Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mwanamke anaenda kuolewa na ww ama na familia yako nzima?
Mkuu kwani huoni unatenda dhambi kwa kumbashiria mtu dhambi ambayo hajatenda au una uhakika kuwa kijana wetu humgegeda binti.MUNGU hajakukataza kutomb*****na. Yeye ndiye aliyekuumba na kukuwekea mfumo mzima wa uzazi. Yeye ndiye aliyeumba mapenzi.
Ingawa Yeye ndiye aliyeumba mapenzi, lakini ameweka utaratibu maalumu unao kuruhusu wewe kushiriki mapenzi na kuyafurahia. Utaratibu huo ni ndoa.
Unaruhusiwa kushiriki mapenzi na kufurahia raha na utamu wote wa mapenzi ukiwa tu ndani ya ndoa. Yaani tendo la ndoa liwe kati ya Mume na Mke tu basi.
Sasa ikiwa wewe unashiriki mapenzi nje ya utaratibu uliowekwa na MUUMBA wako unatenda makosa na Yeye MUNGU atakuhukumu kwa kosa la kuvunja utaratibu aliokuwekea.
Kwenda kinyume na maagizo au taratibu alizoziweka MUNGU, ni kitendo cha dharau na ukaidi.
Jiulize swali :
Ikiwa watoto wako watakudharau na kukaidi maagizo yako wewe ukiwa baba utafurahi?
Au ukiwa wewe ni Bossi hapo ofisini kwako halafu mfanyakazi wa chini yako akakudharau na kukaidi maagizo yako, Je, utafurahi????
HAHAHAHAKwamba Mungu anipe adhab ya kunichoma moto milele mim mtoto wake kipenz ambae kaniumba mwenyew et kisa na.tombana....haiingii akili
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ni makosa lakin sitowapa adhab ya mateso ya kuchomwa moto milele..hyo ni adhab kal sana ambayo hata mwanadam dhaifu hawez mfanyia mtu ..uchomwe milele kaka kwasbaab ya sexMUNGU hajakukataza kutomb*****na. Yeye ndiye aliyekuumba na kukuwekea mfumo mzima wa uzazi. Yeye ndiye aliyeumba mapenzi.
Ingawa Yeye ndiye aliyeumba mapenzi, lakini ameweka utaratibu maalumu unao kuruhusu wewe kushiriki mapenzi na kuyafurahia. Utaratibu huo ni ndoa.
Unaruhusiwa kushiriki mapenzi na kufurahia raha na utamu wote wa mapenzi ukiwa tu ndani ya ndoa. Yaani tendo la ndoa liwe kati ya Mume na Mke tu basi.
Sasa ikiwa wewe unashiriki mapenzi nje ya utaratibu uliowekwa na MUUMBA wako unatenda makosa na Yeye MUNGU atakuhukumu kwa kosa la kuvunja utaratibu aliokuwekea.
Kwenda kinyume na maagizo au taratibu alizoziweka MUNGU, ni kitendo cha dharau na ukaidi.
Jiulize swali :
Ikiwa watoto wako watakudharau na kukaidi maagizo yako wewe ukiwa baba utafurahi?
Au ukiwa wewe ni Bossi hapo ofisini kwako halafu mfanyakazi wa chini yako akakudharau na kukaidi maagizo yako, Je, utafurahi????
Aya mbili za mwanzo...MUNGU hajakukataza kutomb*****na. Yeye ndiye aliyekuumba na kukuwekea mfumo mzima wa uzazi. Yeye ndiye aliyeumba mapenzi.
Ingawa Yeye ndiye aliyeumba mapenzi, lakini ameweka utaratibu maalumu unao kuruhusu wewe kushiriki mapenzi na kuyafurahia. Utaratibu huo ni ndoa.
Unaruhusiwa kushiriki mapenzi na kufurahia raha na utamu wote wa mapenzi ukiwa tu ndani ya ndoa. Yaani tendo la ndoa liwe kati ya Mume na Mke tu basi.
Sasa ikiwa wewe unashiriki mapenzi nje ya utaratibu uliowekwa na MUUMBA wako unatenda makosa na Yeye MUNGU atakuhukumu kwa kosa la kuvunja utaratibu aliokuwekea.
Kwenda kinyume na maagizo au taratibu alizoziweka MUNGU, ni kitendo cha dharau na ukaidi.
Jiulize swali :
Ikiwa watoto wako watakudharau na kukaidi maagizo yako wewe ukiwa baba utafurahi?
Au ukiwa wewe ni Bossi hapo ofisini kwako halafu mfanyakazi wa chini yako akakudharau na kukaidi maagizo yako, Je, utafurahi????
Hahahahhaha!!!dash we jamaa wewee kaah!Kwamba Mungu anipe adhab ya kunichoma moto milele mim mtoto wake kipenz ambae kaniumba mwenyew et kisa na.tombana....haiingii akili
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha unafiki.Ni bora kumuumiza mara moja kwa ukweli wa kuwa huna nia nae yoyote kuliko kumuumiza kila siku kwa uongo ambavyo unafanya sasa hivi.
Pale unapokuwa nae anajipa imani kuwa wewe ni mtu wake kumbe wewe unamuona hakufai. Kwa maana nyingine unamfungia njia yake ya kupata mtu atakeridhika na tattoo zake.
Ila kumbuka katika mahusiano siku zote ni bora kuwa na mtu anaekupenda zaidi kuliko wewe kumpenda yeye zaidi. Tattoo na matundu ya masikio haya define utu wa mtu. Walimwengu hawakosi la kukosoa. Utakuja kutana na mwenye matundu mawili tu ya masikio na bila tattoo ila mwili wake ushatobolewa kila sehemu na uume za watu na kuishi na hofu kila siku kama uko peke yako au laa.
chief umesoma ulichokiandika na uliemquote. Maana kila nikijaribu ku connect dots sidhani naona mantiki ya comment yako kwenye ya kwangu.Acha unafiki.
Kilichokuoeleka kwake ndicho kilichomkalisha kwako.
Sisi wanaume tunasifika sana kwa kupiga na kukimbia. Ulitaka trako umelipata sasa unamkimbia
Bora akuroge usiendelee kuwaharibu wengine.
Anyways ntakusaidia kupokea michango ya harusi yenu