Binamu Bananga: CHADEMA tunakutana kujadili mahojiano ya Rais Samia na BBC ili kujibu nini? Nasisitiza tusikurupuke

Binamu Bananga: CHADEMA tunakutana kujadili mahojiano ya Rais Samia na BBC ili kujibu nini? Nasisitiza tusikurupuke

Nje ya siasa Ali Bananga ana shughuli gani inayomuingizia kipato? Anayoyasema siku hizi unaweza husiamini kama alikuwa kwenye timu ya kampeni ya Lissu! Uhalisia Bananga ana kinyongo kwasababu ya ubunge feki wa mkewe.
Acheni kuchunguza maisha ya watu.

Muwe mnajibu hoja kwenye mjadala husika. Ukitaka habari za kipato cha bananga kafungue uzi wake tutakuja kukueleza huko
 
Ushauri aliotoa Binamu Bananga kwa CHADEMA kuhusu Mahojiano ya Rais Samia na BBC

Makamanda habari za jioni? Naamini wengi tumesikiliza mahojiano ya mama Samia na Kikeke, Nimeona Kaka yangu Lema ameandika Mahali kwamba Chama Kitakutana kumjibu, nimeshtuka kidogo, tunataka kujibu nini? Mimi naendelea kusisitiza tusikurupuke.

Najua mtasema natetea CCM kwasababau ya Ubunge wa Hawa, lakini mimi nashauri kwasababu ya mapenzi yangu kwa CHADEMA, Mama Samia kasema kuna Uhuru wa Habari, Baada ya Uchaguzi tujenge Nchi, Kesi ya Mbowe ilikuwepo lakini upelelezi haukuwa umekamilika, pengine ndio sababu ya Mwenyekiti kuwa nje.

Kati ya hayo aliyosema lipi la uongo? Kuna Vyombo vya Habari vilivyofungiwa Tanzania? Hapana. Wote humu tunajua kwamba ni kweli kesi ya Mbowe ilikuwepo, sio ya sasa, amesema uongo hapo? Hapana. Kuhusu hili la kujenga Nchi sisi CHADEMA ndio tunalichelewesha kwa migogoro isiyoisha. Sasa kama ukweli ni huu, tunataka kumjibu nini?

Imekuwa ni kawaida sana kwa Chama chetu kucheza ngoma ya CCM, Hivi kweli leo sisi CHADEMA ndio wakutaka Rais aingilie uhuru wa mahakama? Tatizo tulilolipigia kelele enzi za Mwendazake, tunataka lirudi tena, Tumehubiri Utawala wa Sheria na Uhuru wa Mahakama kwa miaka 6 halafu ndani ya miezi minne ya Samia tunataka kubadili gia angani kwa kushinikiza huyu Mama kuingilia Mahakama?

Maamuzi ya Mahakama hayapaswi kuingiliwa na Rais, Mama Samia kasema Issue ya Mwenyekiti ipo mahakamani, hawezi kuiingilia Mahakama, Kauli hiyo ina shida gani? Hatuoni kama kutaka aingilie Mahakama ni kutaka avunje Katiba? Kwanini tudai katiba Mpya kwa kuvunja Katiba ya Sasa? This is not right, I am sorry guys kama nitawakwaza lakini we really need to change our think tanks.

Sio kila kitu cha kujibu, tusijichoreshe, Chama kimestuck kama Tekno, hakuna kazi nyingine zinazoendelea, CHADEMA ni MSINGI hatujui hata Documents ziko wapi, Sera mbadala ishakuwa Zilipendwa, Mwenyekiti kuwa mahabusu siku 20 Chama kimeparalaizi kabisa, Hivi kweli Siku Mbowe akitoka CHADEMA, chama kitabaki hai?

Makamu Mwenyekiti Kaka yangu Lissu toka huko Ulipo, tunakuhitaji uwanjani, Maria Space na Clubhouse ni vijiwe vya story tu, havina maajabu, Lema anasema watu wasinywe bia, wasinywe maji ya kunywa, wasile hotelini, Yaani kweli huu ndio mkakati wa Chama kikuu cha upinzani? Kama tuko serious, Tusiwe na mipango unrealistic kama huu wa kaka yangu wa Canada.

Lema unasema hayo kutokea Canada, labda nikuulize, tukigomea maji huku Tanzania ili Serikali ikose pesa, Wewe na familia yako huko Canada mtagomea nini ili Serikali ya Tanzania ikose pesa? Au nyie mtaendelea kuishi kama kawaida wakati sisi tukiisoma namba kwa kugomea Dawasco huku? Bro kaa chini ufikirie tena wazo lako.

Narudia kushauri, tuachane na press za kila siku, Kama tunataka Mbowe atoke tukubali kwamba propaganda za Twita haziwezi kubadili kilichoandikwa kwenye Hati ya Mashtaka, tuna wanasheria wazuri, wasimame na Mwenyekiti, tuache sanaa.

