Binafsi siwezi kuajiri dada wa kazi nyumbani kwangu

Binafsi siwezi kuajiri dada wa kazi nyumbani kwangu

kama huwezi kuajili dada wakaxi basi ajili kaka wakazi.
 
Pana vifaa vya kupigia deki,pana mashine za kufua na kuosha viombo za kupikia umuhimu wa mdada ni mdogo sana kwa sasa lbda tu kusaidia tatizo la ajira nchini
 
Vijijini wanawaambia mabinti zao wakosee kujaza majibu ya mitahani ili wasifaulu wakafanye kazi za ndani mijini
 
Ninayee binti mwaka wa sita huu...tupoo vizurii...kanilelea mapacha wangu kwa upendo kbsaaa...na tunaishi vizuri na namtunza Kama mwanangu na kwao anaenda kusalimiaa na anarudi tenaa...ukiishi nao kwa upendo hawana shida kbsaa

Ushawahi kuvaa viatu vyake na kujiuliza future itakuaje akiwa Mzee? au utakaa naye mpaka afe uzike au aolewe basi.

Hujawahi kufikiria kumpeleka shule naye akapate kaujuzi hata kakushona? nk.
 
Ushawahi kuvaa viatu vyake na kujiuliza future itakuaje akiwa Mzee? au utakaa naye mpaka afe uzike au aolewe basi.

Hujawahi kufikiria kumpeleka shule naye akapate kaujuzi hata kakushona? nk.
Yote hayoo nimeyafikiriaa...na kila kitu kitakuwaa sawaa..
 
Ulaya ni hamsini kwa hamsini kazi za ndani ni zamu kwa zamu kazi za ndani ufanywa na familia nzima.
Madada wengi ni kwa ajili ya status na kuiga tu lakini hakuna kazi za kuwashinda wanandoa.
Umeongea point mkuu
 
Wakati mwingine inamfanya wife awe sopusopu kumpelekea moto! Sio unamkuta kajaa majasho ya kazi za ndani! Kama una uwezo ajiri tu mfanyakazi kumsaidia wife ila kuwa makini kwasababu wengi wa hawa house girl ni mashetani.
Hakuna kitu kama hicho mbona wazazi wetu hawakua na wasaidizi kipindi hicho lakini moto walikua wanapeleka kama kawaida
 
Chukua mdada then fanya kumlea kama ndugu yako sio unamtesa kama mbwa. Mchukue kama msaidizi wa nyumbani tena unamchukulia kama mwanao au ndugu yako, ikiwezekana hata kumsomesha fresh.
Hili liko sahihi kabisaa.
 
Hapo kwenye off days wengi. Wanajisahau kuwa huyo housegr ana mahitaji yake kama binafamu wengine,lazima naue apate wakumlomba.
Hiyo ni kazi ya baba familia, ni jukumu lako kukata kiu ya mdada wa kazi
 
Back
Top Bottom