ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Kwa utafiti wangu mdogo nimegundua watu wengi hasa wanawake huleta dada wa kazi ndani ili kujionesha ati wana pesa kwa kuwa wana wasaidizi hawa.
Hivi hawa wadada wa kazi wanafanyaga jambo Gani la maana au gumu ambalo mwanamke asilifanyaje.
Yaani kulea, kulisha na kufulia mtoto hadi uajiri mdada wa kazi.
Wanawake kiasili ni wazazi na walezi
Kama hawezi kulea basi hafai kuwa mke wa mtu.
Kwangu sitaki dada wa kazi hata iweje, mwanamke aache kila kitu alee mtoto.
Hawa dada wa kazi ni makatili sana, wanalisha watoto vinyesi, hawawapi chakula n.k
Wanawake utawakuta hata hawako busy, wapo tu wanaajiri hawa mabinti kama fashion.
Hivi hawa wadada wa kazi wanafanyaga jambo Gani la maana au gumu ambalo mwanamke asilifanyaje.
Yaani kulea, kulisha na kufulia mtoto hadi uajiri mdada wa kazi.
Wanawake kiasili ni wazazi na walezi
Kama hawezi kulea basi hafai kuwa mke wa mtu.
Kwangu sitaki dada wa kazi hata iweje, mwanamke aache kila kitu alee mtoto.
Hawa dada wa kazi ni makatili sana, wanalisha watoto vinyesi, hawawapi chakula n.k
Wanawake utawakuta hata hawako busy, wapo tu wanaajiri hawa mabinti kama fashion.