Binti akifikia hatua hii, omba Mungu

Binti akifikia hatua hii, omba Mungu

Ni bora kumuumiza mara moja kwa ukweli wa kuwa huna nia nae yoyote kuliko kumuumiza kila siku kwa uongo ambavyo unafanya sasa hivi.

Pale unapokuwa nae anajipa imani kuwa wewe ni mtu wake kumbe wewe unamuona hakufai. Kwa maana nyingine unamfungia njia yake ya kupata mtu atakeridhika na tattoo zake.

Ila kumbuka katika mahusiano siku zote ni bora kuwa na mtu anaekupenda zaidi kuliko wewe kumpenda yeye zaidi. Tattoo na matundu ya masikio haya define utu wa mtu. Walimwengu hawakosi la kukosoa. Utakuja kutana na mwenye matundu mawili tu ya masikio na bila tattoo ila mwili wake ushatobolewa kila sehemu na uume za watu na kuishi na hofu kila siku kama uko peke yako au laa.

Umeongea ukweli sana... Haswa sisi wanaume, tuombe sana Mungu tupate wanawake wanaotupenda kwa dhati... utaishi kwa amani.
 
Usimhurumie...
Mwanamke haurumiwi. Kwasababu wewe ndo ungekuwa yeye usingehurumiwa.

Sio kila mwanamke amezaliwa kuwa kwenye ndoa.
Slay queen never change, they improve. Take it from me.
Jf
 
Mkuu labda nikuulize swali huyo mwanamke unampenda au humpendi kutoka rohoni!!??
na hizo tatoo zake zipo wapi kwenye maungo yake ya mwili.......
Manake kuna jamaa yangu mmoja alioa dem ana tatoo ya tak.o........
miaka mitatu iliyopita sasa hv wana watoto wawili wapo vema tu.....
Ulijuaje hyo tatoo iko kwa tako mkuu
 
Najua mapema sana ila niko katika wakati mgumu sana na shemej yenu. Huyu binti yuko katika the most highl peak of maximum desperation ya ndoa

Hata sijui nifanyaje wakuu niko naye muda ila kiukweli siwezu mwoa huyu binti kiukweli ana vigezo vyoote amebadilika tabia n all that. Well niseme tu, she used to be a slay queen enzi hizo. So ana mavitu mwilini mwake ambayo mimi siyapendi kiufupi

Ila ni bint ambae ananipenda vibaya mno..na amenielewa nyanja zote na yuko tayar kwa lolote ..juz kanambia nisipokua muelewa na anachotaka ataniroga kiutani utan ila sura yake ilikua serious. sasa wakuu

Kwa sura ni mzur umbo zuri saaana ila sasa nampelekaje home kumtambulisha mtu maskio yana matobo kama 100 mwil tatoo kadhaa znazoonekana

Well nishapiga snaa kelele hum kuhusu huyu dem kumwacha namwonea huruma basi daaah. Nayeye ndo kaniganda .naweza sema huyu dem nipo peke yangu..hyo nna uhakika 100% ni dem flan hiv free soul mzungu flain hivi keshakaa sana ulaya etc. well akikasirika huwa anasmoke sometime..hahaha

Ila kaacha, anasema sabab zaman alikua anasmoke huko Uk.

Sasa wakuu huyu dem ameniganda sana nashindwa nifanyeje had muda mwingne analia kabisa, anatia huruma. Hapa had naandika hivi kanifata sehemu yangu ya kazi anataka nimsindikize hospital. Dahhh.

Huu msalaba mzito jamani, nipen ushauri

Niliwahi kuwa na hali kama hii lakini mimi niliona kabisa sikuwa nampenda yule bi dada, nilichofanya kwa kumheshimu yule nilimuita nikakaa nae nikamwambia ukweli kuwa unanipenda lakini mimi siwezi kurudisha penzi lako kwa kiwango kama chako. Kwa maana hiyo nitakuja kukutesa tu, sasa ili nisikupotezee muda naomba tuachane mapema. Alikasirika, alilia sana na mimi nilisikitika, lakini nilijua kabisa nafanya vile kwa faida yake na yangu. Mwisho alinielewa na mpaka leo anakubali nilifanya jambo la msingi na la kiume kuliko ningemdanganya na kuja kumtesa bure.

