Binafsi siwezi kuajiri dada wa kazi nyumbani kwangu

Binafsi siwezi kuajiri dada wa kazi nyumbani kwangu

Unachukua mtoto wa watu kijijini unakuja kumlipa 50k au 100k, huu ni unyanyasaji.
Usichokijua ni kwamba hiyo 50000 ni sawa au zaidi ya laki tatu kwa mwezi,imagine chakula,Mavazi,Malazi na kumuuguza ni juu yako.niambie ni nani anayelipwa 300000 kwa hapa mjini (Dsm),ambaye anajitegemea kwa nauli,kodi ya chumba,chakula nk.mwenye uhakika wa kubaki na 50000 kila mwezi!...matumizi ya chakula na nauli kwa siku tu hapa mjini ni zaidi ya 250000 na hapo mtu amejibana kweli kweli.we
 
Kwa utafiti wangu mdogo nimegundua watu wengi hasa wanawake huleta dada wa kazi ndani ili kujionesha ati wana pesa kwa kuwa wana wasaidizi hawa.

Hivi hawa wadada wa kazi wanafanyaga jambo Gani la maana au gumu ambalo mwanamke asilifanyaje.
Yaani kulea, kulisha na kufulia mtoto hadi uajiri mdada wa kazi.

Wanawake kiasili ni wazazi na walezi

Kama hawezi kulea basi hafai kuwa mke wa mtu.

Kwangu sitaki dada wa kazi hata iweje, mwanamke aache kila kitu alee mtoto.

Hawa dada wa kazi ni makatili sana, wanalisha watoto vinyesi, hawawapi chakula n.k

Wanawake utawakuta hata hawako busy , wapo tu wanaajiri hawa mabinti kama fashion

Umepiga kwenye mshono ,hata mimi siwakubali sana hao Hg kwasababu ya matendo yao ya kijinga ,kulishana Uchafu(Tushaona CCTV footage) ,Kuwapiga watoto ,kuwaambukiza magonjwa watoto wa maboss ,ushirikina etc....Mara 10 umchukue ndugu wa kike ukae nae kwa ajili ya kusaidia kazi ndogo ndogo.
 
Wakati mwingine inamfanya wife awe sopusopu kumpelekea moto! Sio unamkuta kajaa majasho ya kazi za ndani! Kama unauwezo ajiri tu mfanyakazi kumsaidia wife ila kuwa makini kwasababu wengi wa hawa house girl ni mashetani
Jibu zuri
 
Unachukua mtoto wa watu kijijini unakuja kumlipa 50k au 100k, huu ni unyanyasaji.
Huo mshahara kwa MTU anaye lala kwako ,anakula na vtu vingine juu yako ,huo mshahara ni mkubwa kuliko MTU anayelipwa laki tatu
 
Anatoboa,
Mimi moja ya shughuli zangu NI pàmoja na hiyo.
Semà hoja Hapo NI uchumi WA nchi, Elimu ya hao housemaid ambao wengi hawana Elimu kûbwa au ya kati.
Wàpo maids weñye diploma na Shahada wanalipwa kati ya 350k to 550k
Laki 350k to 500k kwa h/maid cash!? hiyo ni canada hiyo, maana kwanza hiyo ndiyo take home ya mtumishi wa serikali ambapo hapo inatakiwa pia utoke mshahara ya huyo h/maid na wale ,walipe kodi ,wavae nk aisee wacha bwana
 
Nyumbani kwetu tuna wafanyakazi wapatao 8 wake kwa ume. 😃😃
 
Kuna muda wanawake wana mbwembwe sana, upo wewe na yeye na mtoto mmoja alaf analilia ulete mdada wa kazi!
Tena wanaotoka familia duni ndo wana huu ujinga sana!
 
Usichokijua ni kwamba hiyo 50000 ni sawa au zaidi ya laki tatu kwa mwezi,imagine chakula,Mavazi,Malazi na kumuuguza ni juu yako.niambie ni nani anayelipwa 300000 kwa hapa mjini (Dsm),ambaye anajitegemea kwa nauli,kodi ya chumba,chakula nk.mwenye uhakika wa kubaki na 50000 kila mwezi!...matumizi ya chakula na nauli kwa siku tu hapa mjini ni zaidi ya 250000 na hapo mtu amejibana kweli kweli.we
Kiukweli umesema sahihi kabisa
 
Angalau 300k kwa mwezi, NSSF, medical insurance, bonus na off-days.
We kuweza?kwa mshahara upi?ajira ipi hiyo unalipwa vizuri mpka umlipie na pensheni?sio wote wanapenda watto walelewe na mabinti wa kazi ..majukumu yanabana lkn hata kama upo nyumbani tu huna shughuli yyte msaidizi muhimu...hata Mungu aliona hilo akampa Adam msaidizi..sio sifa mwanamke kuhenyeka na kazi wakati uwezo wa kupata msaidizi upo matokeo yake mwanamke anafujika anachakaa anachoka hana hata muda wa kupaka lotion ikatulia usoni ni busy nakazi za ndani badae mnawakimbia ..
 
Laki 350k to 500k kwa h/maid cash!? hiyo ni canada hiyo, maana kwanza hiyo ndiyo take home ya mtumishi wa serikali ambapo hapo inatakiwa pia utoke mshahara ya huyo h/maid na wale ,walipe kodi ,wavae nk aisee wacha bwana

Hapa bongo wàpo maid wanalipwa hiyo Pesa yàani 580k
 
Kama hutaajiri dada wa kazi shauri yako. Wenzio ndio wanapopata Bahati ya kuiona na kuitumbua bikra.
Endelea na ma singo maza Kama utakutana na bikra.
Raha ya kuitumbua Ile kitu tunaijua wachache Sana.
 
Back
Top Bottom