Binafsi ninaamini pamoja na Mapungufu Hayati Magufuli bado atabaki rais bora kiutendaji na kiuzalendo

Binafsi ninaamini pamoja na Mapungufu Hayati Magufuli bado atabaki rais bora kiutendaji na kiuzalendo

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Hayati Magufuli alituchukia sana wapinzani ,kwake yeye aliamini wapinzani ndio wanarudisha nyuma Maendeleo na ni vibaraka wa Mabeberu.

Kwake yeye lolote litakalo mkuta mpinzani awe ana husika nalo au hausiki nalo ni halali yake na hawezi shughulika nalo .

Hilo ndilo lilikuwa tatizo kubwa lakini kiuhalisia aliipenda Nchi na Kaifanyia mengi .

Alijisemea mwenyewe akumbukwe kwa mema .

 
Kama mwamba Tundu lissu anamkubali Jpm hafu utasikia wazalendo wa pale sinza hawamkubali ni ajabu
 
Pamoja na mapungufu yake lakini Magu alifanya maendeleo makubwa na yanaonekana..!! “Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni”
 
Hayati Magufuli alituchukia sana wapinzani ,kwake yeye aliamini wapinzani ndio wanarudisha nyuma Maendeleo na ni vibaraka wa Mabeberu.

Kwake yeye lolote litakalo mkuta mpinzani awe ana husika nalo au hausiki nalo ni halali yake na hawezi shughulika nalo .

Hilo ndilo lilikuwa tatizo kubwa lakini kiuhalisia aliipenda Nchi na Kaifanyia mengi .

Alijisemea mwenyewe akumbukwe kwa mema .
View attachment 3192893
View attachment 3192895
Safi. Hizo wanazotengeneza ni propaganda za kijinga tu kumchafua. Kinachosikitisha zaidi ni serikali kukaa kimya bila hata ya kufungia kitabu kile. Kama magufuli angelijua mapema kwamba anamsaidizi wa namna hii angemwondoa haraka sana
 
Safi. Hizo wanazotengeneza ni propaganda za kijinga tu kumchafua. Kinachosikitisha zaidi ni serikali kukaa kimya bila hata ya kufungia kitabu kile. Kama magufuli angelijua mapema kwamba anamsaidizi wa namna hii angemwondoa haraka sana
Safi sana mlinda legacy
 
Safi. Hizo wanazotengeneza ni propaganda za kijinga tu kumchafua. Kinachosikitisha zaidi ni serikali kukaa kimya bila hata ya kufungia kitabu kile. Kama magufuli angelijua mapema kwamba anamsaidizi wa namna hii angemwondoa haraka sana
Pale ndio alikosea sana. Angekomaa na Dr Hussein Mwinyi kumchagua kama makamu wake nchi ingeendela kunyooka na taarifa kutoka ikulu zisingevuja kila siku kama ilivyokuwa.
 
Hayati Magufuli alituchukia sana wapinzani ,kwake yeye aliamini wapinzani ndio wanarudisha nyuma Maendeleo na ni vibaraka wa Mabeberu.

Kwake yeye lolote litakalo mkuta mpinzani awe ana husika nalo au hausiki nalo ni halali yake na hawezi shughulika nalo .

Hilo ndilo lilikuwa tatizo kubwa lakini kiuhalisia aliipenda Nchi na Kaifanyia mengi .

Alijisemea mwenyewe akumbukwe kwa mema .
View attachment 3192893
View attachment 3192895
Achievements are not measured in words shehe. Maguli alikuwa anajipigua promo tu lamini alikuwa galasa kwa vitendo. Alichojua sana ni kuua tu na kumaliza upinzani kibabe
 
Back
Top Bottom