Binafsi naona Yanga Ina mashabiki wengi wanawake kuliko Simba

Binafsi naona Yanga Ina mashabiki wengi wanawake kuliko Simba

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Kwa utafitu mdogo niliofanya kupitia Simba Day na Yanga Day nimegundua timu ya Yanga Ina mashabiki wengi wengi wanawake Tena warembo hasa ukilinganisha na Simba.

Hata waliongalia kwenye TV watakuwa mashuhuda siku ya Yanga day mahudhuliaji wanawake walijitokeza kwa wingi sana ukilinganisha na Simba tena wakiwa wamevaa jezi mpya.

20240806_181502.jpg
20240806_181450.jpg
20240806_181422.jpg
20240806_181406.jpg
20240806_181335.jpg
 
Kwa utafitu mdogo niliofanya kupitia Simba Day na Yanga Day nimegundua timu ya Yanga Ina mashabiki wengi wengi wanawake Tena warembo hasa ukilinganisha na Simba...
Ndo mana tabia zao ni za kike kike....Hawaamiki hao wanavizia upande unafanya vzr wanaliunga. Wanafuatta uoepo
 
ukikua utaelewa palipo na wanawake wengi bas jua pia wanaume wengi zaid wapo maana hao wanawake ni kama samaki ngani ya maji so pasipo na maji hakuna samaki
 
Kwahiyo unataka kusema Yanga ni timu ya mishangazi?
 
Kwa utafitu mdogo niliofanya kupitia Simba Day na Yanga Day nimegundua timu ya Yanga Ina mashabiki wengi wengi wanawake Tena warembo hasa ukilinganisha na Simba...
Sasa mkuu si ungeweka na maguberi ya Simba tuyaone!
 
Unachosema ni kweli,ila ni kwasababu wanawake sio washabiki wa mpira na mara nyingi ufuata mafanikio,cku Simba ikianza kufanya vzr mfululizo utawaona hawahawa waliovaa nguo za Yanga wako Simba.
 
Mwanamke hapendi tabu na mateso,
Kwa sasa yanga inaonekana inaibeba vikombe na inaimbwa sana kwa ubora ,,
ndy maana wanawake wengi wamekimbilia huko,

Ni kama kipindi ukiwa huna pesa hata mke wako anaweza kukukimbia,,
basi hata ushabiki wa mwanamke kwenye mpira ni hivyo hivyo wanafata penye faraja na furaha.

Ngoja myama aanze kukusanya makombe utaona watahama yanga wote na kuja unyamani.

Mwanamke hapendi tabu na mateso.
 
H

Hii picha ni kali? Basi hili neo limepoteza maana
Check chuma hichi
Najua kabisa hapo ulipo una haha. Anyways Picha za wanasimba ni za kishua mzee. Ukipata picha kali kama hii nimekuambia nitumi. Wewe unaweka za kawaida sana. Picha kama hizi unazipata Ulaya na Simba pekee

1723023808728.png


Angalia kuanzia Miguu, Mikono, Masikioni hadi kwenye Nywele
 
Ongeza kuwa wanawake warembo wote wapo Yanga so kila mwanamke mrembo anahisi kushabikia Yanga ni sahihi
 
Yess ni kweli hata huku mitaani tunaona mabeki 3 karibia wote wana jezi za Yanga....
Fanya risechi utanambia
 
Back
Top Bottom