Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Kumbe walipwe shilingi ngapi mkuu?Unachukua mtoto wa watu kijijini unakuja kumlipa 50k au 100k, huu ni unyanyasaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe walipwe shilingi ngapi mkuu?Unachukua mtoto wa watu kijijini unakuja kumlipa 50k au 100k, huu ni unyanyasaji.
NdioKumsomesha tena???
Duuh huu uzungu.Mke ni kwa ajili ya kukupa starehe na kukulelea watoto........
Mke siyo hg.....kudeki , kufua ,kuosha vyombo ni kazi za dada....akifanya mke ni kakuhurumia tu kutokana na umaskini wako.
JF ina burudani sana.Angalau 300k kwa mwezi, NSSF,medical insurance, bonus na off-days.
Mkuu ukiwa na uchumi mzuri hilo linawezekana lakini kama na wewe ni wale wa tusaidiane majukumu basi mdada wa kazi kwenu itawalazimu tuKwa utafiti wangu mdogo nimegundua watu wengi hasa wanawake huleta dada wa kazi ndani ili kujionesha ati wana pesa Kwa kuwa wana wasaidizi hawa.
Hivi hawa wadada wa kazi wanafanyaga jambo Gani la maana au gumu ambalo mwanamke asilifanyaje.
Yaani kulea, kulisha na kufulia mtoto hadi uajiri mdada wa kazi.
Wanawake kiasili ni wazazi na walezi
Kama hawezi kulea basi hafai kuwa mke wa mtu.
Kwangu sitaki dada wa kazi hata iweje, mwanamke aache kila kitu alee mtoto.
Hawa dada wa kazi ni makatili sana, wanalisha watoto vinyesi, hawawapi chakula n.k
Wanawake utawakuta hata hawako busy , wapo tu wanaajiri hawa mabinti kama fashion
Umekuwaje siku hizi🤣🤣🤣🤣Dah! Uko wapi.....
Hapo ndo utakosea kabisa mkuu, hawa wadada wa kazi kinachowatesa ni kama vile wana roho inayo waongoza kufanya ujinga.Chukua mdada then fanya kumlea kama ndugu yako sio unamtesa kama mbwa . Mchukue kama msaidizi wa nyumbani tena unamchukulia kama mwanao au ndugu yako ,ikiwezekana hata kumsomesha fresh .
Sharing yako ingeeleweka kama ungewasemea wanaokuwa na beki3 bila sababu ya msingi na uhitaji kuliko kuongea generally. Kwa familia ya kisasa ni nadra sana kutohitaji beki 3. Hata kama mkeo ni mtu wa nyumbani,kuweka nyumba katika hali ya kuvutia beki 3 anahitajika, ndio maana wakaitwa wasaidizi. Sasa mkeo atafanya kila tone la kazi, si atakuwa hoi sana hata kukupa mzigo usiku itakuwajeTuna share mkuu mwasibu
Usiwe serious sana, mtani wangu
Hujaoa hg mkuu... hebu tafta pesa ufurahie maishaDuuh huu uzungu.
Yani Leo mwanamke kufua na kupika ni kazi za mateso
Evelyn Salt unataka uende wapiDah! Uko wapi
Tumeishi na mdada wa kazi mpaka kaolewa ila tuna undugu nae kwa mbali maana katoka sehemu moja na baba yetu, alisomeshwa computer ngazi ya cheti, alikuja kuolewa baadae kidogo muda huo baba alikuwa kashapata wajukuu.Hapo ndo utakosea kabisa mkuu, hawa wadada wa kazi kinacho watesa ni kama vile wana roho inayo waongoza kufanya ujinga.
Ukimjali sana = makosa.
Ukimtesa sana = makosa.
Kuwa natural. Usimtese wala usimjali sana. Kaa kati kwa kati
Ndiyo maana ndoa zenu zimejaa migogoro, mama na bibi zenu wakifanya kazi za ndani na kulea watotoMke ni kwa ajili ya kukupa starehe na kukulelea watoto........
Mke siyo hg.....kudeki , kufua ,kuosha vyombo ni kazi za dada....akifanya mke ni kakuhurumia tu kutokana na umaskini wako.