Binafsi nimeijua CHADEMA kupitia Zitto Kabwe, Halima Mdee na Tundu Lissu

Binafsi nimeijua CHADEMA kupitia Zitto Kabwe, Halima Mdee na Tundu Lissu

MAKANGEMBUZI

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2020
Posts
2,670
Reaction score
7,655
Nakumbuka nikiwa mdogo umri wa miaka 14 mwaka 2008 Machachari yake zitto ya kipindi kile,halima mdee (sauti ya zege) dokta slaa na Tundu lissu hao ndio walinifanya niijue CHADEMA.

So CHADEMA imejengwa na watu wengi maana hata hao wote juu walionifanya nikaijua CHADEMA lissu pekee ndio kabaki CHADEMA mpaka sasa.

So MBOWE asilete mbwembwe zake za kusema chama kakitoa mbali leo hii SUGU wa juzi tu kwenye siasa eti ana influence kubwa CHADEMA na mwenzie BONI YAI (vituko hivi).

Kikubwa ninachokumbuka kwakuwa MBOWE alikuwa mgombea uraisi 2005 ambao huo mwaka matokeo ya uchaguzi nafasi ya pili alishika Prof lipumba wa CUF

Nilijua vipi siasa kwa umri mdogo naweza sema ni mzee wangu ndio alichangia kwa nafasi kubwa sana maana hajawahi kuwaelewa chama cha vibaka CCM,ilikuwa hivi mzee wangu alikuwa kila siku anarudi home na magezeti ya mwananchi au nipashe na gazeti la Tanzania daima(nilikuja kujua badae kuwa ni gazeti la MBOWE) kuna jamaa anaitwa saidi kubenea alikuwa anaandika sana nondo, pamoja na kutazama matangazo ya Bunge na father enzi zile yalikuwa yapo live pia the time niko primary nilikuwa na ubongo mzuri sana wa kukariri nakumbuka mzee alinunua kalenda yenye baraza la mawaziri la Rias mstaafu KIKWETE 2005-2010 aisee niliwakariri wote mawaziri na manaibu waziri wa kipindi kile,ulikuwa ukitaja tu wizara nakutajia waziri wake nani.

Kwa kuongezea zamani nilikuwa na naaminia sana upinzani mwaka jana ndio nimeelewa kumbe wapinzani ni njaa tu nao wanatetea matumbo yao mifano yao ni MMM wa X(twitter) na Boni Yai kuwajua inabidi uwe na akili nyingi sana.

So vijana wenzangu nawasihi tu-focus na kutafuta maisha na kupambana na umaskini na kufosi uingie kwanye mifumo ya serikali familia iende chooni uishi ufe ukazikwe,achana na siasa za Bongo na upinzani watakutoa sadaka bure ila wao na familia zao wanakula shushu.
 
Nakumbuka nikiwa mdogo umri wa miaka 14 mwaka 2008 Machachari yake zitto ya kipindi kile,halima mdee (sauti ya zege) dokta slaa na Tundu lissu hao ndio walinifanya niijue CHADEMA.

So CHADEMA imejengwa na watu wengi maana hata hao wote juu walionifanya nikaijua CHADEMA lissu pekee ndio kabaki CHADEMA mpaka sasa.

So MBOWE asilete mbwembwe zake za kusema chama kakitoa mbali leo hii SUGU wa juzi tu kwenye siasa eti ana influence kubwa CHADEMA na mwenzie BONI YAI (vituko hivi).

Kikubwa ninachokumbuka kwakuwa MBOWE alikuwa mgombea uraisi 2005 ambao huo mwaka matokeo ya uchaguzi nafasi ya pili alishika Prof lipumba wa CUF

Nilijua vipi siasa kwa umri mdogo naweza sema ni mzee wangu ndio alichangia kwa nafasi kubwa sana maana hajawahi kuwaelewa chama cha vibaka CCM,ilikuwa hivi mzee wangu alikuwa kila siku anarudi home na magezeti ya mwananchi au nipashe na gazeti la Tanzania daima(nilikuja kujua badae kuwa ni gazeti la MBOWE) kuna jamaa anaitwa saidi kubenea alikuwa anaandika sana nondo, pamoja na kutazama matangazo ya Bunge na father enzi zile yalikuwa yapo live pia the time niko primary nilikuwa na ubongo mzuri sana wa kukariri nakumbuka mzee alinunua kalenda yenye baraza la mawaziri la Rias mstaafu KIKWETE 2005-2010 aisee niliwakariri wote mawaziri na manaibu waziri wa kipindi kile,ulikuwa ukitaja tu wizara nakutajia waziri wake nani.

Kwa kuongezea zamani nilikuwa na naaminia sana upinzani mwaka jana ndio nimeelewa kumbe wapinzani ni njaa tu nao wanatetea matumbo yao mifano yao ni MMM wa X(twitter) na Boni Yai kuwajua inabidi uwe na akili nyingi sana.

So vijana wenzangu nawasihi tu-focus na kutafuta maisha na kupambana na umaskini na kufosi uingie kwanye mifumo ya serikali familia iende chooni uishi ufe ukazikwe,achana na siasa za Bongo na upinzani watakutoa sadaka bure ila wao na familia zao wanakula shushu.
Hicho siyo chama ni NGO ya mbowe ya kukusanyia hela.
 