Yangu ni hayo kwa leo, Samahani kwa watakaokwazika. Tusipoambiana ukweli Chama kitakufa.

Bananga mumewe Msando kapata UDC sasa upweke unamfanya ahangaike
 
Mkuu, wahalafu inabidi waendelee kukamatwa tu. Na Bora wakamatwe maana hawa wanafanya matukio na kujificha kwenye mgongo wa Chadema.

Wanakichafua chama hivyo wahuni wote waendelee kukamatwa tu
Uhuni gani wanafanya? Na kama wanakichafua chama chao wewe usie mwanachama inakuhusu nini?
Kumkamata mtu kwa kuwa ana mawazo tofauti na yako sio sahihi. Kumkamata mtu kwa sababu unaona hakuheshimu sio sahihi. Hatuna mahabusu za kutosha lakini tunajaza watu ambao kosa pekee walilofanya ni kushika bango usilolipenda? Hiyo ni haki kweli?

Amandla...
 
Uhuni gani wanafanya? Na kama wanakichafua chama chao wewe usie mwanachama inakuhusu nini?
Kumkamata mtu kwa kuwa ana mawazo tofauti na yako sio sahihi. Kumkamata mtu kwa sababu unaona hakuheshimu sio sahihi. Hatuna mahabusu za kutosha lakini tunajaza watu ambao kosa pekee walilofanya ni kushika bango usilolipenda? Hiyo ni haki kweli?

Amandla...
Mkuu, mimi na wewe hatuwezi jua ila Jeshi letu la polisi na intelijensia yake wanajua na wanazo taarifa nying sana za ki-intelijensia. Tuwaache wafanye kazi zao na mahakama zetu zitathibitisha au kutupia mbali madai ya polisi.

Tukiamini jeshu letu la polisi na system zetu za ulinzi na usalama wa nchi yetu.

Kuhusu Chadema inanihusu maana wao ni chama kikuu cha upinzani na kinasaidiana na serikali kujenga nchi hivyo kikiwa na weledi na kikiwa katika njia nyoofu tunafaidika sote kama taifa. Ila kikiwa na wahuni kama Mdude na wenziwe hasara ni kwetu sote.

Unadhani Sisi wengine hatujawachangia viongozi mbali mbali wa Chadema watoke magerezani ili waje wasaidie kujenga Tanzania yetu??
 
Uhuni gani wanafanya? Na kama wanakichafua chama chao wewe usie mwanachama inakuhusu nini?
Kumkamata mtu kwa kuwa ana mawazo tofauti na yako sio sahihi. Kumkamata mtu kwa sababu unaona hakuheshimu sio sahihi. Hatuna mahabusu za kutosha lakini tunajaza watu ambao kosa pekee walilofanya ni kushika bango usilolipenda? Hiyo ni haki kweli?

Amandla...
Mkuu, mimi na wewe hatuwezi jua ila Jeshi letu la polisi na intelijensia yake wanajua na wanazo taarifa nying sana za ki-intelijensia. Tuwaache wafanye kazi zao na mahakama zetu zitathibitisha au kutupia mbali madai ya polisi.

Tukiamini jeshu letu la polisi na system zetu za ulinzi na usalama wa nchi yetu.

Kuhusu Chadema inanihusu maana wao ni chama kikuu cha upinzani na kinasaidiana na serikali kujenga nchi hivyo kikiwa na weledi na kikiwa katika njia nyoofu tunafaidika sote kama taifa. Ila kikiwa na wahuni kama Mdude na wenziwe hasara ni kwetu sote.

Unadhani Sisi wengine hatujawachangia viongozi mbali mbali wa Chadema watoke magerezani ili waje wasaidie kujenga Tanzania yetu??
 
Je Bananga amepiga kwenye mshono? Mbona hawajibu hoja zaidi ya matusi? Inawezekanaje makamu mwenyekiti aongoze chama cha siasa kupitia mtandao wa Twitter? Yaani sie tupambane na polisi yeye yupo Europe anakula mkate wa kumimina?
Eti tugomee kula hotelini na kununua maji, hizi ndio sera za Upinzani kuweza kuchukua dola kweli? Ni kweli kabisa hiki chama kitapata hata wabunge watatu 2025?
Mchakato wa katiba mpya ni nani aliuharibu na kukimbia bungeni? Yaani hoja moja ya muungano ndio ivunje mchakato mzima wa katiba? Niseme ukweli tu, RIP Chadema.
 
kwa hiyo mnataka akubaliane na ile kauli ya yule jamaa aliyeko Canada watu wasusie bidhaa na huduma eti serikali ikose mapato..

Hilo la Lema linatosha kabisa kuona upumbavu mwingi kwa watu eti tunawategemea ni chama mbadala na tuwape dola...
 
Back
Top Bottom