia mimi na wewe hata tumeamka salama asubuh hii.....

Nakuombea,
Mwenyezi Mungu aambatane na kuandamana nawe katika kazi, majukumu na mihangaiko yako yote ya leo ya kujitafutia riziki.
Aimen 🐒
Amen, ni jambo jema sana kuona umeamka salama mkuu. Na we pia mungu akasimame na wewe katika majukumu na harakati zako zote za siku mkuu.
 
Goood Morning,

Habari za asubuhi wapendwa wana JF.
Kabla sijajinyanyua kutoka hapa kitandani asubuhi hii ya leo, nimepokea taarifa mbili usiku wa kuamkia leo, taarifa za vifo watu wawili ambapo mmoja ni jamaa tu jirani yangu katika mtaa huu tunao ishi. Na jana nimeonana nae maeneo ya car wash akipiga piga maji pikipiki yake majira ya saa kumi jioni.

Msiba mwingine ni wa binti mdogo tu ambae ni ndugu yangu wa damu kabisa. amefariki katika hospital flani baada ya kuulazwa kwa almost a week.

Imenipa taswira ya kwamba hata humu JF, usidhani sababu jana au juzi umeona post au comment ya mtu basi ukajihakikishia kwamba asubuhi ya leo mtu huyo yu mzima!!!! au yu salama!!!

Pengine kaamka leo akiwa anaumwa sana, au umecheka nae jana humu ndani, usiku wa leo kalazwa hoi taabani hospitali, au kakutwa na ajari au hata mauti yameshamkuta.

Binafsi namshukuru Mungu nimeamka nikiwa salama salimini.
Na wewe tumia uzi huu kutujuza hali yako asubuhi ya leo
Good Morning To every body

Antennah
Pole sana Mkuu, Mungu awape nguvu ya kuukabili wakati huu mgumu.

Ova
 
Sure
 

Attachments

  • FB_IMG_1713134495624.jpg
    FB_IMG_1713134495624.jpg
    22.6 KB · Views: 2
Goood Morning,

Habari za asubuhi wapendwa wana JF.
Kabla sijajinyanyua kutoka hapa kitandani asubuhi hii ya leo, nimepokea taarifa mbili usiku wa kuamkia leo, taarifa za vifo watu wawili ambapo mmoja ni jamaa tu jirani yangu katika mtaa huu tunao ishi. Na jana nimeonana nae maeneo ya car wash akipiga piga maji pikipiki yake majira ya saa kumi jioni.

Msiba mwingine ni wa binti mdogo tu ambae ni ndugu yangu wa damu kabisa. amefariki katika hospital flani baada ya kuulazwa kwa almost a week.

Imenipa taswira ya kwamba hata humu JF, usidhani sababu jana au juzi umeona post au comment ya mtu basi ukajihakikishia kwamba asubuhi ya leo mtu huyo yu mzima!!!! au yu salama!!!

Pengine kaamka leo akiwa anaumwa sana, au umecheka nae jana humu ndani, usiku wa leo kalazwa hoi taabani hospitali, au kakutwa na ajari au hata mauti yameshamkuta.

Binafsi namshukuru Mungu nimeamka nikiwa salama salimini.
Na wewe tumia uzi huu kutujuza hali yako asubuhi ya leo
Good Morning To every body

Antennah
Pole sana kwa kuondokewa na ndugu pamoja na jamaa yako, Mungu akawe mfariji wako mkuu
 
Sasa,mtulie na mtafute majibu ya hoja za Lissu.Msijipotezepoteze.😎
Una akili za kijinga sana wewe mjane,hivi unafikiri kila mtu hua yupo kwenye hayo mabishano yenu ya kisiasa?
Mtu analeta uzi kua amefiwa na ndugu yake na jirani yake kisha unamjibu upumbavu kama huo? hivi hua una akili timamu kweli wewe?
 
Back
Top Bottom