Hicho siyo chama ni NGO ya mbowe ya kukusanyia hela.
Mwanzo nilijua ni hoja mfu za CCM sahivi ndio nimeelewa mbowe ana vijana wake(machawa) wapo kwenye payrroll yake anawalipa kabisa.

Unakuta mtu muda wote yupo mtandani anapiga blaa blaa za kukosoa kumbe yupo kazini analipwa.
 
Waache watoeane damu ila siasa kwangu NO vijana tunatumika sana kama toilet paper sio CCM sio huko upinzani.
hutakiwi kukata tamaa, usisahau wanasiasa ndio wanaopanga maisha yaendeje, Hasa nchi za kiafrika siasa Iko kila mahala, hata kwenye uchumi wako
 
hutakiwi kukata tamaa, usisahau wanasiasa ndio wanaopanga maisha yaendeje, Hasa nchi za kiafrika siasa Iko kila mahala, hata kwenye uchumi wako
Aahh acha wapange TANZANIA ujinga bado mwingi huwezi kujitoa muhanga kwa watu wasiojitambua na upinzani ambao nyuma ya pazia wanagonga cheers(lamba asali) na raisi.
 
Nimeijua CHADEMA kupitia Dr Slaa only, mtu mkweli na mwaminifu hana kona kona
 
Ni kweli kabisa, doctor slaa, zito, mdee, walifanya chama kijulikane sana kupitia hoja zao bungeni
 
Kuna wapumbavu wachache wanafurahia anguko la Upinzani, wengi wa hawa watu wako CCM, Upinzani ukifa.. tegemea Upinzani utakuja ndani ya CCM.. Mtapingana nyinyi kwa nyinyi..Mtatekana na kuuana nyinyi kwa nyinyi.
Upinzani uheshimiwe, despite the fact kwamba viongozi wengi wa upinzani hujinufaisha ila Upinzani kwa kiasi kikubwa huzungumza shida za Wananchi.

Ndio Maana tunamkataa Mbowe, ni kweli alikuwa mzuri kwa wakati wake.. ili huu wakati sio wake tena. Huu wakati unamfaa Lissu.
Upinzani hauhitaji busara, upinzani unahitaji mtu radical, mtu atakayeikabili serikali ya chama Tawala kwa maneno Magumu ya ukweli. Upinzani Hautaki mtu anayetumia tafsida na kufanya sugar coating ya Maneno.

Lissu ni Mtu huyo!
 
Lakini kwa zaidi ya miaka kumi sasa umekuwa ukimtukana Zitto
 
Nakumbuka nikiwa mdogo umri wa miaka 14 mwaka 2008 Machachari yake zitto ya kipindi kile,halima mdee (sauti ya zege) dokta slaa na Tundu lissu hao ndio walinifanya niijue CHADEMA.

So CHADEMA imejengwa na watu wengi maana hata hao wote juu walionifanya nikaijua CHADEMA lissu pekee ndio kabaki CHADEMA mpaka sasa.

So MBOWE asilete mbwembwe zake za kusema chama kakitoa mbali leo hii SUGU wa juzi tu kwenye siasa eti ana influence kubwa CHADEMA na mwenzie BONI YAI (vituko hivi).

Kikubwa ninachokumbuka kwakuwa MBOWE alikuwa mgombea uraisi 2005 ambao huo mwaka matokeo ya uchaguzi nafasi ya pili alishika Prof lipumba wa CUF

Nilijua vipi siasa kwa umri mdogo naweza sema ni mzee wangu ndio alichangia kwa nafasi kubwa sana maana hajawahi kuwaelewa chama cha vibaka CCM,ilikuwa hivi mzee wangu alikuwa kila siku anarudi home na magezeti ya mwananchi au nipashe na gazeti la Tanzania daima(nilikuja kujua badae kuwa ni gazeti la MBOWE) kuna jamaa anaitwa saidi kubenea alikuwa anaandika sana nondo, pamoja na kutazama matangazo ya Bunge na father enzi zile yalikuwa yapo live pia the time niko primary nilikuwa na ubongo mzuri sana wa kukariri nakumbuka mzee alinunua kalenda yenye baraza la mawaziri la Rias mstaafu KIKWETE 2005-2010 aisee niliwakariri wote mawaziri na manaibu waziri wa kipindi kile,ulikuwa ukitaja tu wizara nakutajia waziri wake nani.

Kwa kuongezea zamani nilikuwa na naaminia sana upinzani mwaka jana ndio nimeelewa kumbe wapinzani ni njaa tu nao wanatetea matumbo yao mifano yao ni MMM wa X(twitter) na Boni Yai kuwajua inabidi uwe na akili nyingi sana.

So vijana wenzangu nawasihi tu-focus na kutafuta maisha na kupambana na umaskini na kufosi uingie kwanye mifumo ya serikali familia iende chooni uishi ufe ukazikwe,achana na siasa za Bongo na upinzani watakutoa sadaka bure ila wao na familia zao wanakula shushu.
Umeandika utoto na hufai kuigwa.
 
Back
Top Bottom