Lakini kama unampenda na yeye anakupenda, nasisitiza anakupenda basi hivyo vingine vyote havina maana kabisa. Muoe.
 
Hiv nisipo amini nguv ya uwepo wa mungu nakuwa nimemtukana roho mtakatifu,,au matusi yapi ukitukana unakuwa umetukana roho mtakatifu??
Siyo kweli ndugu yangu. Hakuna mahali kuna maandiko kama hayo. KRISTO alisema wazi wazi kabisa kuwa, "kila dhambi atakayoifanya mwanadamu chini ya jua atasamehewa, isipokuwa dhambi moja tu, nayo ni ya kumtukana ROHO MTAKATIFU hiyo ndiyo haitasamehewa kamwe".
Soma Mathayo 12:31
 
Sikiliza Moyo wako, maana km ni kuoa hauoi kwaajili ya JF,unaoa kwaajili yako na utaishi naye wewe sio sisi.
 
Niliwahi kuwa na hali kama hii lakini mimi niliona kabisa sikuwa nampenda yule bi dada, nilichofanya kwa kumheshimu yule nilimuita nikakaa nae nikamwambia ukweli kuwa unanipenda lakini mimi siwezi kurudisha penzi lako kwa kiwango kama chako. Kwa maana hiyo nitakuja kukutesa tu, sasa ili nisikupotezee muda naomba tuachane mapema. Alikasirika, alilia sana na mimi nilisikitika, lakini nilijua kabisa nafanya vile kwa faida yake na yangu. Mwisho alinielewa na mpaka leo anakubali nilifanya jambo la msingi na la kiume kuliko ningemdanganya na kuja kumtesa bure.

Lakini kama unampenda na yeye anakupenda, nasisitiza anakupenda basi hivyo vingine vyote havina maana kabisa. Muoe.
Hee
 
Ni bora kumuumiza mara moja kwa ukweli wa kuwa huna nia nae yoyote kuliko kumuumiza kila siku kwa uongo ambavyo unafanya sasa hivi.

Pale unapokuwa nae anajipa imani kuwa wewe ni mtu wake kumbe wewe unamuona hakufai. Kwa maana nyingine unamfungia njia yake ya kupata mtu atakeridhika na tattoo zake.

Ila kumbuka katika mahusiano siku zote ni bora kuwa na mtu anaekupenda zaidi kuliko wewe kumpenda yeye zaidi. Tattoo na matundu ya masikio haya define utu wa mtu. Walimwengu hawakosi la kukosoa. Utakuja kutana na mwenye matundu mawili tu ya masikio na bila tattoo ila mwili wake ushatobolewa kila sehemu na uume za watu na kuishi na hofu kila siku kama uko peke yako au laa.
Mzee haya mambo yanapiga vibaya acha tu, unakuta anangukia kwa mvurugo wa roho stress zaidi ya hizo tatu na matundu
 
Unamtukanaje roho mtakatifu
ROHO MTAKATIFU ni ROHO wa MUNGU. Ukimtukana MUNGU au kumkashifu ni sawa na umemtukana ROHO MTAKATIFU.

Humu kwenye mitandao utaona kuna baadhi ya watu humtukana MUNGU na wengine huandika maneno ya kashfa na dharau kwa MUNGU. Dhambi hiyo haina msamaha kamwe.

Mwenye masikio na asikie.
 
Hiv nisipo amini nguv ya uwepo wa mungu nakuwa nimemtukana roho mtakatifu,,au matusi yapi ukitukana unakuwa umetukana roho mtakatifu??
Kutomwamini MUNGU na kumtukana ni vitu viwili tofauti sana.

Mfano wewe hauamini uwepo wa MUNGU, lakini baadaye katika maisha ukaanza kumwamini, ukitubu unasamehewa kutokuamini kwako.

Lakini ikiwa sasa hivi haumwamini na unamtukana matusi na kumkashifu, hata kama utatokea kumwamini hapo baadaye hata ukitubu kamwe hutasamehewa sababu tayari umeshamtukana matusi.

Yaani unakuwa kama Shetani, huyu shetani hata akiomba msamaha kwa MUNGU leo hawezi kamwe kusamehewa. Labda Inawezekana na yeye shetani alishawahi kumtukana MUNGU.
 
Back
Top Bottom