Binamu yangu ana matatizo? Baada ya kusoma mwaka wa kwanza chuoni akiwa kwangu nimemwacha huru aishi gheto lakini nasikia hakuna binti kawahi kuvusha


Mbona tayari umesha anzisha Uzi wa kujijibu wewe mwenyewe hili swali uliloliuliza hapa!
 
Umri HUO nilikua na permanent girlfriend na nilikua namkula sana yaan ninaposema namkula sana namaanisha namkula sana
Umejibu hivi baada ya kujua ukweli wa ulichokiandika hakipo kawaida na sasa baada ya kugundua haikuwa kawaida umekuja kwa force kubwa kujitetea kujaribu kulinda heshima, hii kwa kizungu inaitwa saving face.

Uliandika mwanzoni miaka 22 bado ni mtoto, hii umetumia uzoefu wa maisha yako ulipokuwa na miaka 22

Usione aibu unaweza kutusaidia kwa uzoefu wako, humu hatujuani huwezi kupata aibu.
 
Sawa Mkuu naona unanichimba
 
Ni mwaka jana huyu binamu yangu alianza degree alikuwa anaishi kwangu kwasababu ni karibu na chuo pia alikuwa mgeni kwenye mkoa.
wa hostel wlifosi kingi kuwatoa wenzao kwa masaa kadhaa (kuwapiga excile),
Miaka 22 bado dogo sana kumhukumu. Kumbuka kila mtu ana plan zake za maisha.
Afya ndiyo mtaji namba moja hapa duniani. Kumbuka kuna HIV
 
Age 22, mtoto wa kiume au wa kike ni ngumu sana kujua kama anagongana, wengi tulikua kimya katika umri huo, Wengi wanakua kwenye mahusiano ya sio lazma kila siku tugongane. Alafu kingine bro, Hizo excile za. Kila siku ulifanya chuo gani wewe.
Maana kuna siku za RB, unakosa hata hisia.
Ila swala la kuingiza binti ndani is very private at that age.
Lastly acha kumfatilia dogo maswala ya kula mbupe, Man up, brother.(Usifatilie haata Mwanaume mwenzako, tabia ya hovyo sana hiyo).
 
Ni mwaka jana huyu binamu yangu alianza degree alikuwa anaishi kwangu kwasababu ni karibu na chuo pia alikuwa mgeni kwenye mkoa.
e couple, wale wa hostel wlifosi kingi kuwatoa wenzao kwa masaa kadhaa (kuwapiga excile),
Ni kujiheshimu, na hana ulimbukeni wa Mali au pesa ndio ujiingize kwenye ngono!
 
Aisee kuna mambo mpaka unashangaa
Huyu jamaa mleta Uzi huyu daaah
 
Unajenga tabia kisha tabia zinakujenga

Kuna watu wanapevuka akili mapema Sana kwa umri wa 22 ni umri wa MTU kuwa anajua anataka nini katika maisha yake.

Personally huyo binamu yako anajitambua Sana na atafanikiwa kwa kiwango kikubwa sana katika maisha yake .
 
Nazn watoto wengine wakiume huchelew kufunguka either pia malez waliokulia lakn sasa kama ana marafk what their share all the time , maarafk zake atleast wangemfungua au wangekuw wanakuja na demu zao geto kwa mshikaj

Ila anyway ndege wanafanana huruka pamojaπŸ“‰
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…