Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Nyamwi255Well said
Tutakukumbuka hayati John pombe magufu
Nyamwi255
Mambo yanakwendaje??Jana na leo
Shega manMambo yanakwendaje??
HakikaAlkua mtu haswa
Safi. Hizo wanazotengeneza ni propaganda za kijinga tu kumchafua. Kinachosikitisha zaidi ni serikali kukaa kimya bila hata ya kufungia kitabu kile. Kama magufuli angelijua mapema kwamba anamsaidizi wa namna hii angemwondoa haraka sanaHayati Magufuli alituchukia sana wapinzani ,kwake yeye aliamini wapinzani ndio wanarudisha nyuma Maendeleo na ni vibaraka wa Mabeberu.View attachment 3192893
Kwake yeye lolote litakalo mkuta mpinzani awe ana husika nalo au hausiki nalo ni halali yake na hawezi shughulika nalo .
Hilo ndilo lilikuwa tatizo kubwa lakini kiuhalisia aliipenda Nchi na Kaifanyia mengi .
Alijisemea mwenyewe akumbukwe kwa mema .
View attachment 3192895
Safi sana mlinda legacySafi. Hizo wanazotengeneza ni propaganda za kijinga tu kumchafua. Kinachosikitisha zaidi ni serikali kukaa kimya bila hata ya kufungia kitabu kile. Kama magufuli angelijua mapema kwamba anamsaidizi wa namna hii angemwondoa haraka sana
Pale ndio alikosea sana. Angekomaa na Dr Hussein Mwinyi kumchagua kama makamu wake nchi ingeendela kunyooka na taarifa kutoka ikulu zisingevuja kila siku kama ilivyokuwa.Safi. Hizo wanazotengeneza ni propaganda za kijinga tu kumchafua. Kinachosikitisha zaidi ni serikali kukaa kimya bila hata ya kufungia kitabu kile. Kama magufuli angelijua mapema kwamba anamsaidizi wa namna hii angemwondoa haraka sana
Ingekuwa poa sanaPale ndio alikosea sana. Angekomaa na Dr Hussein Mwinyi kumchagua kama makamu wake nchi ingeendela kunyooka na taarifa kutoka ikulu zisingevuja kila siku kama ilivyokuwa.
Achievements are not measured in words shehe. Maguli alikuwa anajipigua promo tu lamini alikuwa galasa kwa vitendo. Alichojua sana ni kuua tu na kumaliza upinzani kibabeHayati Magufuli alituchukia sana wapinzani ,kwake yeye aliamini wapinzani ndio wanarudisha nyuma Maendeleo na ni vibaraka wa Mabeberu.View attachment 3192893
Kwake yeye lolote litakalo mkuta mpinzani awe ana husika nalo au hausiki nalo ni halali yake na hawezi shughulika nalo .
Hilo ndilo lilikuwa tatizo kubwa lakini kiuhalisia aliipenda Nchi na Kaifanyia mengi .
Alijisemea mwenyewe akumbukwe kwa mema .
View attachment 3192895