Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Kwa nini mkuu?sikusoma vizuri, kumbe ni software ya animation ? mkuu una utani eeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini mkuu?sikusoma vizuri, kumbe ni software ya animation ? mkuu una utani eeh
kwa Bongo hupati, Kenya hupati, Africa, hupati, kwa nje dau dogoKwa nini mkuu?
Lakini kuna vyuo vinatoa fani ya 'software development'; sasa hawa wahitimu wako wapi?kwa Bongo hupati, Kenya hupati, Africa, hupati, kwa nje dau dogo
Walikuwa busy sana na masuala ya Graphics mkuu.....Inawezekana elimu ikawa kwenye cheti tu; ila kiuhalisia hakuna ujuzi alioupata huko masomoni.
siyo software izo mkuu,Lakini kuna vyuo vinatoa fani ya 'software development'; sasa hawa wahitimu wako wapi?
Graphics wako wengi; kwa anayetaka kufanikiwa zaidi, inabidi afanye 'documentary'Walikuwa busy sana na masuala ya Graphics mkuu.....
Nna jama zangu tulipiga nao Olevel ( zaidi ya watano ) walienda kusoma hayo madude......
Ila wakawa busy na kuedit Picha Adobe, saiv sijui wanaissue gani...
Kazi zangu niziweke hapa bure?Kazi ulizozifanya mpaka sasa hivi, ni zipi? Weka hapa jukwaani uweze kupata fursa zaidi
Sasa inataka tukulipe kuona kazi zako, we jamaa vipi😅. Hata CV si unaandika umewai kufanya nini sasa unataka ulipwe watu kujua umefanya nini?Kazi zangu niziweke hapa bure?
Atakuwa na ujuzi labda wa 'community development'Sasa inataka tukulipe kuona kazi zako, we jamaa vipi😅. Hata CV si unaandika umewai kufanya nini sasa unataka ulipwe watu kujua umefanya nini?
We sio SD; inawezekana fani yako ni zile zingine ambazo sio 'technical'Kazi zangu niziweke hapa bure?
😅😅😅 itakua, maana wale wanakuaga na confidential data za wagonjwa wa ukimwi nkAtakuwa na ujuzi labda wa 'community development'
Nina mtaji; nahitaji kumiliki biasharaLipi hasa lengo la wewe kutaka mtu akutengenezee software from scratch wakati unaweza nunua au tumia bure zilizopo mpaka sasa
Halafu mbona kama wewe uko mweupe sana kichwani kwenye issue za software na hata animation
Sasa unataka cv au kazi?Sasa inataka tukulipe kuona kazi zako, we jamaa vipi😅. Hata CV si unaandika umewai kufanya nini sasa unataka ulipwe watu kujua umefanya nini?
Bro nilijua uko fresh kichwani, lakini nashangaa sana kuona tofauti na nilivyofikiri.Habari wakuu?
Nahitaji mtu anayeweza kutengeneza software ya 'animation', yaani ya kutengeneza 'video' za katuni.
Hiyo 'programme' iwe na angalau sifa hizi:-
Iwe ni rahisi kutumia Iweze kutumia lugha mbili kiingereza/kiswahili Iweze kutengeneza 'character' wa aina yoyote 'Back ground' iwe inabadilishika, iendane na mtumiaji Isiwe na mavitu mengi ya kuchanganya Pia, uwe tayari kutoa mafunzo kwa watumiajiKwa wale watundu wa mambo ya 'software' kazi kwenu; dau langu ni milioni mbili, iko mfuko wa shati.
Tupige kazi.
Hujaniuthi; ila mpaka sasa hivi umefanya project ngapi, tuwekee tuzione kwanzaBro nilijua uko fresh kichwani, lakini nashangaa sana kuona tofauti na nilivyofikiri.
Tufunge mjadala kwa kusema hakuna mtu anayetaka software Kama hiyo akaandika thread jamiiforums.
Tukiachilia mbali mapungufu ya budget yako.
Fanya biashara nyingine .
Samahani kama nimekuufhi
Nani aliyekuambia nataka hiyo kaziHujaniuthi; ila mpaka sasa hivi umefanya project ngapi, tuwekee tuzione kwanza
Debe tupu haliachi kupiga keleleNani aliyekuambia nataka hiyo kazi
Wanakuja kufanya wasubiri usiku mwemaDebe tupu haliachi kupiga kelele
Ulishawahi kujiuliza swali, kwanini China kila mtaa kuna 'workshops' viwanda vidogo vidogo?Wanakuja kufanya wasubiri usiku mwema