Binafsi siwezi kuajiri dada wa kazi nyumbani kwangu

Binafsi siwezi kuajiri dada wa kazi nyumbani kwangu

Wakati mwingine inamfanya wife awe sopusopu kumpelekea moto! Sio unamkuta kajaa majasho ya kazi za ndani! Kama unauwezo ajiri tu mfanyakazi kumsaidia wife ila kuwa makini kwasababu wengi wa hawa house girl ni mashetani
Mwanamke akiwa na uhakika wa kula vizuri kulala pazuri mnaishi mnaheshimiana hauonyeshi udhaifu wowote wa kuhusiana nae a’cally anakuwa smart msafi kama sufi.

Vibaya kama chumba kimoja maisha ya store hakuna hata pakuweka kifaa cha mtoto cha kujisaidia anazoa mavi nje kwa kizoleo ndiyo utamkuta hajipendezeshi,in short mleta mada ana point mke aolewe kazi yake kuzaa na kulea watoto tuache mbwembwe.
 
Kwa utafiti wangu mdogo nimegundua watu wengi hasa wanawake huleta dada wa kazi ndani ili kujionesha ati wana pesa Kwa kuwa wana wasaidizi hawa.

Hivi hawa wadada wa kazi wanafanyaga jambo Gani la maana au gumu ambalo mwanamke asilifanyaje.
Yaani kulea, kulisha na kufulia mtoto hadi uajiri mdada wa kazi.

Wanawake kiasili ni wazazi na walezi
Kama hawezi kulea basi hafai kuwa mke wa mtu.

Kwangu sitaki dada wa kazi hata iweje, mwanamke aache kila kitu alee mtoto.

Hawa dada wa kazi ni makatili sana, wanalisha watoto vinyesi, hawawapi chakula n.k

Wanawake utawakuta hata hawako busy , wapo tu wanaajiri hawa mabinti kama fashion
Hapana, mwanamke ana jukumu la kulea sawa lakini nyakati sasa hivi zimebadilika mwanamke naye anahitajika kujishughulisha na jambo lolte linalomuingizia kipato na sio kumtegemea mwanaume pekee yake, na sidhani kwmba wanafanya kwaajly kuonyesha uwezo wao au Kwa sifa hapna.

Na dada wa kazi anaishi Kwa vile unavyoishi naye ukimfanya kama mwanafamilia ataishi na mtoto vizuri ukimfanyia manyanyaso itakuwa hivi hivyo au laah
 
tunashupaza shingo huku dhidi ya waarabu kutesa ndugu zetu wanaowafanyia kazi za ndani ilihali huku tumeajiri hawa madada tunawalipa 50k - 100k Kwa mwezi huku wao ndio wakwanza kuamka na wamwisho kulala, mitoto yako inasoma ipo busy huku unaishi na mtoto mwenye umri wa kwenda shule na bado unamuunderpay.
 
Madada wa kazi kibongo bongo ni watumwa. Slavery bado ipo Tanzania hata kama hamtaki kukubali.
Wanafanya kazi kuanzia alfajiri mpaka mida ya kuvunga mlango mpaka Jumapili. Hawana haki kabisa, wanaonewa sana. Wanatumika kisha wanarudishwa kijijini na kibegi na laki na nusu
 
Madada wa kazi kibongo bongo ni watumwa. Slavery bado ipo Tanzania hata kama hamtaki kukubali.
Wanafanya kazi kuanzia alfajiri mpaka mida ya kuvunga mlango mpaka Jumapili. Hawana haki kabisa, wanaonewa sana. Wanatumika kisha wanarudishwa kijijini na kibegi na laki na nusu
Kweli kabisa
 
Unachukua mtoto wa watu kijijini unakuja kumlipa 50k au 100k, huu ni unyanyasaji.
Usicho kijua wewe ni kwamba kwa mshahara huo wa 50,000 -100,000 anakula kwako ,analala kwako,anakunya kwako,anatibiwa na wewe,anavaa kwako,umeme unalipa wewe, maji nk na anatumia kila kitu chako kwa msingi huo ukipiga hesabu kamili kabisa huyo analipwa si chini ya 300,000/= kwa mwezi ila ndani yake kuna direct na indirect cost.
 
MTU yeyote anaweza kubadilika na kukufanyia ukatili .

Unapoishi na MTU msome utambue tabia zake na ujitahidi kuishi nae kwa UPENDO.

Kuwa na Dada wa kazi ni muhimu endapo hauna uwezo wa kutimiza majukumu yako 100% .

Kikubwa fahamu unaishi na MTU wa aina gani ili kuepusha migogoro ambayo sio ya lazima na hatimaye ukatili kutokea.
 
Usicho kijua wewe ni kwamba kwa mshahara huo wa 50,000 -100,000 anakula kwako ,analala kwako,anakunya kwako,anatibiwa na wewe,anavaa kwako,umeme unalipa wewe, maji nk na anatumia kila kitu chako kwa msingi huo ukipiga hesabu kamili kabisa huyo analipwa si chini ya 300,000/= kwa mwezi ila ndani yake kuna direct na indirect cost.

Mpe laki tatu alafu hayo yote uliyoyataja ajitegemee.
 
Back
Top Bottom