Binafsi siwezi kuajiri dada wa kazi nyumbani kwangu

Binafsi siwezi kuajiri dada wa kazi nyumbani kwangu

Kwa utafiti wangu mdogo nimegundua watu wengi hasa wanawake huleta dada wa kazi ndani ili kujionesha ati wana pesa kwa kuwa wana wasaidizi hawa.

Hivi hawa wadada wa kazi wanafanya jambo Gani la maana au gumu ambalo mwanamke asilifanyaje.
Yaani kulea, kulisha na kufulia mtoto hadi uajiri mdada wa kazi.

Wanawake kiasili ni wazazi na walezi

Kama hawezi kulea basi hafai kuwa mke wa mtu.

Kwangu sitaki dada wa kazi hata iweje, mwanamke aache kila kitu alee mtoto.

Hawa dada wa kazi ni makatili sana, wanalisha watoto vinyesi, hawawapi chakula nk

Wanawake utawakuta hata hawako busy, wapo tu wanaajiri hawa mabinti kama fashion.
Kwangu dada wa kazi alinisaidia sana.
Siwezi kudharau kazi zao hata kidogo.
Alinitunzia watoto wangu mapacha, aliwalea kama watoto wake.
Bila msaada wa huyo dada mke wangu sijui ingekuwaje.
 
Housemaid ambao mnawaita Housegirl
Siô kwèli kivipi?
Upo kwèñye hiyo sekta mpaka usemè siô kwèli?
Nadhani unachanganya mambo wewe ,yani nimemtoa msukuma au muha huko ndani ndani anagauni moja tu na kanga mbili hata darasa la pili hajasoma halafu afike kwangu nimlipe laki 5 ,we jamaa unaongea story za kusadikika kabisa
 
Sishauri kua na housegirl japi Sometime, Kuna mazingira hua yanabana kiasi cha kutaka msaidizi.

Ila cha kuzingatia ni ugawaji wa Majukumu, kama mzee hakikisha Wife anafanya yale anayotakiwa kutimiza kama mke.

Ukiacha kila kitu kwa housegirl, Shida inaanzia hapo.
 
Nadhani unachanganya mambo wewe ,yani nimemtoa msukuma au muha huko ndani ndani anagauni moja tu na kanga mbili hata darasa la pili hajasoma halafu afike kwangu nimlipe laki 5 ,we jamaa unaongea story za kusadikika kabisa

Juu nimekuambia wàpo maid weñye degree na diploma kutokana na tatizo la Ajira. Ninawajua wanaolipwa kuanzia 350k mpaka 580k
Mimi ndiye nimewapa hizô Kazi Sasa kwako kipi cha ajabu?

Wàpo maid wamesomea Hotel management na mambo ya housekeeping wanalipwa Mshahara kuanzia 200k mpka 400k

Hao unaowasema wewe hao siô maid na hawana sifa za kuitwa housemaid.
 
Usaidizi katika nyumba HAUKWEPEKI inategemea unakipato kiasi gani, majukumu yenu yapoje, familia imekaaje,

Msaidizi anatakiwa awe wa mtindo gani?
 
My dear akukujibu nitag na mie nione. 😀
Amesema laki 3 my diha, na medical insurance na nssf.

Nikipiga hesabu mie salary yangu ni laki 3 na 56 na mia 8 na cent 12. Nikitoa laki 3 ya dada na insurance yake 18 na nssf 50 sijui niache kazi nkawe dada.
 
Amesema laki 3 my diha, na medical insurance na nssf.

Nikipiga hesabu mie salary yangu ni laki 3 na 56 na mia 8 na cent 12. Nikitoa laki 3 ya dada na insurance yake 18 na nssf 50 sijui niache kazi nkawe dada.
Hahahaaa. Mie mwenyewe kanitamanisha sana aisee hadi nimejikuta natamani niache hii kazi yangu ya kuuza genge. 😂😂
 
Unategemea huyo Boss wake atakuwa mwenye take home ya Mil 1 ama 2? Huyo atakuwa ni mfanyabiasha mkubwa ama waziri.

Hapa tunatungumzia wale wenzangu na mimi wenye mishahara chini ya mil 2

Hiyo haiwezeniki
Take home 1m
Wengi hulipa 70k to 100k
 
Madada wa kazi na houseboy ndio wanainjoi life kuliko mabosi zao unakuta mama kakauka lakini mdada kafutuka
 
Kwa utafiti wangu mdogo nimegundua watu wengi hasa wanawake huleta dada wa kazi ndani ili kujionesha ati wana pesa kwa kuwa wana wasaidizi hawa.

Hivi hawa wadada wa kazi wanafanyaga jambo Gani la maana au gumu ambalo mwanamke asilifanyaje.
Yaani kulea, kulisha na kufulia mtoto hadi uajiri mdada wa kazi.

Wanawake kiasili ni wazazi na walezi

Kama hawezi kulea basi hafai kuwa mke wa mtu.

Kwangu sitaki dada wa kazi hata iweje, mwanamke aache kila kitu alee mtoto.

Hawa dada wa kazi ni makatili sana, wanalisha watoto vinyesi, hawawapi chakula n.k

Wanawake utawakuta hata hawako busy, wapo tu wanaajiri hawa mabinti kama fashion.
Una watoto wangapi?
 
Ulaya ni hamsini kwa hamsini kazi za ndani ni zamu kwa zamu kazi za ndani ufanywa na familia nzima.
Madada wengi ni kwa ajili ya status na kuiga tu lakini hakuna kazi za kuwashinda wanandoa.
 
mdada wa kazi ni muhimu sema ni vile tu kumpata mstaarabu, mimi sitoisha na house girl kama housegirl ila nitamfanya mwanangu.
 
Back
Top Bottom